Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Ni ipi sababu ya kutojitokeza kwa wapigakura siku ya kura?"
Ni kwa sababu ya bao la mkono... hamna haja ya kura
 
kwenye masters I was there nilikuwa miongoni mwa wale walio kaa juu na makofia ua mduara mumpa masters. ya huko nyuma siyajui
 
Diploma wanandika thesis au project? jamani mbona bado mapema kweupe? thesis?
 
ulikuwa unasoma ualimu haf comb yaani masomo mawili na ualimu -mfano nape angalisoma econ ,geog+education kwaiyo ni mwal -ama alisaidiwa kusoma egm . ujue butimba ni chuo cha ualimu mchepuo wa michezo yaani walimu wa michezo na sanaaa -nape atakuwa mwalimu wa michezo kama majaliwa wakati magu ni wa kemia
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Wakati huo unataka kusema hapakuwa na shule za sekondari za Kutwa?
 
DUU,,, JAMAA ETI NI WAZIRI SASA NI KULA BATAA MPAKA KUKU WAONE WIVU ,,,,4M LUMUMBA :washing:
 
Butimba Alevel?

Yo Yo, nimependa slogan yako "....kuwa na baba masikini ni mipango ya Mungu, ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenye..."
Yahani umefanya utafiti kweli ndo maana watanzania tukaamua. Mnaona majibu ya JPM?....
 
Tuanzie hapa form 4

NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A
Mkuu umemaliza kazi...najiuliza hiyo EGM inayompokea mtu mwenye F ya Math ni ipi?
 
Agenda yetu kuu kwa NAPE ni kuhusu ufaulu wake na sio kasomea wapi au kasomea nini:

1. Tunaomba ufaulu wa matokeo yake (Kwa Sekondari pale Nsumba)
2. Ufaulu wake katika masomo ya EGM (Hapo Butimba)

EGM ipi na ana F ya Math?
 
yan shida ipo Butimba TTC kutoa combi ya EGM.....ttc its either teacher's collage or tecnical school.....sasa hii ya EGM ndo nin??...yan hapo ndo anapotuchanganya
 
Sidhani kama kuna sababu ya msingi ya kupata cv za Sugu na Vicent Nyerere. Vicent alikuwa mbunge, Sugu anaendelea kuwa mbunge. Sifa namba moja ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tena Kiswahili, (rejea hata kwenye katiba pendekezwa). Sasa hapo CV za nini tena labda kama kuna taarifa kwa mmoja wao kwamba hajui kusoma wala kuandikika kwa Kiswahili.
 
yan shida ipo Butimba TTC kutoa combi ya EGM.....ttc its either teacher's collage or tecnical school.....sasa hii ya EGM ndo nin??...yan hapo ndo anapotuchanganya

Labda ilikuwa maalumu kwa nape tu si unajua watoto wa wakubwa.
 
Tuna sababu gani ya kutafuta CV za Sugu na V. Nyerere. Sifa kuu ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tena kwa Kiswahili (rejea hata katiba pendekezwa).
 
Hahahahahahaaaaaaaaaaa,so what! Tanzania eeeeee..........by roma.
 
Back
Top Bottom