Hii nchi ni kichekesho sana, Alieongoza "VETA" ana mcheka "aliesup" University

Hii nchi ni kichekesho sana, Alieongoza "VETA" ana mcheka "aliesup" University

Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Mwaka huu mtatumia mifano yote ya Kiswahili. Ila mwisho wa siku, ndiyo hivyo tena! Tarehe 28 ya mwezi huu (Jumapili), Yanga anacheza fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. What a record!! 💪

Hongereni Yanga! 💚💛 Hongereni Wananchi kwa kuliheshimisha Taifa!! 💪
 
Mwaka huu mtatumia mifano yote ya Kiswahili. Ila mwisho wa siku, ndiyo hivyo tena! Tarehe 28 ya mwezi huu (Jumapili), Yanga anacheza fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. What a record!! 💪

Hongereni Yanga! 💚💛 Hongereni Wananchi kwa kuliheshimisha Taifa!! 💪
Mechi ya Waafrika Vs Waarabu.
Waafrika pekee mwaka huu waliongia fainali za mashindano ya CAF.
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Yaani mwaka huu mtatoa mifano yoooteee..!!! Lakini ukweli utabaki pale pale NYIE NI WAZEE WA ROBO FAINALI..!!

Huko huko ulikokuita VETA ndo mlipigwa faini kwa kuroga..!! Mliroga kimataifa..!!

CC Kalpana
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Mbumbumbu katika ubora wake
 
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora).

Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani?

Tukumbushane tu Uto hamjafanya vizuri malengo yenu ilikua kucheza makundi Ccl ,kitu ambacho mmeshindwa..Simba malengo yake ilikua kucheza nusu fainal ccl nae ameshindwa pia..hivi vichekesho vya fainal vitawapoteza...

Hii ni sawa na Alieongoza veta alikoenda baada ya kufeli la Saba kumcheka alisup University

Kwahiyo mwakani mnataka mcheze Cafchampions league ama confederation?
Kumbuka huyo wa Veta alikuwa anakutoa knock out darasani.
 
Labda niku fahamishe tu kwamba CAF stands for Confederation of African Football kwahio Confederation haikimbiwi
Hata Europa inaitwa UEFA Europa league. Na kuna Ile UEFA champions league ya mabingwa.

Hiyo point yako haiwezi kuondoa uhalisia kuwa nyinyi ni maluza tu
 
Back
Top Bottom