Hii mimba itakuwa ya nani?



P2 sio nzuri sana, matumizi yake yana madhara ya muda mrefu hasa kwenye kushika mimba baadae.


Ushauri:

-aitunze hiyo mimba

-aepuke matumizi holela ya P2, wapo ambao wanajuta kutumia P2, kwa sasa wameingia kwenye ndoa lakini mimba hawashiki.

Kila la kheri.
 
Alitumia uzoefu. Umemsadia kitaalam zaidi.
 
Kiuchumi wote wapo vizuri hakuna muungaji
 

Mwambie apime na Hepatitis,HIV na VDRL
 
Hamna namna ya kutumia P2 bado upate mimba.

Infact hiyo tarehe 16 haikua siku ya Mimba.


Alipoenda kukitombesha tarehe 20 ndipo alipopata mimba .


Sasa alivyo na Tamaa , atawaambia wote wawili kua mimba ni yao
 
B, ovulation kwa mwanamke ambaye mzunguko wake hauko compromised hutokea siku ya 14 kutokea siku ya kwanza ya menstruation, mwambie cache umalaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…