Hii nchi kuna watu itawashinda, Vifurushi vya Internet vimepandishwa kimya kimya

Hii nchi kuna watu itawashinda, Vifurushi vya Internet vimepandishwa kimya kimya

Wafanyabiashara wanaweza kusajiliwa na wakatengenezewa vifurushi vyao maalum, mbona inawezekana kwa wanafunzi na baadhi ya taasisi? Mitandao holela ni janga kubwa kwa wanafunzi/teenagers na wafanyakazi especially kwenye nchi ambazo control ya hiyo mitandao ni ndogo! Kuna nchi serious zimeanza kushughulika na hilo, under 18 wameanza kuwa limited kwenye masaa kwa siku wanayoweza kuaccess baadhi ya mitandao kama tiktok, instagram n.k.!! Madhara yanayoweza kuletwa na hiyo mitandao holela ni makubwa kuliko hata hizo faida zinazopatikana kwenye hizo online bus..
Wewe jamaa siku zote nimekuwa nikisoma comment zako na kupita lakini nimeona acha leo nikuambie kwamba "miongoni mwa watu wapumbavu nchi hii wewe ni mmoja wao. Wewe jamaa nadhani una zero IQ".
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Chifu Hangaya yuko busy na kumwagiwa mbegu hayo mengine mtayajua wenyewe
 
Wafanyabiashara wanaweza kusajiliwa na wakatengenezewa vifurushi vyao maalum, mbona inawezekana kwa wanafunzi na baadhi ya taasisi? Mitandao holela ni janga kubwa kwa wanafunzi/teenagers na wafanyakazi especially kwenye nchi ambazo control ya hiyo mitandao ni ndogo! Kuna nchi serious zimeanza kushughulika na hilo, under 18 wameanza kuwa limited kwenye masaa kwa siku wanayoweza kuaccess baadhi ya mitandao kama tiktok, instagram n.k.!! Madhara yanayoweza kuletwa na hiyo mitandao holela ni makubwa kuliko hata hizo faida zinazopatikana kwenye hizo online bus..
Bado hujanishawishi, ni sawa na kutaka kiwanda cha bia kifungwe kwa vile walevi wawili watatu wamegongwa na magari kwa ulevi.
Huwezi kushauri kupandisha gharama ya bidhaa eti kwa vile kuna wenye matumizi mabaya
 
Usijichanganye!

It seems Voda, figure ya bando wanayokuandikia kukupa siyo halisi wanayokupa.
Yaani wanaweza kukwambia kuwa umepata 1G, lakini ni kama wamekupa MB kadhaa tu maana bando la Voda linaisha haraka mno, haliendani kabisa na bando unayodhani umenunua
Wanasingizia speed [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo la nchi hii ni ccm hawana dira wala muelekeo sahihi. Wamepoteana na wananchi. Wamekumbatia malengo tofauti na yale ya kimapinduzi waliyojinasibu nayo kipindi kinaungwa ungwa!
Ipo siku wananchi watashindwa kuvumilia haya madhila ya serikali za ccm!

Dammit!
 
Tatizo la nchi hii ni ccm hawana dira wala muelekeo sahihi. Wamepoteana na wananchi. Wamekumbatia malengo tofauti na yale ya kimapinduzi waliyojinasibu nayo kipindi kinaungwa ungwa!
Ipo siku wananchi watashindwa kuvumilia haya madhila ya serikali za ccm!

Dammit!

eef9525d-454a-4590-8a71-e71688e0e253.jpg
 
Wewe jamaa siku zote nimekuwa nikisoma comment zako na kupita lakini nimeona acha leo nikuambie kwamba "miongoni mwa watu wapumbavu nchi hii wewe ni mmoja wao. Wewe jamaa nadhani una zero IQ".
Hahaha, unajua hata maana ya hiyo IQ? Na inapatikanaje? Au sababu unasikia kwa watu tu wanasema IQ nawe umelimeza zimazima
 
Tukikuwa tunamlaumu bure tu ndugulile, hapo shida sio waziri
 
Wanasingizia speed [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni excuse ya kijinga kwa sababu hata speed iwe kubwa au ndogo lakini kiwango cha data unachoaxcess ni kile kile ila cha ajabu ila cha ajabu bando ya Voda inakata mapema licha ya kuwa data unayoaccess wakati mwingine ni dhahiri haifiki kiwango cha bando ulichoweka
 
Hahaha, unajua hata maana ya hiyo IQ? Na inapatikanaje? Au sababu unasikia kwa watu tu wanasema IQ nawe umelimeza zimazima
Wewe ni mjinga na Mpumbavu, wala hujifichi hata hapo mtaani kwako itakua unadharaulika sana mpaka na watoto wadogo
 
Back
Top Bottom