Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Tanzania elimu yetu ya utata na ni ngumu kweli kwani hata ukiwa na PhD ya Harvard bado watataka uwaonyeshe cheti chako cha form four sasa sijui kiwasaidie nn, watanzania elimu yetu ngumu sana na bado ngumu, hata kama alipata zero kwenye elimu yetu mambo magumu sana kwani kuanzia kidato cha kwnza had I cja NNE mazingira yake no magumu mno na kila MTU anafahamu kuanzia lugha mpaka mazingira sio rafiki.
 
soma hii thread utapata majibu....ngoja tuwatoe ubwabwa wa shingo...

Elimu ya Nape Nnauye
Sijaona kipya kwenye hiyo thread zaidi ya kusema alifeli na kuunga unga!! Narudia, tuhuma dhidi ya Bashite sio kufeli na kuunga unga bali kufoji vyeti! Hali iliyopelekea kutoka jina la Daud Albert Bashite hadi Paul Christian Makonda!!

Anzia hapo kisha unipe thread husika!!
 
Tanzania elimu yetu ya utata na ni ngumu kweli kwani hata ukiwa na PhD ya Harvard bado watataka uwaonyeshe cheti chako cha form four sasa sijui kiwasaidie nn, watanzania elimu yetu ngumu sana na bado ngumu, hata kama alipata zero kwenye elimu yetu mambo magumu sana kwani kuanzia kidato cha kwnza had I cja NNE mazingira yake no magumu mno na kila MTU anafahamu kuanzia lugha mpaka mazingira sio rafiki.
inaeleweka hivyo...sasa kuna wajanjawajanja waliopata nafasi kwa kuungaunga wanataka kujidai wao ndio wao....ilhali ni matapeli wale wale wa kielimu....kutumia jina la mtu kwa rika la kina nape lilikuwa jambo la kawaida sana...wengi sana wamefoji....
 
Sijaona kipya kwenye hiyo thread zaidi ya kusema alifeli na kuunga unga!! Narudia, hoja dhidi ya Bashite sio kufeli bali kufoji vyeti! Anzia hapo kisha unipe thread husika!!
umeisoma kwa papara irudie tena....hapo utaibuka na Jina la Nahum Moses Nauye vs Nape mkumbo...halafu utachanganya na za kwako
 
Geography "D", B/Math "F", halafu "A" level EGM. Labda hakusoma TZ[emoji28][emoji28], Baadaye vyuo vya siasa. Hivi kivukoni ni Higher learning institution? Vipi mkopo analipa?
 
Wabongo bana mkitaka kupekua hzo mambo....mtajikuta Hamna serikali...na wenye kupasi ni vilaza wa uongozi....
 
umeisoma kwa papara irudie tena....hapo utaibuka na Jina la Nahum Moses Nauye vs Nape mkumbo...halafu utachanganya na za kwako
Thread husika haijataja popote kwamba amefoji... sasa siwezi kupitia posts zooooooooooooote kutafuta ipi imesema suala la kufoji!! Weka hapa hiyo post na usiweke thread!!!

Kama unazungumzia post iliyosema "Nahum Moses Nnauye (Nape)" basi itakuwa kichekesho mtu kufoji jina la kwanza na kuacha mengine!! Manake unachosema ni sawa na kusema somewhere outta there kuna mtu anaitwa Nape Moses Nnauye lakini huyu Nahum XYZ baada ya kufeli akafoji na kujiita Nape Moses Nnauye! Au ni kama unataka kusema ana ndugu anaitwa ndie mwenye jina la Nape Nnauye ambalo Nahum alilichukua! Lakini hakuna popote paliposema hizo assumptions!!!

Weka hapa hiyo post or else usione taabu ku-admit tuhuma za Nape na Bashite ni tofauti! Wakati wote wanaonekana walikuwa vilaza lakini Bashite alifoji!!!!
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu "3" kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG];Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika "thesis" iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)
WEKA VYETI VYAKE VYA SECONDARY TUANGALIE MATOKEA YAKE HALISI
 
Napata kichefuchefu kusoma matokeo ya nnepi kama ni kweli, "F" ya CIV, halafu mwanasiasa. Nahisi "shangwe" nikisoma ya Mnyika. Mzumbe university huwa wanapora cheti kama ulidanganya sifa za kuingilia.
 
Geography "D", B/Math "F", halafu "A" level EGM. Labda hakusoma TZ[emoji28][emoji28], Baadaye vyuo vya siasa. Hivi kivukoni ni Higher learning institution? Vipi mkopo analipa?
kuna maswali huwa hayajibiwi yanabakiaga hivyo hivyo ila yataendelea kuulizwa tu mpaka yatakapojibiwa.
 
Napata kichefuchefu kusoma matokeo ya nnepi kama ni kweli, "F" ya CIV, halafu mwanasiasa. Nahisi "shangwe" nikisoma ya Mnyika. Mzumbe university huwa wanapora cheti kama ulidanganya sifa za kuingilia.
mzumbe wakichukua cheti chao utasikia ooh ananyanyaswa ooh kwa nini sasa hivi na blah blah nyingine za namna hiyo.
 
Bashite shida co kupata zero,shida IPO hapo alipotumia cheti cha huyo makonda.
 
Thread husika haijataja popote kwamba amefoji... sasa siwezi kupitia posts zooooooooooooote kutafuta ipi imesema suala la kufoji!! Weka hapa hiyo post na usiweke thread!!!

Kama unazungumzia post iliyosema "Nahum Moses Nnauye (Nape)" basi itakuwa kichekesho mtu kufoji jina la kwanza na kuacha mengine!! Manake unachosema ni sawa na kusema somewhere outta there kuna mtu anaitwa Nape Moses Nnauye lakini huyu Nahum XYZ baada ya kufeli akafoji na kujiita Nape Moses Nnauye! Au ni kama unataka kusema ana ndugu anaitwa ndie mwenye jina la Nape Nnauye ambalo Nahum alilichukua! Lakini hakuna popote paliposema hizo assumptions!!!

Weka hapa hiyo post or else usione taabu ku-admit tuhuma za Nape na Bashite ni tofauti! Wakati wote wanaonekana walikuwa vilaza lakini Bashite alifoji!!!!
mkuu mimi nimekuletea thread uisoma na uijadili ..sitaki kukulazimisha uelewe....isome kwa kina...halafu muachie mwenye cv aclarify....kumbuka hii thread ni ya siku mingi humu...
 
Back
Top Bottom