Hii mirindimo ya kikongo kwa hapa bongo ni Ali Kiba tu Diamond umefeli..

Hii mirindimo ya kikongo kwa hapa bongo ni Ali Kiba tu Diamond umefeli..

playboy babu

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2015
Posts
2,648
Reaction score
1,566
Kila nikiisikiliza kolabo ya Diamond na Fally Ipupa(INAMA) najikuta nafurahia midundo tu na siyo uimbaji wa bwana Nassib Abdul. Najua ni vyema kubadilika lakini wakati mwingine tuangalie na kubadilika kwetu.

Mimi nadhani hii mirindimo ya kikongo kwa wabongofleva wangemuachia tu mzee wa Dushelele na Mvumo wa radi Ali Kiba huwa hakosei nb sikiza naonewa ya mapacha watatu FT Ali Kiba.
 
Coz pia hata nkisikia alivyoimba naona kama kaimba kama mduara fulan halafu mdundo nao n sebene nahis tatizo limeanzia pale
Kazingua alafu biti alishatumia ktk songi fulani na hata maudhui yanafanana na huo wimbo wa zamani
 
Kwan kwa wasanii wa bongofleva ambaye amekuwa akipiga ngoma ambazo zina mahadhi ya kikongo ni nani zaidi ya Ali kiba?...kumtaja ni kumrefer tu ili kuwarahisishia wasomaji bt ww umewaza hivyo ulivyowaza ulitaka nimtaje ben pol kaka kwenye mirimdimo hiyo??
Unapoanzisha mada ya kumkosoa mtu mmoja arafu ukamtaja mpinzani kama yupo zaidi yake hapo unakuwa unataka kumfanya uliemkosoa kuwa ni dhaifu kwa mpinzani wake..
 
Back
Top Bottom