Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Kufeli kwake kulianza siku ya kwanza ambapo aliwekeza kuwachukia wapinzani wkt wapinzani ndio wamefanya makubwa na nchi kuonekana ya kiuwajibikaji........
Kilichofuata sio kujenga viwanda wala kuzalisha ajira au kusaidia wakulima au kuweka mazingira mazuri ya kibiashara nchini bali alianza kuharibu misingi yoye ya kuheshimu katiba na sheria, misingi ya kiuchumi ya kijamii ya kisiasa etc.....

A FAILED PRESIDENT.....
 
Halafu wafanya biashara wakubwa aidha wanauliwa kama akina Ally Mufuruki na Salum Shamte, au wanasumbuliwa na kunyang'anywa mali zao kama Mohamed Dewji na Yusuf Manji. Uchumi inakuwaje hapo?
We bado mtoto jomba haya usiyaingilie..huyawezi..unamezeshwa maneno na wewe Kama zuzu vile unaweka tu..umemaliza homework zako hizi za likizo ya corona..fanya kwanza hizo usije huku jukwaa la watu wazima hili
 
Kufeli kwake kulianza siku ya kwanza ambapo aliwekeza kuwachukia wapinzani wkt wapinzani ndio wamefanya makubwa na nchi kuonekana ya kiuwajibikaji........
Kilichofuata sio kujenga viwanda wala kuzalisha ajira au kusaidia wakulima au kuweka mazingira mazuri ya kibiashara nchini bali alianza kuharibu misingi yoye ya kuheshimu katiba na sheria, misingi ya kiuchumi ya kijamii ya kisiasa etc.....

A FAILED PRESIDENT.....
Eti unasema wapinzani, wako wapi hao unaowasema..embu weka list yao hapa watu kumi tu kwa kuanzia tumjadili mmoja baada ya mwingine, Kama hujakimbia kwa aibu..rubbish...Kama wewe ni mwanamme kweli Kama sio mwanamke, weka hapa majina tuwachambue hao unaowaita wapinzani..msitukasirishe wengine tukatoa maneno machafu hapa na sikukuu hii ya Pasaka
 
Eti unasema wapinzani, wako wapi hao unaowasema..embu weka list yao hapa watu kumi tu kwa kuanzia tumjadili mmoja baada ya mwingine, Kama hujakimbia kwa aibu..rubbish...Kama wewe ni mwanamme kweli Kama sio mwanamke, weka hapa majina tuwachambue hao unaowaita wapinzani..msitukasirishe wengine tukatoa maneno machafu hapa na sikukuu hii ya Pasaka
We ng'ombe mbona tayari umeshatoa maneno mchafu .......Muulize baba yako aliyewafungia kazi ndie anawajua zaidi nyie praise team hakuna mjuacho kuhusu hii nchi zaidi ya buku 7 mnazopewa lumumba.
 
Eti unasema wapinzani, wako wapi hao unaowasema..embu weka list yao hapa watu kumi tu kwa kuanzia tumjadili mmoja baada ya mwingine, Kama hujakimbia kwa aibu..rubbish...Kama wewe ni mwanamme kweli Kama sio mwanamke, weka hapa majina tuwachambue hao unaowaita wapinzani..msitukasirishe wengine tukatoa maneno machafu hapa na sikukuu hii ya Pasaka

Uchaguzi ukiwa huru na haki hakuna kati ya wafuatao anaweza kupigia kura ccm....
1. WAKULIMA
2. WAFANYAKAZI
3.WAFANYA BIASHARA
4.WANAFUNZI WA VYUO
5.
6.
7
NOTE: Makundi hayo yote yameharibiwa na uongozi huu wa hovyo
 
Uchaguzi ukiwa huru na haki hakuna kati ya wafuatao anaweza kupigia kura ccm....
1. WAKULIMA
2. WAFANYAKAZI
3.WAFANYA BIASHARA
4.WANAFUNZI WA VYUO
5.
6.
7
NOTE: Makundi hayo yote yameharibiwa na uongozi huu wa hovyo
Ok so badala yake watapigia chama gani chadema, act, nccr, tadea na vyama vingine 15 zaidi.? Usione aibu kusema chama. Na chama utakachokitaja tuanze kukichambua kwa undani ..Mimi nitakupa uchambuzi wa kina kwanini umeingia choo Cha kike. Usione aibu narudia tena
 
