Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn hujatuandikia credit alizopata 4m 4 na six?Fanya hvyo 2jiridhidhe!
Mkuu upo? Kitambo sana, tumekumis bana, fanya uje!MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
Kwenye sivii mbona hawajaeleza jinsi alivyoteswa na gono sugu?
kuna uvumi kuwa Baba yake Mwandosya kuwa ni matunda ya mkesha wa Mwenge...Tupeni basi na majina ya baba yake Mzazi cv ikamilike, alizaliwa wapi
Hata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.Hahahahahahahahahahahahahahahahahah!
HahahahaaaaaaHata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.
Hata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.
Inamaana waziri nae ni kilaza?Hata mimi nimecheka sana maana ameandika kwa mtindo wa Historia ya maerehemu halafu yeye akaita CV. Ndani uongo kibao eti Butimba kusoma EGM wakati kile ni chuo cha ualimu na sio High School.