Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
Mkuu upo? Kitambo sana, tumekumis bana, fanya uje!
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahah!
Hata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.
 
Hata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.
Hahahahaaaaaa
 
Hata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.
Inamaana waziri nae ni kilaza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…