We ng'ombe mbona tayari umeshatoa maneno mchafu .......Muulize baba yako aliyewafungia kazi ndie anawajua zaidi nyie praise team hakuna mjuacho kuhusu hii nchi zaidi ya buku 7 mnazopewa lumumba.
Hahahaha jikite kwenye mada.jomba. tupe hayo majina ya mnaosema wapinzani majina kumi tu ikijumuisha wale mnaotarajia kuwasimamisha kugombea urais ili tuwachambue mmoja baada ya mwingine..narudia tena msione aibu kuwataja majina..kuweni huru tu jomba..safari hii mmekamatika hata ajenda mmeishiwa mmebaki na moja tu eti Tume huru,. Hajahahhahahajhahahha. Rubbish
 
Eti unasema wapinzani, wako wapi hao unaowasema..embu weka list yao hapa watu kumi tu kwa kuanzia tumjadili mmoja baada ya mwingine, Kama hujakimbia kwa aibu..rubbish...Kama wewe ni mwanamme kweli Kama sio mwanamke, weka hapa majina tuwachambue hao unaowaita wapinzani..msitukasirishe wengine tukatoa maneno machafu hapa na sikukuu hii ya Pasaka
Nchi za wenzetu serikalu zao zinawapa wananchi misaada ili kupambana na korona huku kwetu kwenye FAILED PRESIDENT tunachangishwa hela kinguvu kuipa serikali
Alafu pimbi kama wewe unalipwa buku 7 tu.unatetea ujinga
 
Nchi za wenzetu serikalu zao zinawapa wananchi misaada ili kupambana na korona huku kwetu kwenye FAILED PRESIDENT tunachangishwa hela kinguvu kuipa serikali
Alafu pimbi kama wewe unalipwa buku 7 tu.unatetea ujinga
Eti serikali inawapa watu msaada..hahahah..nikikuuliza hapo tangu uzaliwe umeshawah lipa kodi kiasi gani serikalini huna jibu..umekaa kaa tuu kazi kuropoka Mambo hata usiyoyajua maskini..wee...eti failed presida...unachekesha..huyu ndio wananchi asilimia zaidi ya 90 tunamtaka atawake kwa miaka mingine 20 zaidi..nyinyi mlioshindwa maisha hameni nchi, maana biashara za wizi, udalali, dili hewa, ukwepaji Kodi hazipo tenaaa...nendeni Basi hata mkalime mahindi maeneo yapo tele yanasubiri watu Kama nyie
 
Nchi za wenzetu serikalu zao zinawapa wananchi misaada ili kupambana na korona huku kwetu kwenye FAILED PRESIDENT tunachangishwa hela kinguvu kuipa serikali
Alafu pimbi kama wewe unalipwa buku 7 tu.unatetea ujinga
Eti serikali inawapa watu msaada..hahahah..nikikuuliza hapo tangu uzaliwe umeshawah lipa kodi kiasi gani serikalini huna jibu..umekaa kaa tuu kazi kuropoka Mambo hata usiyoyajua maskini..wee...eti failed presida...unachekesha..huyu ndio wananchi asilimia zaidi ya 90 tunamtaka atawale kwa miaka mingine 20 zaidi..nyinyi mlioshindwa maisha hameni nchi, maana biashara za wizi, udalali, dili hewa, ukwepaji Kodi hazipo tenaaa...nendeni Basi hata mkalime mahindi maeneo yapo tele yanasubiri watu Kama nyie
 
That's rubbish..how many businesses have grown up during this period..plenty..how many new businesses have been erected..plenty..there's nothing like policy uncertainity. Many business owners have been avoiding Taxes, and thiss why they could not manage to be sustainable..we know the tricky behind and you know too..so stop this rubbish propaganda...
GAG anasema tra hawafikii malego ya ikusanyaji wa kodi , sababu biashara zilizokuwa zinalipa kodi zimekufa, biashara mpya mpaka ziweze kulipa kodi itachukua muda mrefu

Serikali chovu inawapigia magoti WB ili kupewa kamkopo kwa mashariti ya kukubali mimba mashuleni
 
Ok so badala yake watapigia chama gani chadema, act, nccr, tadea na vyama vingine 15 zaidi.? Usione aibu kusema chama. Na chama utakachokitaja tuanze kukichambua kwa undani ..Mimi nitakupa uchambuzi wa kina kwanini umeingia choo Cha kike. Usione aibu narudia tena
Acha utumwa wa vyama mkuu km wale wajinga walio na utumwa wa madhehebu.....watz
Watachagua upinzani kwa sababu tatizo la watz sio idadi ya vyama bali uzandiki wa cc ndio maana haikubaliki kokote.......wanaogopa uchaguzi maana wanajua hasira za hayo makundi yote niliyoyataja.....
 
