Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hiyo siyo hali ya kawaida, nenda kawashitaki kwa rais philip mpangajiHabari zenu Wakuu..!!
Hivi kuna ambao wamekutana na hii Changamoto ya Ajira Portal siku ya Leo au ni kwangu tu.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo siyo hali ya kawaida, nenda kawashitaki kwa rais philip mpangajiHabari zenu Wakuu..!!
Hivi kuna ambao wamekutana na hii Changamoto ya Ajira Portal siku ya Leo au ni kwangu tu.?
😂😂Hiyo siyo hali ya kawaida, nenda kawashitaki kwa rais philip mpangaji
😁😂😁😁Oya wakuu wa kazi najua nyie mnakuwaga active almost all time kwenye hili jukwaa, sasa naombeni muwe mnanitag kwenye nyuzi zinazohusiana na Ajira Portal Vincenzo Jr min -me Mbaga Jr
Wamesha achiaSisi tunaokandwa kesho atukuchukua namba huko chonde chonde nyie watu wa tehama mutuonee karoho Cha kutusaidia walau nasi tuje kwenye huo mkando na amani kidogo.
Achieni mfumo hata kwa nusu saa tu
Sawa mkuuOya wakuu wa kazi najua nyie mnakuwaga active almost all time kwenye hili jukwaa, sasa naombeni muwe mnanitag kwenye nyuzi zinazohusiana na Ajira Portal Vincenzo Jr min -me Mbaga Jr
Mtihani wa Online huitaji kujua namba cha muhimu tu hapo ni Password na username.Sisi tunaokandwa kesho atukuchukua namba huko chonde chonde nyie watu wa tehama mutuonee karoho Cha kutusaidia walau nasi tuje kwenye huo mkando na amani kidogo.
Achieni mfumo hata kwa nusu saa tu
Huwa nayo majina na namba za interviewees,japo ni vizuri uwe umezinakiri sehemu.Kama hujaachukua namba na interview yako ni kesho ndo utaelewa sasa .....[emoji2][emoji119]
Sisi tunaandikaMtihani wa Online huitaji kujua namba cha muhimu tu hapo ni Password na username.
Hata ukisahau password utasaidiwa kuipata UTUMISHI wapo fair. Best wishes
Achukue namba yake kwenye pdf namba za mwanzo zinafanana na wenzakeKama hujaachukua namba na interview yako ni kesho ndo utaelewa sasa .....😃🙌
🤜🤛Sawa mkuu
Nakubali 😂😁😂😁😁
Haya mtandao upo Sawa tangu usiku, sasa tuambie ulichokuwa unakitaka umekipata?
una uhakika unacho kinenaHaya mtandao upo Sawa tangu usiku, sasa tuambie ulichokuwa unakitaka umekipata?
Punguza makasiriko mkuu wanafanya maintanance kwa wema tu
Hapana sina uhakikauna uhakika unacho kinena
Kwene pdf hakuna nambaAchukue namba yake kwenye pdf namba za mwanzo zinafanana na wenzake
Bas bado mtandao haujakaa nimelog saa moja had saizi bado haijafungukaHapana sina uhakika