Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Mbona mnaogopa uchaguzi.....kwa nn na siasa mmekua mkifanya nyie miakan 5. Hivi ccm inaweza kua na hoja yoyote kwa mtz? Ufisadi hii awamu ni mafisadi kuliko zote zilizopita.....na mauchafu mengine km ununuzi wa ndege inabidi muyafiche kule kusikogusika.....
Mpaka leo 1.5tn hazijulikani zilipo kinachojulikana ni kumfukuza kihuni CAG kwa kuwapa ukweli watz
Yule CAG Assard si ndio aligundua maufisadi ya mabilioni ya hela kwenye chama Chenu yalitafunwa mkajifanya kupotezea..vipi mlishazirudisha bilioni zenu.
 
Yule CAG Assard si ndio aligundua maufisadi ya mabilioni ya hela kwenye chama Chenu yalitafunwa mkajifanya kupotezea..vipi mlishazirudisha bilioni zenu.
Jibu hoja mkuu tunazungumzia trilioni we unaongekea mamilioni hizi akili mbovu za lumumba........

Mbona mnaogopa uchaguzi.....kwa nn na siasa mmekua mkifanya nyie miakan 5. Hivi ccm inaweza kua na hoja yoyote kwa mtz? Ufisadi hii awamu ni mafisadi kuliko zote zilizopita.....na mauchafu mengine km ununuzi wa ndege inabidi muyafiche kule kusikogusika.....
Mpaka leo 1.5tn hazijulikani zilipo kinachojulikana ni kumfukuza kihuni CAG kwa kuwapa ukweli watz
 
Sasa mbona mnataka demokrasia ila hamuwezi hata kuheshimu maoni ya wengine mnatukana hovyo kama wewe? Ni wazi wewe nawe ni Punga tu, acha Magufuli aendelee kuwakazia mpaka akili ziwakae, Idiots. Na kwa taarifa yako usishangae hao unaowatukana wakataka Magufuli atawale maisha, Na wilio wengi wakiridhia basi imeisha hiyo, ndiyo definition ya demokrasia, hope Bichwa lako kubwa lenye kamasi walau linaweza elewa maana ya Demokrasia.
Wewe ni nyani mwenye umbo la Binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu hoja mkuu tunazungumzia trilioni we unaongekea mamilioni hizi akili mbovu za lumumba........

Mbona mnaogopa uchaguzi.....kwa nn na siasa mmekua mkifanya nyie miakan 5. Hivi ccm inaweza kua na hoja yoyote kwa mtz? Ufisadi hii awamu ni mafisadi kuliko zote zilizopita.....na mauchafu mengine km ununuzi wa ndege inabidi muyafiche kule kusikogusika.....
Mpaka leo 1.5tn hazijulikani zilipo kinachojulikana ni kumfukuza kihuni CAG kwa kuwapa ukweli watz
Jomba hivi unasikilizaga vyombo vya habri kweli..maana suala la hizo trilioni CAG mwenyewe alishasema hakuna kitu Kama hicho, aliwaruka nyinyi mliokuwa mnataka kumlazimisha maneno. Hoja zimewaishia kabisa Sasa..ajenda mliobaki nayo nayo ni Tumehuru..hahahah.labda Kama mna ajenda nyingine mpya kwa Sasa tujuze jomba
 
Yaani watu wa ufipa wategemee kupata laana kubwa kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi. Kwa nini?
Tangia tupate uhuru hakuna Raisi aliyewai kutukanwa mitusi mizito tena kama si amilijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa taifa zima kama Mzee wa Msoga Ndugu yetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. ( najua wamesahau)

Jamani walimshambulia huyu mzee wakamsurubisha hata juu ya msalaba, lakini yeye akawa kimya kama Yesu mzee wa watu.
Wakaanza kusema nchi hii inahitaji Rais na kuanza kutoa sifa ya raisi ajae.
Ukiangalia kila sifa waliyoitaja ilikuwa inamlenga Dr. John Pombe Magufuli.
Wewe ni mpumbavu mwili mzima,msalaba na Yesu wanaingiaje kwenye ujinga wenu?
 
Serikali inabambikia wafanyabiashara kesi Leo watu wameondoa mitaji Yao imeshindwa kuiwezesha sekta binafsi Leo tenda utasikia jkt mara magereza hizo ajira zitakuja je kwenye sekta binafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
Awakupima madhara ya kusomesha watu namba yatakuaje awakupima kwamba hata wao ni lzm wataisoma namba baada ya wafanyabiashara kuisoma
 
