Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Tuanzie hapa form 4

NAPE NNAUYE
SEX M DIV IV PTS 29 KISW D HIST D GEOG D ENGL F B/MATH F BIOL D CHEM D PHY D CIV F
-----------------------
JOHN MNYIKA
SEX M DIV I PTS 7 PHY A CHEM A BIOL A CIV A ENGL A GEOG A HIST A B/MATH A KISW A B/KNOW A

from what i can smell, Nape is not so far from Kibonde Efreim of clouds fm,they resemble interms of qualification,no doubt at all.
 
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika "thesis" iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

Tandaleone Hivi ndivyo alivyokueleza au umeongeza chumvi?Diploma ya mwaka mmoja unaandika Thesis?
 
Utetezi wa Nape kwa jazba jana ulimsababishia ban chama.
chama
user-offline.png

Banned
reputation_neg.png
reputation_neg.png
reputation_neg.png
reputation_neg.png
reputation_neg.png
reputation_highneg.png
reputation_highneg.png
reputation_highneg.png
reputation_highneg.png
reputation_highneg.png
reputation_highneg.png




niliripoti jazba zake, leo atakuja kwa Id nyingine.
 
BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.

acha ujinga wako kawaeleze wajinga wenzio ccm
 
Wote mnaofuatilia uzi huu.

1. Watetezi wote wa Nape Nnauye wanakwepa habari ya Elimu ya Sekondari ya Nnauye.

2. Kutokana na kukosa habari hizo kuhusu Nape Nnauye, tunapata mashaka kama Nape Nnauye alifuzu kweli kidato cha nne na cha sita.

3. Kukosekana kwa maelezo hayo, kunaleta mashaka ya 'namna alivyopata sifa za kuendelea na masomo'.

4. Hili linaleta suala la uaminifu wa kiongozi. Je alitumia mbinu halali? kama ndivyo aziweke wazi. Kama sivyo basi huyu si safi. Tena ni aina mbaya sana na kubwa sana ya ufisadi. Kiongozi kuudanganya umma kuhusu elimu yake

Mtu wa Shamba kuongezea tu wameanzisha uzi mwingine kule kupitia kwa Masalia ili kudilute mjadala!Tandaleone amerudi Lumumba wanajipanga kurudi ila issue inakuwa warudije?Kifupi wameshikwa pabaya
 
Matokeo ya Nape Nnauye ya Ordinary level secondary education ni Division TWO..,kwa anayetaka kujiridhisha anaweza ku-google mwenyewe NECTA matokeo ya Nsumba Secondary 1997. na hata kwa matokeo mengine pia ambayo Ni ya ndani ya Nchi na kuhusu matokeo ya chuo cha bangalore nayo yapo TCU.,ni jambo la kuuliza na kujibiwa.
Tunaomba link ya matokeo ya Nsumba 1997.
 
Hii CV inaonekana ni ya kulazimisha, hakuna ubishi!! Najua Nape kakutuma na sipendi kushindana na wewe ila kuna walakini kwenye maelezo yako!
Mfano, kati ya 1987 na 1989 Nape alianza drs la kwanza. Kwanini usiweke "exactly" mwaka alioanza hilo darasa??
Pili Butimba ni chuo cha ualimu, alisoma cheti au diploma? Kwa muda ulionyesha wa mwaka mmoja pale Butimba, jamaa atakua amesoma cheti na kwa mantiki hiyo matokeo yake ya form six hayakumruhusu kusoma diploma!!
Tatu, umesema alisoma diploma ya diplomasia pale Dar kuanzia 2002-2003, je kuna diploma ya mwaka mmoja?? (lazima amesoma certificate kwa kutumia matokeo ya form four)

My take:
Kwa maelezo yako, Nape ana elimu ya vyeti ila hajaelimika popote, na ndio maana uwezo wake upo chini sana! Nape kafika hapo alipo kutokana na kubebana kulikopo chani ya CCM. Wapo wengi tu kwenye idara nyeti za serikali ambao ni vilaza zaidi ya Nape.!
Kwa kuwa Nape ndie alieanzisha mjadala wa kuchokonoa elimu za watu; angetakiwa aje hapa jukwaani mwenyewe sio kukutuma wewe.
Hili linadhirisha jinsi alivyo kihiyo. Angemjibu Mnyika kwa hoja ingependeza sana! Nape hawezi kushindana na Mnyika hata kwa dawa!! To me Mnyika is the next level before Moses Nape. Huwezi kuwalinganisha hata kidogo. Simshabikii Mnyika, ila nimewa-evaluate wote ndo maana nikaja na hiyo observation.
mkuu uko juu sana hongera hawa pimbi lazima tuwanyoshe naelimu zao za kugushi
 