That's rubbish..how many businesses have grown up during this period..plenty..how many new businesses have been erected..plenty..there's nothing like policy uncertainity. Many business owners have been avoiding Taxes, and thiss why they could not manage to be sustainable..we know the tricky behind and you know too..so stop this rubbish propaganda...
Can you outline some of the business which grow up this time
 
Eti serikali inawapa watu msaada..hahahah..nikikuuliza hapo tangu uzaliwe umeshawah lipa kodi kiasi gani serikalini huna jibu..umekaa kaa tuu kazi kuropoka Mambo hata usiyoyajua maskini..wee...eti failed presida...unachekesha..huyu ndio wananchi asilimia zaidi ya 90 tunamtaka atawake kwa miaka mingine 20 zaidi..nyinyi mlioshindwa maisha hameni nchi, maana biashara za wizi, udalali, dili hewa, ukwepaji Kodi hazipo tenaaa...nendeni Basi hata mkalime mahindi maeneo yapo tele yanasubiri watu Kama nyie
Dogo niweke tin no yangu ukacheck na TRA uone sisi wazalendo wakweli tunavyolipa kodi,
 
Eti serikali inawapa watu msaada..hahahah..nikikuuliza hapo tangu uzaliwe umeshawah lipa kodi kiasi gani serikalini huna jibu..umekaa kaa tuu kazi kuropoka Mambo hata usiyoyajua maskini..wee...eti failed presida...unachekesha..huyu ndio wananchi asilimia zaidi ya 90 tunamtaka atawale kwa miaka mingine 20 zaidi..nyinyi mlioshindwa maisha hameni nchi, maana biashara za wizi, udalali, dili hewa, ukwepaji Kodi hazipo tenaaa...nendeni Basi hata mkalime mahindi maeneo yapo tele yanasubiri watu Kama nyie

Kila siku analipa kodi ikinunua hata bagia za mama ima amelipa labda uwenachanganya maagert wa kodi(wafanyabiashara ) na walipa kodi (wananchi)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha jikite kwenye mada.jomba. tupe hayo majina ya mnaosema wapinzani majina kumi tu ikijumuisha wale mnaotarajia kuwasimamisha kugombea urais ili tuwachambue mmoja baada ya mwingine..narudia tena msione aibu kuwataja majina..kuweni huru tu jomba..safari hii mmekamatika hata ajenda mmeishiwa mmebaki na moja tu eti Tume huru,. Hajahahhahahajhahahha. Rubbish
Mbona mnaogopa uchaguzi.....kwa nn na siasa mmekua mkifanya nyie miakan 5. Hivi ccm inaweza kua na hoja yoyote kwa mtz? Ufisadi hii awamu ni mafisadi kuliko zote zilizopita.....na mauchafu mengine km ununuzi wa ndege inabidi muyafiche kule kusikogusika.....
Mpaka leo 1.5tn hazijulikani zilipo kinachojulikana ni kumfukuza kihuni CAG kwa kuwapa ukweli watz
 
GAG anasema tra hawafikii malego ya ikusanyaji wa kodi , sababu biashara zilizokuwa zinalipa kodi zimekufa, biashara mpya mpaka ziweze kulipa kodi itachukua muda mrefu

Serikali chovu inawapigia magoti WB ili kupewa kamkopo kwa mashariti ya kukubali mimba mashuleni
So what..what's your point here
 
Tangu mlipomkumbatia ambaye mumituaminisha ni MWIZI tena fisadi mkawa na orodha ya mafisadi.
Ghafula akawa mgombea urais wenu. Nikjua HAMNA KITU HUMO haya nayo ni njaa tu hata huyu akija kwenu anakuwa lulu.
Sasa tunatumia akili zetu KUAMUA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom