MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye...
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika "thesis" iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
- Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
- Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
- Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe
Nape aliweza kurudia baadhi ya masomo na kusafisha cheti ndipo vyuo husika vikampokea; tumpe pongezi kwa uthubutu wa kutokata tamaa
naomba kuuliza tu hivi katika diploma huwa wanaadika THESIS???? au DISSERTATION?
cHUO CHA ualimu wana michepuo ya EGM?
kama alipata F FORM 4 aliwezaje kusoma huo mchepuo?
mtoa mada ili mada yako iweze kuwa na mshiko ambatanaisha TRANSCRIPT YA nape.
Kuna kipindi unafika unawashangaa watu hapa Jamvini habari wanazotaka ni kusifia CHADEMA tu ukikosoa utapachikwa majina ya ajabu ajabu.Mleta mada kaomba CV za wabunge wa CHADEMA kama unajua unatuambia kama hujui unakaa kimya.
Mkuu wangu CV ya Godbless Lema ni ya hovyo kuliko nilivyofikiri mwanzo.Jamaa alishindwa kufaulu mtihani wa form II kuingia form III.Ana cheti cha lugha ya kiingereza miezi 3 KIMAHAMA mkabala na Golden Rose.Mkuu mambo mengine labda ajiendeleze baada ya kuwa mheshimiwa kazi hii namwachia kamanda PakaJimmy anaweza kumshauri.
Anza na transcript ya Mnyika kabla ya kuhoji ya Nape. Usilete double standards hapa kama huna cha kuandika kaa chini usome. Mbona Mnyika kabwabwaja na O-level yake ya A-tisa, lakini hajathubutu kueleza form six alipata A??..
Kuna thread ya Mnyika bado iko open. Peleka ombi kule.
Anza na transcript ya Mnyika kabla ya kuhoji ya Nape. Usilete double standards hapa kama huna cha kuandika kaa chini usome. Mbona Mnyika kabwabwaja na O-level yake ya A-tisa, lakini hajathubutu kueleza form six alipata A??..
Weka za Mnyika za A'level
Good point, Mnyika alileta na grades zake alizopata kwenye kila level. Na Nape atupe grades zake. O-level, A-level, diploma, degree ya kwanza, degree ya pili. Atuambie ana class gani au alikuwa anapita kwa pass halafu hela za babake ndiyo zinampull kwenda mbele?Ambatanisha na ufaulu wake kwa kila ngazi ya elimu
Wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu, wanapendana hadi wanachefua, badala ya kumshauri Mnyika akaongeze shule, wao wanazidi kumtia UJINGA kuwa Mnyika kasoma kuliko Nape. Huko ni kudharau mamlaka za vyuo husika (Kivukoni, Bangore - India na Mzumbe) ambazo zimemtunukia vyeti Ndugu Nape kutokana na kukidhi vigezo vya Diploma, B.A na M.A. Pia ni kudharau UDSM ambao mpaka hadi leo hawajampatia cheti cha Shahada, Ndugu Mnyika kwa vile maksi zake hazikutosha kumpa kofia ya uhitimu. NAPE yuko juu ya MNYIKA kielimu hiyo haina shaka
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika thesis iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
- Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
- Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu 3 kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
- Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
- Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
- Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
- Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
- Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
- Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe
Wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu, wanapendana hadi wanachefua, badala ya kumshauri Mnyika akaongeze shule, wao wanazidi kumtia UJINGA kuwa Mnyika kasoma kuliko Nape. Huko ni kudharau mamlaka za vyuo husika (Kivukoni, Bangore - India na Mzumbe) ambazo zimemtunukia vyeti Ndugu Nape kutokana na kukidhi vigezo vya Diploma, B.A na M.A. Pia ni kudharau UDSM ambao mpaka hadi leo hawajampatia cheti cha Shahada, Ndugu Mnyika kwa vile maksi zake hazikutosha kumpa kofia ya uhitimu. NAPE yuko juu ya MNYIKA kielimu hiyo haina shaka
Mkuu jielekeze kwenye Hoja ya msingi...BUTIMBA kuna EGM?Ilikuwaje EGM kwa matokeo ya D na F?
Hii sio cv! Au hujui maana ya cv? Kajipange upya na huyo bwanako Naape
Swali bado linabaki:Mkuu,hao ndio ma pro-chadema,wakimpenda mtu hadi matapishi yake huwa wanaita siagi. By the way Chadema ni watu wa shortcut at any cost. Ndio maana Mnyika alijibu ataenda kusoma apate degree Chadema itakaposhika dola,atakavyopata..connect. Lakini pia Mnyika ataenda shule kwa msukumo wa nani ikiwa viongozi wake wa juu elimu zao za kuunga kwa gundi. Mbowe_form IV,na degree za kwenye mitandao,Slaa_certificate za theology na PhD bila Barchelor wala Masters degree,Lema_form four,udalali wa madini kule Arusha.