kirimirimi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 287
- 194
Tanzania elimu yetu ya utata na ni ngumu kweli kwani hata ukiwa na PhD ya Harvard bado watataka uwaonyeshe cheti chako cha form four sasa sijui kiwasaidie nn, watanzania elimu yetu ngumu sana na bado ngumu, hata kama alipata zero kwenye elimu yetu mambo magumu sana kwani kuanzia kidato cha kwnza had I cja NNE mazingira yake no magumu mno na kila MTU anafahamu kuanzia lugha mpaka mazingira sio rafiki.