Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ufukara na namna ya kuishi maisha Yao na pesa zao zinahusiana nn[emoji3][emoji3]... Kwaio watu wasijioneshe kwasabab Kuna ufukaraHawa Ni wajinga na wapumbafu, hawakupaswa kuanika upuuzi wao katika jamii yenye Lindi la ufukara.
Kwani amesema kuwa alitaka kumziba mdomo??Mwamba kazingua,
Akitaka kumziba mdomo huyo dada, angekodi train, au ndege
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kwani kulikuwa na ulazima wa eye pia kukodi kwa kumjibu huyo dada? Au ndio wewe?Kwani amesema kuwa alitaka kumziba mdomo??
Huyo mwanamke ana tattoo kumbe? Wala sishangai.wakati mimi nalalamika bei ya mafuta ya kula kufikia 7500 kwa lita kumbe kuna watu wanachezea hela namna hii,
hawa naona wameamua kuanzisha derby
View attachment 2054183
View attachment 2054184
Hakika tumerudi zama za mbuzi kunyweshwa bia
Ruge alikuwa muajiliwa tu hakuwa hata na share clouds,kwa mshahara wa milioni kumi dialysis lazima uchangiwe tuKatika maisha yangu sikuwahi kutegemea Marehemu Ruge Mutahaba kufanyiwa michango ya matibabu.
Kuwa na hela lakini usipige nazo picha.
Mama Samia anafungua nchi, hii ndo tafsiri yake😂wakati mimi nalalamika bei ya mafuta ya kula kufikia 7500 kwa lita kumbe kuna watu wanachezea hela namna hii,
hawa naona wameamua kuanzisha derby
View attachment 2054183
View attachment 2054184
Hakika tumerudi zama za mbuzi kunyweshwa bia
Ili tuamini maisha magumu umewahi ona ujenzi imesimama? Watu wameacha kununua magari au kufanya harusi au baa hazijai?wakati mimi nalalamika bei ya mafuta ya kula kufikia 7500 kwa lita kumbe kuna watu wanachezea hela namna hii,
hawa naona wameamua kuanzisha derby
View attachment 2054183
View attachment 2054184
Hakika tumerudi zama za mbuzi kunyweshwa bia