Hii nchi kuna watu itawashinda, Vifurushi vya Internet vimepandishwa kimya kimya

Hii nchi kuna watu itawashinda, Vifurushi vya Internet vimepandishwa kimya kimya

Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Mkuu majuzi wife alilipia kingamuzi cha Dstv, sasa anadai wameweka makato nadhani ni tozo ambayo awali hayakuwepo. Kama umenunua kifurushi cha elf 21 ilikuwa inakatwa hiyo hiyo 21, lakini kwa sasa naona wameweka tozo. Ninachoona kwa sasa tozo zinaingizwa kimya kimya kila pahala....
 
Kwa kiwango cha unafiki cha Wabongo huwezi nishauri kitu eyote kuhusu kukacha kutumia Net!

Wako watakaojitokeza na kusema susia mwenyewe 😂 kamanda, hawa wachache ndio sababu ya serikali na makampuni ya simu kupandisha bei ya bundle/dakika
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Mbona Mimi hawajanibadilishia
 
Uyu mwanamke kabebeshwa jukumu zito sana ambalo yey mwenyew haliwezi.. arudi tu nyumban akalee wajukuu.

Hana maamuzi yeyote kama rais.
 
Amtaki kuchanjwa af kazi kulalamika vifurushi, chanjweni kwanza..
 
Back
Top Bottom