Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Hao Queens wa bongo mavi hawakuwa na impacts yoyote inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.Yaani wasanii wakatae deals kwa sababu kuna watu watachukia? Mtawalisha?
Mbona 2015 queens wa bongo movie wote walikuwa upande wa Lowasa na hatukuacha kufuatilia kazi zao?
Trust me mkuu...hao jamaa awards watapata na uzi utakuja kufufuliwa huu...Nikusahihishe kidogo lakini baada ya kukubaliana na wewe kuhusu tabia ya watanzania kusahau yaliyopita. Ni bahati mbaya sana kwa hizo kura za Grammy kuhitajika wakati huu kidonda cha ushabiki wa vyama kikiwa kibichi kabisa.
Msanii na wanamichezo kazi yao ni kuunganisha jamii, hivyo ni kazi yao kwa umoja wao kujitenga na siasa zinazoitenga jamii. Hasa siasa kama hizi za sasa.
unachotakiwa kujua ni kwamba mashabiki wamegawanyika....si afya kwa upande wa wasanii wetu....celebrity anatakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea haki za raia,unaweza kuuliza haki gani wamenyimwa watanzania? jibu lipo wazi kabisa labda ujitie upofu kwankuwa wewe ni chawa wa ccm.....angalia hapa chini wenzano huko NigeriaNdio namshangaa... miaka yote awards wanazoshinda hao wasanii si wapo na ccm miaka yote...anataka kusema safar hii ndio wasanii wmekua na ccm? Na hapo mwanzo hawakuwah shinda hizo tuzo? Unajua ukiwa team flan unaeza sahau hata team yako nayo ni ccm hao hao
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Unachoshindwa kukubali hapo kua ni team tu ndio source ya yote...Haya mambo huitaj degree kuyajua...Mkuu
Kwa kesi ya Zuchu,hao fans wanaomkataa ni wa upande wa pili wa msanii gani competitor wa Zuchu in this issue?
None!
Your point is dead already!
Mzee kwanza mimi siwez kua ccm miaka 100...unachotakiwa kujua ni kwamba mashabiki wamegawanyika....si afya kwa upande wa wasanii wetu....celebrity anatakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea haki za raia,unaweza kuuliza haki gani wamenyimwa watanzania? jibu lipo wazi kabisa labda ujitie upofu kwankuwa wewe ni chawa wa ccm.....angalia hapa chini wenzano huko NigeriaView attachment 1597698
Kweli, mkuu watu wanataka demokrasia lakini wao hawataki watu wachague upande wanaoutaka. Sasa sijui ni Demokrasia gani wanayoihubiri?Trust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...
Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shabiki upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Braza mda ni hakim tosha sana...hyo kesi sio mpya...nimekuulza inamana hao wasanii kuna siku waliwah kua upinzan na wkashinda hizo awards? Upinzan kweli tumekosa dira...yani tunaangaika na zuchu badala ya magu[emoji119]Brother
Hatuangalii wewe una "believe" nini,ni belief yako wewe....shida hapa jibu swali...
Ni "utimu",...tueleze kwa hii kesi ya Zuchu leo tarehe 12/10/2020....
Taja hizo "team" mbili zinazopingana kuhusu hili tukio la Zuchu leo?
Hapa mkuu ukifuatilia ni haters tu..sasa kama wao wanauchungu wakamvae na kibakuli mana si nae anataka kura za afrima..Kweli, mkuu watu wanataka demokrasia lakini wao hawataki watu wachague upande wanaoutaka. Sasa sijui ni Demokrasia gani wanayoihubiri?
Sasa mkuu utamskiza nani? Harmorapa au[emoji3]Wasanii wote wanao fanya kampeni za CCM nmewanawa
Zuchu anagusaje maisha ya mtanzania mmoja mmoja?Hao Queens wa bongo mavi hawakuwa na impacts yoyote inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.
Akili ndogo Sana hapa inahitaji kuelewa hili jambo, kipindi ambacho jamii ipo kwenye taharuki kubwa ya utawala wa ukandamizaji na Hali ngumu ya kiuchumi, wao Kama wasanii (kundi dogo) lilipaswa kuisemea jamii na siyo kuungana na 'wakandamizaji' na wauaji eti kwa sababu ya kipande cha fedha.
Kama hutalielewa hili u just go back home and feed ur mom breast for benefit of your brain.
BoraTrust me mkuu...hao jamaa awards watapata na uzi utakuja kufufuliwa huu...
Mim pia ni mpinzani mwenzako lakin kweny hili naona haina maana...mda tupo busy na kusema fulan asishinde grammy ccm wao wako busy na majimbo
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Kwani kakulazimisha umpigie kura au yeye kaomba kwa wanaotaka kumpigia kura?Lakini kama ndo hivyo mbona tunalazimishana kupiga kura sababu sisi mbona hatukuwalazimisha wasiende ccm?
Basi na ni chaguo la mtu kupiga kura au kutopiga ama kumpigia nani?
Msanii ni kioo cha jamii kimulike pande zote ..unapochagua kuwa kulia ,kushoto hawawezi kukusapoti
Akale alikomwaga mboga
Hivi team kiba watashangia hii awards ? Team konde je? Usijifanye mtoto mdogo bro...kama kwel mnahasira basi kiba na harmonize pia mkawawashie moto..si wanawania afrima na pia ni ccm..why zuchu? Na huyu mtoto anawapa watu hasira sana hasa team pinzani..video yake ilivyo tolewa youtube mlikuja kufungua mpaka uziWasanii hawa,mara hili mara lile..mara Diamond zamani,mara....
Hatuko huko...tuko leo hapa tunazungumzia award ya Zuchu
Leo kwenye hii nomination unadai kuna "utimu"..
Nikakuuliza leo kuna "Timu Zuchu" na "Timu Nani" wanapambana?
Hakuna opponent...hivyo hoja yako ya eti "utimu" kwenye hii ishu ya leo haipo...
Leo ni wafuasi wa Chama kingine walipoona Zuchu anapendelea Chama Cha Mapinduzi imebidi apoteze wafuasi wale wa vyama vingine...
Ndio athari yake.....
Mwanamuziki hua ana wafuasi wa vyama vyote,ila akionesha mapenzi yake kwa chama kimoja na ku-diss vingine directly anafukuza wafuasi wa hivyo vyama alio-diss
Ndio kilichotokea hapa...Zuchu na hao wengine should deal with their own stupidity....
Wewe ni nani?Wasanii wote wanao fanya kampeni za CCM nmewanawa
Naona Mayor Jacob anaendelea kuchombeza mdogo mdogo.View attachment 1597641
Diamond kashinda tuzo nyingi na ajawahi kuwapigia kampeni vyama vya upinzaniWewe mtoto,wewe mtoto,wewe mtoto....nimekuita mara tatu itika.Kumbuka kupotea kwa Ben Saanane,Azory Gwanda na wengineo.Kumbuka kupigwa risasi kwa Tundu Lissu,kumbuka manyanyaso kwa watumishi wa umma na Wazee wastaafu,kumbuka manyanyaso kwa wakulima na wafanyabiashara.Nafahamu wewe ni mnufaika na uwepo wa ccm so,haupo kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja lkn,Zuchu ameungana na watesi na wauaji wa jamii yake hastahili kutendewa wema hata kidogo!
Kama umeshindwa kujua msanii mwenye followers wengi kwenye social platforms anawezaje kumotivate Jambo chanya katika jamii,Basi nami sitoweza kujichosha kukueleza msanii Kama huyo (zuchu) anagusaje hayo maisha ya mtanzania!Zuchu anagusaje maisha ya mtanzania mmoja mmoja?