Ok so badala yake watapigia chama gani chadema, act, nccr, tadea na vyama vingine 15 zaidi.? Usione aibu kusema chama. Na chama utakachokitaja tuanze kukichambua kwa undani ..Mimi nitakupa uchambuzi wa kina kwanini umeingia choo Cha kike. Usione aibu narudia tena
Vibaraka wa CCM na walamba miguu na makalio ya jiwe hamtaki kuzungumzia mambo muhimu ya nchi mmebakia kuimba taarabu huku nchi ikiendelea kudidimia kiuchumi
Hamjiulizi maswali muhimu mfano 2019 foreign direct investment ya kenya ilikuwa USD 14.5 billion na Tanzania ilikuwa 1.8 billion USD .kwa Nini investors waende Kenya na wasije Tanzania .
TUME HURU.ni muhimu sana kwasababu tutapata viongozi mahiri wa kuongoza nchi .kiongozi aliyeingia madarakani kwa kuiba kura Kama ilivyo kwa jiwe na wabunge wengi wa CCM Hana tofauti na mwizi wa mitihani,sasa angalia bunge lilivyokuwa la kipumbavu kuazia spika na wabunge karibu wote wa CCM Ni hasara tupu jumlisha na jiwe.wafanyabiashara wanahamisha mitaji ,je huko wanapoenda hawaendi kulipa Kodi? . You think you are wise because you are sorounded with fools
 
We bado mtoto jomba haya usiyaingilie..huyawezi..unamezeshwa maneno na wewe Kama zuzu vile unaweka tu..umemaliza homework zako hizi za likizo ya corona..fanya kwanza hizo usije huku jukwaa la watu wazima hili
Usijekuta mimi ni hawara wa mama yako, endelea kuniita mtoto hadi siku utakaponikuta sebuleni nimekaa taulo, na mama yako yuko chumbani. Pumbafu wahedi
 
Eti unasema wapinzani, wako wapi hao unaowasema..embu weka list yao hapa watu kumi tu kwa kuanzia tumjadili mmoja baada ya mwingine, Kama hujakimbia kwa aibu..rubbish...Kama wewe ni mwanamme kweli Kama sio mwanamke, weka hapa majina tuwachambue hao unaowaita wapinzani..msitukasirishe wengine tukatoa maneno machafu hapa na sikukuu hii ya Pasaka
Ni ujinga kutisha watu kwenye social media na kutumia indecency language. Let people express their feelings, mnawabana kwenye main stream media, mnabana free speech, mnataka na humu waogope. Bullshit
 
That's rubbish..how many businesses have grown up during this period..plenty..how many new businesses have been erected..plenty..there's nothing like policy uncertainity. Many business owners have been avoiding Taxes, and thiss why they could not manage to be sustainable..we know the tricky behind and you know too..so stop this rubbish propaganda...
This is not a propaganda as your imaginations tells you, it is the reality, policies are supposed to prolong for many years so that businesses can plan for growth 'governent role is to develop and nurture entrepreneurship' in this term you are busy with people who are opposing you and leaders of opposion parties .am running a business and feeling the pinch than ever before, to tell the truth we have been in recession even before the out break of covid-19. I know that businesses have four economic cycles namely 1.prosperity 2.depression 3.recession 4.recovery. With this reasoning therefore, you have to evaluate yourself why you are the cause of many business failures. It must be born in your mind that entrepreneurship is enviromentally determined ,there many factors which affect entrepreneurship, to mention a few 1.complex altitudes towards business and industry 2.disease out break such as covid-19. 3. political instability. 4.policy uncertanity 5.use of old laws for modified policies countries can not reach their goals .For your information am writing a book about entrpreneurship. 'In entrepreneurship we learn how to do business not about business'

https://www.ruforum.org/sites/default/files/Policy contentTypesCycles & Analysis.pdf
 
Yule CAG Assard si ndio aligundua maufisadi ya mabilioni ya hela kwenye chama Chenu yalitafunwa mkajifanya kupotezea..vipi mlishazirudisha bilioni zenu.
Yaani Mimi nikupe pesa wewe harafu nikagombane na juma eti kala pesa yangu,si nitakuwa mwendawazimu.anyway najua hutanielewa
 
Yule CAG Assard si ndio aligundua maufisadi ya mabilioni ya hela kwenye chama Chenu yalitafunwa mkajifanya kupotezea..vipi mlishazirudisha bilioni zenu.
Babeli human hoja yoyote wewe na bashite na bashiri na p slowslow ni walamba matako WA jiwe, nchi sasa hivi inashindwa kupeleka peas za budget jiwe kichwa kinawaka Moto Kwa madeni kedekede.wakandarasi wanndani mmeshindwa kuwalipa mnaweza kununua wabunge na madiwani wapumbavu mnadhani kuunga juhudi.
 
Kosa kubwa ililofanya awamu hii ni kuacha majukumu ya msingi iliyochaguliwa nayo ya kushughulika na Shida za watz na kujitwika lisilohusika la kupambana na Mbowe,utadhani Mbowe ndio Shida za watz
Hivi wale wasiojulikana bado wapo
 
Sasa mbona mnataka demokrasia ila hamuwezi hata kuheshimu maoni ya wengine mnatukana hovyo kama wewe? Ni wazi wewe nawe ni Punga tu, acha Magufuli aendelee kuwakazia mpaka akili ziwakae, Idiots. Na kwa taarifa yako usishangae hao unaowatukana wakataka Magufuli atawale maisha, Na wilio wengi wakiridhia basi imeisha hiyo, ndiyo definition ya demokrasia, hope Bichwa lako kubwa lenye kamasi walau linaweza elewa maana ya Demokrasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ya BOOTLICKER hiyo
IMG_20191105_112729.jpg
 
Back
Top Bottom