Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app
Hili andiko la kipumbaf kabisa sijapata kuona..wananchi tunasemaa hata mfanyeje, whether awamu imeshindwa au imeshinda, whatever the case you may say, asilimia zaidi ya 90 ipo nyuma ya Magufuli na serikali yake .Tena Basi tunafikiria kumuongezea miaka zaidi ya kutawala hata akimaliza miaka yake mwingine mitano..Sasa Kama umekosa fursa ya hata kibarua nenda kalime jomba, ukishindwa zaidi Hama nchi..tafuta nchi ya kuishi maana kwa utawala huu utapata tabu Sana..mlishazoea madili, wizi, ufisadi Sasa mmekwama
 
Hakuna mpiga kura anayeweza kumnyima Rais Magufuli na wagombea wengine wa CCM kura kutokana na taarifa uliyoleta. Watashinda kwa kishindo 2020!
Watanzania wanawajua wasaliti wa nchi vizuri sana, usione hawaandiki! Mfano mzuri ni kwamba wananchi wapiga kura wanajua Lissu ni msaliti.
Pia wanajua Magufuli ni mzalendo wa kweli na aendelee kuongoza sisi.
Katika time huru hawawezi kushinda Ila wanashinda kwa magori ya mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu angalau kwa sasa unaweza kutoa maoni,enzi zetu haikuwa hivyo.Lakini shilling yetu haitelemki ipo ngangali kwa miaka mitano tofauti na huko nyuma
Fala kweli wewe Jk. kaacha tzsh to usd. 1650. Huyu mtu wenu anaye mlamba miguu na makalio kaishusha mpaka 2400 alafu unamsifia mwanaharamu wewe
 
Mara TBA, TEMESA, TANESCO.
Sasa ukiangalia hapo kampuni za ujenzi zinakufa Mana JKT na TBA wanamchukua dili , TEMESA nao wanamchukua dili , umeme ivyoivyo TANESCO wanamchukua dili. Kampuni kibao zinakufa .
Zidumu fikra za awamu ya tano kwa ubunifu didimizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui tukusaidiaje jomba, naona umekaririshwa kabisa..hivi umeshawahi kufanya analysis kwa unayoyasema...Mungu akusamehe Sana.
 
Watu wote hatuwezi kuwa na maono sawa sababu wengine wana ubongo na wengine vichwa vyao vimejaa makamasi kama mfano wa ubongo. Tunao ona madudu haya tuendelee kuona na wasiona wasione.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fala kweli wewe Jk. kaacha tzsh to usd. 1650. Huyu mtu wenu anaye mlamba miguu na makalio kaishusha mpaka 2400 alafu unamsifia mwanaharamu wewe
Wewe ni mpumbavu,wa kiwango kikubwa sana,akili ndogo kama ameoba,huna memory.mvivu wa kufikiri.
Kwa taarifa yako shilling iko vile vile haishuki haipandi.kilaza mkubwa wee.
 
Sijui tukusaidiaje jomba, naona umekaririshwa kabisa..hivi umeshawahi kufanya analysis kwa unayoyasema...Mungu akusamehe Sana.
Nimekalilishwa Nini mzee . Mbona ndio mambo yanayoonekana hayo au. Naona povu linakutoka muunga mkono Juhudi.

Tetea kwa hoja usikimbile kusema nimekalilishwa. Leta hoja .
Ajira hakuna tokea 2015,
Wakakimbilia jeshini nako wakatemwa tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani watu wa ufipa wategemee kupata laana kubwa kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi. Kwa nini?
Tangia tupate uhuru hakuna Raisi aliyewai kutukanwa mitusi mizito tena kama si amilijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa taifa zima kama Mzee wa Msoga Ndugu yetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. ( najua wamesahau)

Jamani walimshambulia huyu mzee wakamsurubisha hata juu ya msalaba, lakini yeye akawa kimya kama Yesu mzee wa watu.
Wakaanza kusema nchi hii inahitaji Rais na kuanza kutoa sifa ya raisi ajae.
Ukiangalia kila sifa waliyoitaja ilikuwa inamlenga Dr. John Pombe Magufuli.
Kwa kweli CHADEMA tunyamaze sasa,, tunakinywea kikombe tulichokitamani Siku nyingi nyoko sisi! Au tumesahau tuliposema Kikwete ni dhaifu?
 
Yaani watu wa ufipa wategemee kupata laana kubwa kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi. Kwa nini?
Tangia tupate uhuru hakuna Raisi aliyewai kutukanwa mitusi mizito tena kama si amilijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa taifa zima kama Mzee wa Msoga Ndugu yetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. ( najua wamesahau)

Jamani walimshambulia huyu mzee wakamsurubisha hata juu ya msalaba, lakini yeye akawa kimya kama Yesu mzee wa watu.
Wakaanza kusema nchi hii inahitaji Rais na kuanza kutoa sifa ya raisi ajae.
Ukiangalia kila sifa waliyoitaja ilikuwa inamlenga Dr. John Pombe Magufuli.
Dr. wa ukweli au kama manyau nyau?
 
Huu utawala umevurugika kisawasawa,hawana tena ushawishi wowote.Wanalazimisha hata kupendwa na kusifiwa/kujisifu kutwa/kucha.
Tusipodai Katiba ya Wananchi tusilalamike tutakapouzwa jumla.Viongozi wamepoteza focus, vision and motive to lead,they have nothing to loose.We are the one to suffer.
Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpumbavu,wa kiwango kikubwa sana,akili ndogo kama ameoba,huna memory.mvivu wa kufikiri.
Kwa taarifa yako shilling iko vile vile haishuki haipandi.kilaza mkubwa wee.
Bado unaendelea kulamba miguu na makalio 2015 exchange rate ilikuwa kati ya 1650 mpaka 1700tzsh nenda kaulizie exchange rate leo au Ingia Google update jibu mpumbavu wewe usifananishe jamii forum na vijiwe vya kahawa ,mwanaharamu kabisa
 
Bado unaendelea kulamba miguu na makalio 2015 exchange rate ilikuwa kati ya 1650 mpaka 1700tzsh nenda kaulizie exchange rate leo au Ingia Google update jibu mpumbavu wewe usifananishe jamii forum na vijiwe vya kahawa ,mwanaharamu kabisa
Si wewe Wala huyo jamaa ni wote mnasema uwongo na sijui ni Kwa faida ya Nani sasa!!
 
Bado unaendelea kulamba miguu na makalio 2015 exchange rate ilikuwa kati ya 1650 mpaka 1700tzsh nenda kaulizie exchange rate leo au Ingia Google update jibu mpumbavu wewe usifananishe jamii forum na vijiwe vya kahawa ,mwanaharamu kabisa
Your dead dumb.It seems your looking alternative fact.which is damn lies.
 
Kijana acha kukariri watu wanaangalia delivery of good results. Kwa mambo aliyoyafanya JPM na CCM yake kama chairman hata mlete refa gani mtapigwa tu. Japokuwa mnasingizia tume. Wakati hata hii ya sasa ipo huru na inafanya kazi kw mujibu wa katiba na sheria za nchi.
Tume imetajwa kuwa huru,ila kwa mwenendo wake tunaouona kipindi cha uchaguzi inasikitisha, ni kwanini isiwe huru na wote tuone ni huru?
 
Back
Top Bottom