TandaleOne

Wewe unatudanganya na hiyo A'level yako umeandika UONGO, kwanza mpaka elimu ya mnhika ni kubwa kukuzid hata mpangilio hujui, na ni wewe mwenyewe nape ndo umeandika ----- huu, ndo maana tunasema CCM hamjui kujenga hoja, kajipange then ndo utuletee uongo wako hapa na alama zako, make matokeo yako hayana tofauti na matokeo ya mwaka huu make zero na four na maanisha hata wewe vyet vyako vimejaa 0 na 4 tena hapo diploma zingine ukuzisoma umeletewa chet nyumbani, makalio wewe, mwaka 2015 lazima meli izame, nakuchukia sana wewe mtu, na bosi wako kikwete, na si mnangombania demu atakupiga chini sasa ivi.....
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana ulijua uko facebook, hapa ni home of great thinker, umemix mambo sana kwenye kuunga unga kwako hiyo cv,
 
Nape hajawahi kusoma kidato cha tano na cha sita mahali popote. Angekuwa ameleta yeye mwenyewe hii CV na sio kumtuma jamaa wa Uwanja wa Fisi, ningemfungulia mashtaka ya kudanganya umma.

Hata kupata kwake nafasi pale chuo cha chama (Magamba) kivukoni ilikuwa ni hisani ya Mzee Yusuph Makamba ndio alimuombea wambebe mtoto wa rafiki yake
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahah!


teheteeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhheeeeeeeee

kwanza mjue nimesoma na nape pale nsumba akiishi bweni mondlane no4 sio 3 kama ilivoandikwa.
halafu hakuna shule ya butimba ttc. binafsi nimekulia maeneo ya butimba;
hahahahaaaaaaaaaaaah
labda atudanganye india, sababu hatukuwa nae huko
 
jana alikuwapo chama na ritz naona leo ni zamu yako mkuu! pambana!!

Chama povu lilimtoka akaishia kupigwa ban. Inatakiwa uwe na roho kama mwendawazimu kuwatetea watu waliopo sasa nadani ya hiki chama.
 
Nimeamua kueleza ukweli huu baada ya kuona upotoshaji wa makusudi unaoendelea humu.

Kuna mtu kajitokeza kujibu elimu ya Nape wengi wakahoji kwani Nape yuko wapi asijitokeze mwenyewe kujibu kama alivyofanya Mnyika?

Naomba mfahamu aliyejibu ni Nape mwenyewe kwa kutumia ID ya bandia, lakini amekuwa mno too radical hadi watu wakamshtukia.

Lakini hoja sio kuwa radical, au kutumia ID bandia, hoja ni kuwa amefanya upotoshaji wa makusudi uliotuacha mdomnd wazi wale tunaomfahamu. Sasa ukweli kuhusu elimu ya Nape huu hapa.

Mwaka 1993 alifeli darasa la saba. Wakati ule jina halali la Nape akiitwa Nahum Nnauye. Waliosoma nae wanakumbuka. Bt akafanyiwa mpango na kupewa jina la Nape Mkumbo Nyagicha mtoto masikini wa Kinyiramba, aliyefaulu lakini familia yake haikuwa na uwezo wa kumsomesha.

Mwaka 1994 Nahum Nnauye akajiunga na shule ya sekondari ya kutwa Ndugu wilayani Kwimba akiwa na jina kaiba jina jipya la Nape. Mwaka 1995 akahamishiwa shule ya Sekondari Nsumba kwa kutumia title ya baba yake Mzee Moses Nnauye.

Mwal 1997 akafeli form four kwa kupata division four ya point 29 akiwa na D 4, c 1 na F 5. Akareseat mara 2 bila mafanikio pale Butimc TTC ambacho ni kituo cha watahiniwa binafsi. Mwaka 1999 na mwaka 2000.

