Hii nchi kuna Watumishi wa Umma wanakula raha nyie

Hii nchi kuna Watumishi wa Umma wanakula raha nyie

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kuna rafiki yangu anafanya kazi TPA akitokea Taasisi moja ya umma baada ya Uhamisho kukamilika. Si unajua ukiwa na mbuyu unaweza kuhamia popote utakapotaka.

Sasa niweke pembeni habari za huyu mtumishi.

Yeye ni junior hana maajabu zaidi ya mshahara na posho zake za kawaida. Ila si haba ni pesa ndefu sana. Mshahara wake uliongezeka mara 4 zaidi ya mishahara wake wa zamani.

Kiutumishi nimemzidi cheo kwa daraja Moja maana tuko kada moja ila mshahara kaniacha mbali. Sasa akipanda daraja sijui ataniacha wapi.

Baba yake ni miongoni mwa viongozi wakubwa TPA, anasema kuwa baba yake na viongozi wenzake wana vikao 3 kwa siku na kila kikao kina posho.

Kwahiyo kwa wiki wanakaa vikao zaidi ya kumi na kila kikao kuna fedha.

Hapo piga wewe hesabu huyu mtu kwa mwezi anapata sh ngapi za kikao?

Asubuhi kuna kikao cha kupanga mikakati ya siku , mchana kikao cha kufanya tathmini, jioni cha kufunga kazi.

Hii nchi kuna watu ukiilaani serikali wanaweza kukupiga ngumi hadharani.
 
Hivi ujio wa DPword hautawasili baadhi ya vigogo wa bandarini?

Maana mapato ya TPA si yatapungua?
Bandari pesa zipo maana za vikao ni haki yao ,ila tatizo wale wanaozoa mabillion.

TPA wana bajeti kubwa kwa shughuli zao za ndani ,kwanza hawakai ofisini utasikia kuna kikao cha siku mbili Arusha ,mara mwanza ,mara Dodoma au Moro ...Bajeti zao utawakuta wapo Tanga Beach huko Tanga wanapanga mpango wa mwaka wa fedha hata wiki nzima na kila siku per diem plus sitting allowance 😅😅
 
Kuna rafiki yangu anafanya kazi TPA akitokea Taasisi moja ya umma baada ya Uhamisho kukamilika. Si unajua ukiwa na mbuyu unaweza kuhamia popote utakapotaka.
Sasa niweke pembeni habari za huyu mtumishi.
Yeye ni junior hana maajabu zaidi ya mshahara na posho zake za kawaida. Ila si haba ni pesa ndefu sana. Mshahara wake uliongezeka mara 4 zaidi ya mishahara wake wa zamani.
Kiutumishi ninemzidi cheo maana tuko kada moja ila mshahara kaniacha mbali. Sasa akipanda daraja sijui ataniacha wapi.
Baba yake ni miongoni mwa viongozi wakubwa TPA, anasema kuwa baba yake na viongozi wenzake wana vikao 3 kwa siku na kila kikao kina posho.
Kwahiyo kwa wiki wanakaa vikao zaidi ya kumi na kila kikao kuna fedha.
Hapo piga wewe hesabu huyu mtu kwa mwezi anapata sh ngapi za kikao?
Asubuhi cha kupanga mikakati ya siku , mchana cha kufanya tathmini, jioni cha kufunga kazi.
Hii nchi kuna watu ukiilaani serikali wanaweza kukupiga ngumi hadharani.
Kuna watu wanaishi kama malaika🤣🤣
 
Kuna rafiki yangu anafanya kazi TPA akitokea Taasisi moja ya umma baada ya Uhamisho kukamilika. Si unajua ukiwa na mbuyu unaweza kuhamia popote utakapotaka.

Sasa niweke pembeni habari za huyu mtumishi.

Yeye ni junior hana maajabu zaidi ya mshahara na posho zake za kawaida. Ila si haba ni pesa ndefu sana. Mshahara wake uliongezeka mara 4 zaidi ya mishahara wake wa zamani.

Kiutumishi ninemzidi cheo maana tuko kada moja ila mshahara kaniacha mbali. Sasa akipanda daraja sijui ataniacha wapi.

Baba yake ni miongoni mwa viongozi wakubwa TPA, anasema kuwa baba yake na viongozi wenzake wana vikao 3 kwa siku na kila kikao kina posho.

Kwahiyo kwa wiki wanakaa vikao zaidi ya kumi na kila kikao kuna fedha.

Hapo piga wewe hesabu huyu mtu kwa mwezi anapata sh ngapi za kikao?

Asubuhi cha kupanga mikakati ya siku , mchana cha kufanya tathmini, jioni cha kufunga kazi.

Hii nchi kuna watu ukiilaani serikali wanaweza kukupiga ngumi hadharani.
Mkuu niunganishe nae wanipe ata kufagia tu ofisini mwao
 
Kuna sehemu mfanyakaz wa kawaida tu tena ana diploma analipwa:- mshahara, risk allowance, house allowance, transport allowance, overtime kilasiku, communication allowance... Akijumlisha per month anaondoka na Million 3.4 cash....
Sasa wewe ng'ombe mtaani endelea kujifanya unajua kuimba nyimbo za kizalendo wakat wenzako wanakula mema ya nchi
 
Kuna sehemu mfanyakaz wa kawaida tu tena ana diploma analipwa:- mshahara, risk allowance, house allowance, transport allowance, overtime kilasiku, communication allowance... Akijumlisha per month anaondoka na Million 3.4 cash....
Sasa wewe ng'ombe mtaani endelea kujifanya unajua kuimba nyimbo za kizalendo wakat wenzako wanakula mema ya nchi
Leta connection mzee
 
Back
Top Bottom