Hii nchi kazi tunayo, kila mahali ni Ufisadi

Hii nchi kazi tunayo, kila mahali ni Ufisadi

DeMostAdmired

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
1,579
Reaction score
3,798
Mikipo ndo mikipo

Ufisadi ndo unakithiri

InShot_20240531_145058866.jpg
Uchawa ndo usiseme

Rushwa, uzembe makazini, shame on us
 
Hili bunge la mchongo ndiyo linalea huu uhuni wote, dawa yake ni kufanya kama SA
 
Mikipo ndo mikipo

Ufisadi ndo unakithiri

View attachment 3007979Uchawa ndo usiseme

Rushwa, uzembe makazini, shame on us
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Hayo matatizo ni ya kitaifa wahusika hawajui kwamba wanajukumu la kupambambana na kuzuia rushwa hata wale wenye nia ya kutaka kupambana na Rushwa wanakwama hivyo kuachia wala rushwa watambe mpaka hapo itakapo fikia hatima baada ya kuchoka.
 
Back
Top Bottom