Hii nchi ina matahira wa kutosha. Inakuwaje mtu ajivunie pesa za msaada wa COVID-19?

Hii nchi ina matahira wa kutosha. Inakuwaje mtu ajivunie pesa za msaada wa COVID-19?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Miaka 2, 3 iliyopita tulipata billions and billions kutoka kwa Wazungu ili tukabiliane na athari za COVID-19. Pesa zile nyingi zilikwenda kwenye elimu. Zilijenga vyoo vya shule na kujenga madarasa mengi hapa nchini.
Wachache tuliona ni jambo jema lakini tulitoa kasoro.
Inamaana bila COVID-19 bado watoto wangeendelea kujisaidia vichakani?
Bila COVID-19 je, maadhi ya watoto wangeendelea kusomea chini ya miti?
Hao wafadhili pesa wametoa wapi?
Sisi hatuna rasilimali za kuweza kugeuzwa fedha zituondolee aibu ya kujengewa choo?
Viongozi wamekubali na kunyoosha mikono kwamba hawana ufahamu (akili) wa kutosha kuweza ku utilize resources zetu ili kupata pesa za kujenga shule, dhahanati, Vituo vya afya na miundombinu mingine?
Kuna mdau eddy ndio kanifanya nipandishe tena Uzi humu jukwaani.
Screenshot_20240826-082326.jpg
 
Hello!
Miaka 2, 3 iliyopita tulipata billions and billions kutoka kwa Wazungu ili tukabiliane na athari za COVID-19. Pesa zile nyingi zilikwenda kwenye elimu. Zilijenga vyoo vya shule na kujenga madarasa mengi hapa nchini.
Wachache tuliona ni jambo jema lakini tulitoa kasoro.
Inamaana bila COVID-19 bado watoto wangeendelea kujisaidia vichakani?
Bila COVID-19 je, maadhi ya watoto wangeendelea kusomea chini ya miti?
Hao wafadhili pesa wametoa wapi?
Sisi hatuna rasilimali za kuweza kugeuzwa fedha zituondolee aibu ya kujengewa choo?
Viongozi wamekubali na kunyoosha mikono kwamba hawana ufahamu (akili) wa kutosha kuweza ku utilize resources zetu ili kupata pesa za kujenga shule, dhahanati, Vituo vya afya na miundombinu mingine?
Kuna mdau eddy leo ndio kanifanya nipandishe tena Uzi humu jukwaani.
View attachment 3079406
Huyu eddy achana naye ni chawa kichwa hakina ubongo, as usual ukisha kuwa CCM, akili unaziacha mlangoni, then unaingia ndani!

Si kweli, niko hapa 10 mts from the school , watoto wanakaa chini! Nipo hapa kwangu hardly 10 mtrs, hakuna madawati! hhhhhhhhhhhhy
 
Huyu eddy achana naye ni chawa kichwa hakina ubongo, as usual ukisha kuwa CCM, akili unaziacha mlangoni, then unaingia ndani!

Si kweli, niko hapa 10 mts from the school , watoto wanakaa chini! Nipo hapa kwangu hardly 10 mtrs, hakuna madawati! hhhhhhhhhhhhy
weka picha current tulinganishe na hizo vinginevyo ni porojo tu, halafu mzazi unapelekaje mtoto shule haina dawati na zingine zinakosa wanafunzi, mambo mengine niyakujitakia tu kama kunywa gongo
 
Huyu eddy achana naye ni chawa kichwa hakina ubongo, as usual ukisha kuwa CCM, akili unaziacha mlangoni, then unaingia ndani!

Si kweli, niko hapa 10 mts from the school , watoto wanakaa chini! Nipo hapa kwangu hardly 10 mtrs, hakuna madawati! hhhhhhhhhhhhy
Hawa vijana kama eddy Mungu tu mwenyewe ndiye atawafungua akili. Lakini nadhani ni njaa
 
Hello!
Miaka 2, 3 iliyopita tulipata billions and billions kutoka kwa Wazungu ili tukabiliane na athari za COVID-19. Pesa zile nyingi zilikwenda kwenye elimu. Zilijenga vyoo vya shule na kujenga madarasa mengi hapa nchini.
Wachache tuliona ni jambo jema lakini tulitoa kasoro.
Inamaana bila COVID-19 bado watoto wangeendelea kujisaidia vichakani?
Bila COVID-19 je, maadhi ya watoto wangeendelea kusomea chini ya miti?
Hao wafadhili pesa wametoa wapi?
Sisi hatuna rasilimali za kuweza kugeuzwa fedha zituondolee aibu ya kujengewa choo?
Viongozi wamekubali na kunyoosha mikono kwamba hawana ufahamu (akili) wa kutosha kuweza ku utilize resources zetu ili kupata pesa za kujenga shule, dhahanati, Vituo vya afya na miundombinu mingine?
Kuna mdau eddy ndio kanifanya nipandishe tena Uzi humu jukwaani.
View attachment 3079406
Tatizo hapo siyo serikali tatizo ni jamii kukaa kimya japo wewe umeandika humu lakini jamii inayokuzunguka wewe ndiyo tatizo yaani inapokea chochote hata kama kitaiathiri jamii hiyo
 
Tatizo hapo siyo serikali tatizo ni jamii kukaa kimya japo wewe umeandika humu lakini jamii inayokuzunguka wewe ndiyo tatizo yaani inapokea chochote hata kama kitaiathiri jamii hiyo
Kujengewa choo 😭😭😭😭
Daaah
 
Tatizo hapo siyo serikali tatizo ni jamii kukaa kimya japo wewe umeandika humu lakini jamii inayokuzunguka wewe ndiyo tatizo yaani inapokea chochote hata kama kitaiathiri jamii hiyo
magufuli alitoa amri akisikia mwanafunzi wa sekondari hana dawati basi mwalimu mkuu atakuwa hana kazi na mkurugenzi wa halmashauri akatafute kazi nyingine, kesho yake shule zote zina madawati, nasie tutamke tu mtoto akikutwa amekaa chini kisa hana dawati mwalimu mkuu akatafute kazi ingine, dawati linauzwa elfu 70 wanakaa watoto wawili kusema shule haina dawati ni upuuzi tu, students wote kuanzia chekechea hadi chuo kikuu hawafiki 2m,
 
magufuli alitoa amri akisikia mwanafunzi wa sekondari hana dawati basi mwalimu mkuu atakuwa hana kazi na mkurugenzi wa halmashauri akatafute kazi nyingine, kesho yake shule zote zina madawati, nasie tutamke tu mtoto akikutwa amekaa chini kisa hana dawati mwalimu mkuu akatafute kazi ingine, dawati linauzwa elfu 70 wanakaa watoto wawili kusema shule haina dawati ni upuuzi tu, students wote kuanzia chekechea hadi chuo kikuu hawafiki 2m,
Tatizo ni akili.
Pesa za ruzuku wanazila tu
 
Back
Top Bottom