Hii nchi ni kichekesho sana, Alieongoza "VETA" ana mcheka "aliesup" University

Hii nchi ni kichekesho sana, Alieongoza "VETA" ana mcheka "aliesup" University

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).
Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?...
Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza ..
Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Hajasup bali amedisco bora wa veta katimiza malengo kuliko aliyedisco
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).
Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?...
Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza ..
Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?

Kitu kizuri ni kuwa wameptiliza malengo
Kwa ss upo Uto wameyapita malengo ya Kolo
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Tutauvuka mto tukilifikia daraja,haraka ya nini!?
 
Utopolo hata uwafafanulie kama ulivyofanya kwenye uzito huu bado hawaelewi... Manara alimaliza kila kitu
 
77661028-4883-4824-9E52-4CCA6D8E3F41.gif
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Yanga alikuwa na malengo ya kucheza makundi ni sawa ila kwa hapa alipofikia ana hatua moja ya kuwa zaidi ya Al Hilal aliyeshiriki mara kwa mara mashindano ya CAF. Yanga kama itabeba kombe basi ni dhahiri kuwa kwenye rank za CAF atakuwa juu ya Al Hilal ambayo ndiye iliyoitoa Yanga katika klabu bingwa. Na itakuwa imepishana kwa nafasi sita na Simba katika rank za CAF ikumbukwe tu kuwa robo robo fc nafasi aliyokuwepo amejichanga changa kwa misimu na misimu kwa kupanda mdogo mdogo lakini Yanga kama ikichukua kombe la CAFCC atakuwa ametoka kwenye nafasi ya mwisho (timu ya 75 akiwa point 0.5) hadi nafasi ya 15.

Sikutaka kuzungumzia kitita cha pesa hapo itakayovuna Yanga ila nimeenda upande wa athari ya moja kwa moja kimafanikio, utapima mwenyewe.
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Sijawahi kuona sup ya kuishia njiani huko ni Ku discontinue,x pili kheri aliesoma VETA akahitimu kuliko alieishia njiani. Harvard university
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University[emoji419][emoji375]
 
Back
Top Bottom