Akakata tamaa na hatimaye mwaka 2001 akaamua kwenda kusoma cheti cha Uhazili (cert of secretarial services) katika chuo cha Kivukoni. So kabla sijaendelea naomba ieleweke kuwa Nahum Moses Nnauye (Nape) hajawahi kusoma form 5 shule yoyote duniani. Kama anabisha aje hapa tumuulize maswali ya Geography 1 au Ecomics 2 uone atakavyochanganyikiwa. Kwanza hajui kama kuna paper 1 na 2 A.level, atasemaje amesoma A.level?

So uhazili mwaka akatumia cheti chake cha uhazili kuomba diploma pale chuo cha Diplomasia kurasini. akapata na akaanza kusoma. Mwaka mwaka 2002 akafeli kuendelea na 2nd year baada ya kupata suplimentary 4 ktk masomo 6 aliyokuwa akisoma. So kwa kifupi akadsco. Hivyo naomba ieleweke kuwa huyu jamaa anayejiita Nape hajawahi kutunukiwa diplmoma yoyote kutoka Chuo cha Diplomasia Kurasini. Kwanza asikidhalilishe chuo maana pale hakuna Diploma ya mwaka mmoja. kama anabisha aupoad picha yoyote hapa alipokuwa anatunukiwa hiyo diploma.

Grace Mwasonge unamkumbuka Nape vzr maana alikuwa classmate wako wakati huo. So najua uko humu japo kwa ID tofauti naomba ujitokeze kudhibitisha ili isionekane nafanya defamation.

Mwaka 2004 akatumia cheti chake form four kuomba degree India kwa kusaidiwa na mwandishi mmoja mashuhuri nchini kwa kuwatafutia vyuo vya nje watu waliofeli.

Na akapata kwa masharti ya kusoma miaka minne. Ikumbukwe India ni nchi yenye vyuo vya hovyo sana duniani, na ni miongoni mwa nchi ambazo hata kama una zero unaweza kusoma Bachelor bila matatizo yoyote hadi ukahitimu. Reffer kesi ya Mr.Andekisye, Lecturer aliyefukuzwa kazi Arusha University kwa kusoma elimu feki India. Andekisye aliajiriwa kama mhadhiri wa Marketing na Business Mathematics akidai ana MBA kutoka India. Bt ilipofuatiliwa ikagundulika ni kweli ana Masters bt hajawahi kusoma Bachelor. Alichomoka na Diploma yake ya Ualimu (Mathematics & Physics) kutoka Monduli TTC akaaply Masters India akapata akaenda kujoin. Sasa imagine mtu anatoka Diploma anakwenda Masters sembuse Nape kusoma bachelor?

So akapata degree yake fake ya psychology ambayo ndiyo aliyoitumia kuomba masters mzumbe. Na mzumbe hakukabidhi cheti zaidi ya kile cha degree yake ya India.

Kama anabisha aweke vyeti vyake vya o.lel na a.level hapa.

Huyo ndiye Nahum Moses Nnauye anayejiita Nape. Katibu mwenzezi wa Chama cha Mapinduzi CCM na mgombe ubunge ubungo mwaka 2010, wakati ule akijaribu kushindana na genious aliyepata A 9 O.Level yeye akiwa na D 4 tu.
 
Ndugu Tandaleone

Nimegoogle sijaona kitu kama hicho, labda wewe u-google harafu ndo ukopy na kupest hapa,na iwe na jina lake, namba ya mtihani na matokeo na ukopy page nzima, usije ukajitapia harafu useme umegoogle. sa nyingine usijipendekeze kwa mtu kwa kumjaza bichwa, aseme ukweli, mnyika katueleza tumeelewa, kama kapata two si yake, au nape atumie page yake atujibu ka mwenzake alivyojibu, hiyo ndo inaitwa kujibu kwa hoja
 
Napeeeeee, wadau wanakuhitaji ujieleze vizuri bwana la sivyo wengine tutaamini Butimba ulisoma certificate/diploma ya teaching bhan tena baada ya kupata kati ya madaraja ya chini!!!!!!!!!! Mbona J.J MNYIKA alikuja kujieleza fasta????????? why not yuo????????? ulichokoza mwenyewe kuhusu elimu za watu.
 
Back
Top Bottom