Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye.

Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi.

Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;

Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3).

Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.

Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili).

Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne).

Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC.

Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.

Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.

Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India.

Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye.

Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi.

Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;

Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3).

Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.

Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili).

Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne).

Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC.

Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.

Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.

Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India.

Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
Toa hapa takataka diploma gani hiyo inayotambulika ya mwaka mmoja??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Bro soi hivo yaani ata mimi napinga usomi wake maana kuna watu humu wamesema kuwa nape ana digrii ya habari na sayansi ndio maana nimeonyesha usomi wake hapa wa magugu ili hawa wa uvccm wajue ukweli.
 
TandaleOne Master of Business Administration na sababu zinazochangia ushiriki wa wapiga kura zina uhusiano gani? Angefanya "Reasons lead to poor performance of public corporations" hii kidogo ingelandana na hiyo master yake @Nnauye Jr
Thesis yake inawafaa wanafunzi wa Maters ya Political Science...
 
Mbona hamsemi kuwa alifeli mtihani wa darasa la saba akanunua jina la mtu? Jina lake halisi shule ya msingi alikuwa anaitwa Nahum
anasemwa bashite tu....labda kwa kuwa kumbukumbu zetu ni fupi sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
TandaleOne Master of Business Administration na sababu zinazochangia ushiriki wa wapiga kura zina uhusiano gani? Angefanya "Reasons lead to poor performance of public corporations" hii kidogo ingelandana na hiyo master yake @Nnauye Jr
Mkuu rudia tena kusoma huo uzi
 
anasemwa bashite tu....labda kwa kuwa kumbukumbu zetu ni fupi sana
Bashite anatuhumiwa kughushi vyeti lakini kwa CV hiyo ya Nape haioneshi kwamba amegushi vyeti bali ameunga unga!! Kuunga unga sio dhambi na hata kama mtu amepata zero bado sio dhambi!!

Unless kama una taarifa zingine zaidi ya hizi kinyume chake ni mambo mawili tofauti!! Hapa tunaweza kusema mmoja ni kilaza na mwingine ni kilaza na pia ni fraud! Na hilo la kuunga unga tukisema waliounga unga wote JF waondolewe kuna hatari nusu ya members wakaondoka!!!
 
Bashite anatuhumiwa kughushi vyeti lakini kwa CV hiyo ya Nape haioneshi kwamba amegushi vyeti bali ameunga unga!! Kuunga unga sio dhambi na hata kama mtu amepata zero bado sio dhambi!!

Unless kama una taarifa zingine zaidi ya hizi kinyume chake ni mambo mawili tofauti!! Hapa tunaweza kusema mmoja ni kilaza na mwingine ni kilaza na pia ni fraud! Na hilo la kuunga unga tukisema waliounga unga wote JF waondolewe kuna hatari nusu ya members wakaondoka!!!
soma hii thread utapata majibu....ngoja tuwatoe ubwabwa wa shingo...

Elimu ya Nape Nnauye
 
Back
Top Bottom