Hii nchi ni yetu sote. Bunge liyavunje maridhiano, DP World wasipewe banadari. Tutafute pesa na kuwekeza wenyewe

Bandari zetu zinabaki chini ya TPA ccm kaambali na bandari zetu.
 
Hivi hao Dp world hawawezi kuombwa watoe elimu kwa watanzania hata kwa kulipwa ili wajifunze ni kwa namna gani tunaweza kuitumia elimu tutakayoipat kuendesha bandari zetu kama ni suala la kununua equipments hela itolewe tununue badala ya kuwakabidhi hizo bandari mazima
 


Peeling back the DP World's mask.
 
Sasa
Sasa kama mmeshindwa miaka 60 yote na watu wanazidi kuwa maskini tu unategemea nini
 
Mama namuombea Mungu amuamshe maana hili jambo ni zito mno na linamharibia mno
 
Mkuu Mkoloni wa Kiingereza alituachia Nchii ikiwa intact ikiwa na viwanda nk.

Tumeshindwa tulikalia kuiba tu kila tupatapo fursa.
Yaani kuna watu wanakuambia tuachiwe
Mkoloni kaacha kila kitu ila bado kuna wajinga wanauliza why we are poor
Eti wawekezaji hawafai ila wao ukiacha kalamu ya kusaini huo mkataba wanaipitia

Mpaka wizi uishe na Dunia imeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…