Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
πππ Hatari, nikivaa sketi inapitilizaπππ Nimecheka mpaka nimebinuka π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Hatari, nikivaa sketi inapitilizaπππ Nimecheka mpaka nimebinuka π€£
Sawa ka-mremboππ Kwenda zako
πππ Punguza basi utanivunja mbavu π€£πππ Hatari, nikivaa sketi inapitiliza
Kama sijaumbwa hivyo nifanyeje?Unatakiwa ukipita sehemu, shingo za watu ziumie kwa kukutazama tu
Boresha ulichojaaliwaKama sijaumbwa hivyo nifanyeje?
Inabidi ujiumbe sasa, kwa kuparekebisha pale ambapo hapako sawaKama sijaumbwa hivyo nifanyeje?
Yann Sasa,mzigo wa kujitakia TU.Siti ya wawili unakaa pekeyako....kuwanyima raha vibamia wakati wa style pendwa goat karesist.....takatakaπ
Mjapani weweπππ Hatari, nikivaa sketi inapitiliza
Dada mwenye zigo MamboYann Sasa,mzigo wa kujitakia TU.Siti ya wawili unakaa pekeyako....kuwanyima raha vibamia wakati wa style pendwa goat karesist.....takatakaπ
Ni issue ya muda tu nalo litapita.Labda niulize swali,
Hii issue ya kupenda makalio makubwa ni world wide au ni Africa tu?
Watu wanataka trako. Naliboresha vipi?
πDada mwenye zigo Mambo
Nijiongeze makalio muanze kunisema fekeroInabidi ujiumbe sasa, kwa kuparekebisha pale ambapo hapako sawa
ππ Leo nakubal matusi yoteMjapani wewe
Huwa yanaongeza hisia sana kwa me; hasa akiwa na joka kubwa na lililoshibaNijiongeze makalio muanze kunisema fekero
Inabid we nd utujibu si unasema upo ughaibuniNi kama kipindi cha nyuma ilikua Mwanaume mwenye kitambi ndio anaonekana tajiri,ana pesa na mademu walimbabaikia! So,wengi walitamani kua na vitambi!!
Baada ya muda hilo ni kama limepita,sasa hivi wamejua kua Six pack ndio bora zaidi,
So,hata hili la kupenda makalio makubwa nalo litapita tu,
Labda niulize swali,
Hii issue ya kupenda makalio makubwa ni world wide au ni Africa tu?
Mtu Kama ubao .ππ Leo nakubal matusi yote
Nitafute mzungu sasaHuwa yanaongeza hisia sana kwa me; hasa akiwa na joka kubwa na lililoshiba
Unajua naana ya world wide mkuu? JF ina watu toka nchi mbali mbali,so kila mtu ataelezea hali ilivyo huko alipo,sio jibu la kutolewa kutoka nchi moja,Inabid we nd utujibu si unasema upo ughaibuni