Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Mzee wa goli La mkono
na mzima bunge live, aliyesadikika kugeuka shujaa
 
Tuwekee na ya Daudi Albert Bashite.
 
HAPO KWENYE RED....BUTIMBA TTC SI CHUO CHA UALIMU JAMAN...AU TUSEME BUTIMBA TTC SECONDARY SCHOOL?..
kajipange upya urudi tena na kiwango cha ufaulu kwa kila level hasa hasa sekondari

Diploma mwaka mmoja then INDIA..hakuna mtu anafeli india elimu inauzwa kama samaki
 
Mbona hivyo kwa nape ambaye hakupata zero yaani fa fa fa fa fa fa fa fa fa, mwambie bashite aweke vyeti kwanza acheni hiizooooo
 
Wangekuwa wauza kama maziwa mngekuwa mnapeleka viongozi was nchi kutibiwa , inawezekana we bashite mamba tatu, diploma mwaka moja niutaratibu mbona digirii ilikuwa miaka 4 sasa mitatu kwa baadhi ya digrii, bashite atupie vyetiiiiii..,............
 
Takataka tupu diploma hata hazieleweki mwaka mmoja mmoja!!
Ndalichako pitia huku uone
Na hapo ndio utamu wa siasa ulipo, unaweza kukutana na ukweli mwingine unaoumiza hapa matokeo yake ukaongeza mapigo! Hivi Koromije si inapatikana jirani na maeneo ya Misungwi pia!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…