Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Kuna picha moja inatend ya mmoja wapo wa mtumishi wa Afya akiwa amebeba vaccine carrier kwa maana chanjo akivuka mto kwenda kutoa chanjo.
Ile picha imenifikirisha sana kwanza yule mtumishi wa Afya ni mpumbavu,mjinga na hajielewi yaani unavuka kwenye mto ili iweje?
Je, haoni hatari ilioje? Na mbaya zaidi viongozi wajinga wanamsifia na halafu wanamterm mzalendo! Ujinga mtupu kwenye Afya kuna msemo unaosema your safety is first priority.
Ile picha imenifikirisha sana kwanza yule mtumishi wa Afya ni mpumbavu,mjinga na hajielewi yaani unavuka kwenye mto ili iweje?
Je, haoni hatari ilioje? Na mbaya zaidi viongozi wajinga wanamsifia na halafu wanamterm mzalendo! Ujinga mtupu kwenye Afya kuna msemo unaosema your safety is first priority.