Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #61
Hii siyo mida ya maintainancePunguza makasiriko mkuu wanafanya maintanance kwa wema tu
uliona wap shamba silaha zinaandaliwa wakat wa vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii siyo mida ya maintainancePunguza makasiriko mkuu wanafanya maintanance kwa wema tu
Namba za nini mkuu. Utazikuta hukohuko kwenye usaili wakati unasaini kuthibitisha umefika na upo tayari kukandwa.Sisi tunaokandwa kesho atukuchukua namba huko chonde chonde nyie watu wa tehama mutuonee karoho Cha kutusaidia walau nasi tuje kwenye huo mkando na amani kidogo.
Achieni mfumo hata kwa nusu saa tu
eehhNamba za nini mkuu. Utazikuta hukohuko kwenye usaili wakati unasaini kuthibitisha umefika na upo tayari kukandwa.
Mzee sisi first touch wenzioNamba za nini mkuu. Utazikuta hukohuko kwenye usaili wakati unasaini kuthibitisha umefika na upo tayari kukandwa.
Usishangae mkuu, hakuna excuse, huwa kuna karatasi ya kila mtahiniwa kusaini, ndio huwa ina namba za kila mtahiniwa. Wasi-panic. Hata kama umeisahau pale watakutajia namba yakoeehh
Usiwe na hofu mzee. Namba watakupa ukifika chumba cha usaili. Kuna karatasi ya kusaini ina jina na namba yako. Best wishesMzee sisi first touch wenzio
Asante mkuuUwewe na hofu mzee. Namba watakupa ukifika chumba cha usaili. Kuna karatasi ya kusaini ina jina na namba yako. Best wishes
Yani majina yamelistiwa bila namba ?Kwene pdf hakuna namba
Ule mkeka wa pdf wanaotoa huwa ni majina tu bila namba ya usaili kwa sababu maalum, huwa wanaficha ili mtahiniwa asijue namba ya watahiniwa wengine. Maana majibu ya usaili huwa yanatolewa kwa hizo namba za usaili wala sio majina ili kuweka confidentiality.Yani majina yamelistiwa bila namba ?
mbona mengi tuYani majina yamelistiwa bila namba ?
Majina kweny pdf yana namba lakini sio namba ya Mtihani hiyo namba yako ya Mtihani utaikuta kweny akaunti yako au kweny karatasi ya kusaini kuingia kweny mtihani na kutoka.Yani majina yamelistiwa bila namba ?
AloooUle mkeka wa pdf wanaotoa huwa ni majina tu bila namba ya usaili kwa sababu maalum, huwa wanaficha ili mtahiniwa asijue namba ya watahiniwa wengine. Maana majibu ya usaili huwa yanatolewa kwa hizo namba za usaili wala sio majina ili kuweka confidentiality.
Kwamba wanaroho nuzri hivoMajina kweny pdf yana namba lakini sio namba ya Mtihani hiyo namba yako ya Mtihani utaikuta kweny akaunti yako au kweny karatasi ya kusaini kuingia kweny mtihani na kutoka.
NB. Kama umeisahau namba usipanic UTUMISHI watakutajia. Best wishes
Sijawahi ona mtu anarudishwa kisa namba mkuu na inapoendea mambo ya kuandika namba yako yanaisha wote wakishaanza kufanya usaili kidigital.Kwamba wanaroho nuzri hivo
hiyo watawambia ambao hawana namba hawaingii imeisha iyo😂😂
Watu ni wengi sana wanajaribu kupunguza idadi kadiri iwezekanavyo
SawaSijawahi ona mtu anarudishwa kisa namba mkuu na inapoendea mambo ya kuandika namba yako yanaisha wote wakishaanza kufanya usaili kidigital.
Kwahy unataka wafanye ukarabati muda gn?Hii siyo mida ya maintainance
uliona wap shamba silaha zinaandaliwa wakat wa vita
Jamani kwani majina yaliyotolewa ni kwa kada gani tofauti na za utendajiMajina kweny pdf yana namba lakini sio namba ya Mtihani hiyo namba yako ya Mtihani utaikuta kweny akaunti yako au kweny karatasi ya kusaini kuingia kweny mtihani na kutoka.
NB. Kama umeisahau namba usipanic UTUMISHI watakutajia. Best wishes
matokeo ya 20% ndio yakoje hayo