Hii ndio design pekee ambayo ingemaliza tatizo la foleni Mbezi Mwisho

Hata ofisi hamjawahi kujenga unaokoteza picha mitandaoni unaleta Kama vile umeshawahi kubuni kitu! Hebu tuoneshe ulichojenga kijijini kwenu sigimbi
 
Ebu kuwa na adabu tunapo jadili mambo ya msingi.
Hata ofisi hamjawahi kujenga unaokoteza picha mitandaoni unaleta Kama vile umeshawahi kubuni kitu! Hebu tuoneshe ulichojenga kijijini kwenu sigimbi
 
Najua plan inayo kuja ni kuinua morogoro road juu na goba vs kinyerezi ipite chini, lakini kwa kutumia zile round about mbili tumechemka vibaya lazima kutakua na foleni kwa magari ya goba kinyerezi hasa masaa ya jioni.

 
Labda mfumue na mjenge upya kitu ambacho hakita wezekana.
 
hii ni "misuse of resources" hasa ardhi. Pale mbezi ni Prime Area kuchukua eneo lote hili siyo sahihi. Vinginevyo, hayo maeneo yaliyo wazi kwenye makutano haya unieleze yatatumika kwa kazi ipi ya kiuchumi. Ukinieleza watasimika mitambo ya Nishati jadidifu kama PV panels, Wind turbines, nakadalika kwa uzalishaji wa nishati naweza kukuelewa.
 
Hapa tunazungumzia kiundombinu ya barabara, haihitaji degree kujua umuhimu wa kutafuta solution ya magari pale mbezi.. kwa sasa tuu inachukua zaidi ya saa moja gari kutohoa mbezi..Je in 10 years miujdombiju hii inayo jengwa, bado itatufaa?
 
ukipita dalaja la kigamboni utaona jinsi kikwete alikuwa championi wa miundombinu iliyoenda shule mafuguli anajenga utopolo
 
Nadhani hujaipata design sahihi.. kwa jinsi walivyo jenga zile barabara ndogo na round about ni ngumu sana kuweka underpass njianya morogoro.
Iliyopo sasa wameweka taa hali awali ilitakiwa kuwa nz underpass kwa magari ya Morogoro.
 
Hii inachukua nafasi kubwa sana. Serikali iongeze ushuru kwenye uingizaji wa magari na mafuta ili tupunguze wingi wa magari hapa Tz. Yani bei za mafuta ziliposhuka hata mwanza et kunafoleni hivi sasa
 
Hapa tunazungumzia kiundombinu ya barabara, haihitaji degree kujua umuhimu wa kutafuta solution ya magari pale mbezi.. kwa sasa tuu inachukua zaidi ya saa moja gari kutohoa mbezi..Je in 10 years miujdombiju hii inayo jengwa, bado itatufaa?
Ni kweli, lakini solution tunayotafuta inatakiwa iwe efficient na effective kukabili tatizo lakini cha msingi sana solution hiyo iwe economically viable kwa parameters zote.
 
Huo mzigo tutauweza?
 
Tanroads siwaelewi.. kwanini wamejenga kile ki overpass pale kibamba ?

Kwanini wasitumie nguvu zote kwanza mbezi?

Hata kale kadaraja pale mbezi sioni umuhimu wake kwa sababu wangeweza kutafuta singlensolution once for all

Hii design haina gharama ukilinganisha na stracture ambazo wamesha zijenga .

Tatizo ni kwamba hakukua na design iliyo fanyiwa utafiti vizuri.

Pia consultant wa mradi sidhani kama yupo vizuri na yamkini consultant ni Tanroad wemyewe.

Huo mzigo tutauweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…