Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Asante kwa taarifaMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Dawa ni wewe kutuwekea mkeka wa lami Bumbuli ili tunyamaze na tufunge mdomo , halafu kingine ni hiki , taarifa za Bumbuli siyo mali ya January wala si mali ya ccm na wala siyo mali yako weweNi kwa ushahidi upi unaothibitisha picha hiyo ya magari na barabara ni ya Bumbuli na ni ya mwaka huu? Kwani mara ngapi wewe tumekuona na kushuhudia ukibandika picha za zamani na zenye lengo la kudhalilisha watu?
Acha porojo .weka ushahidi kuwa hiyo ni barabara ya Bumbuli.maana wewe kwa uongo na kubandika picha za kuokoteza unapenda sana .Dawa ni wewe kutuwekea mkeka wa lami Bumbuli , halafu kingine ni hiki , taarifa za Bumbuli siyo mali ya January wala si mali ya ccm.
Uliandika kuhusu Lissu kuhama Chadema huku ukijua umezusha tena bila hata kielelezo , uliona tukipayuka ? tulikupuuza mara moja kwa sababu tunajua wewe ni mjinga
Ameandamana Mbowe jana, ukafika wakati wa kuuza sera, akaanza kuwachonganisha Watanzania na Wachina-Kwa sababu ya barabara kama hiyo ya Bumbuli?Tukisema tuandamane Jimbo la Bumbuli, tunapitia wapi sasa,
Ukute kipara anafanya kusudi Ili asifikiwe na nguvu ya mabadiliko π
CCM haijawahi kumiliki ofisi,imepora,Ameandamana Mbowe jana, ukafika wakati wa kuuza sera, akaanza kuwachonganisha Watanzania na Wachina-Kwa sababu ya barabara kama hiyo ya Bumbuli?
Kaongea Sifuri nyingi sana hata Kompyuta zisiweze kutarakilisha! Noma sana
...labda, CHADEMA wajenge Barabara zao 2050 ndio CCM waje waandamane.
Kwanza hizo mvua zinazo watandikeni huo kuanza kutupiana lawama za ubovu wa barabara itakuwa ni kuamua kuwa wachawi kwa hiariMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Kuanzia kazungula, pandamatenga, ngwasha, nata, francis town, palapye, mahalapye, Gaborone, A3 ni super road, kwakweli, Namibia kupitia katima mulilo boda, ni super. Na ni landlocked countries. Sijui tumelogwa wapi Watanzania. Dah inauma sana.Mkuu tembelea Namibia [emoji1176] na Botswana [emoji1052] kupo super,A3 yao ni super pamoja kuwa inapita kwenye national park (more than 300km za mbugani tu),pale mikumi national park (50km kuna matuta yasiyopungua 40!!na wanaopita pale hasa usiku pls guys kuwa careful,kuna handaki pale linaumiza magari kila siku ,lipo pale getini ukitokea Duma,ni hatari mno)
Kwa msukumo wa kile kibabu domo chafuMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Ni shida mkuu,na barabara hiyo kuanzia kazungula OSBP hadi Nata ni national park (more than 300km)hukuti matuta ya ajabu,kwetu pale mikumi national park (50km ni vurugu tupu na kwa sasa magari kibao yanapata pacha kwenye like handaki)siku V8 ya wateule itakapoumia pale ndio watakurupuka kuitengenezaKuanzia kazungula, pandamatenga, ngwasha, nata, francis town, palapye, mahalapye, Gaborone, A3 ni super road, kwakweli, Namibia kupitia katima mulilo boda, ni super. Na ni landlocked countries. Sijui tumelogwa wapi Watanzania. Dah inauma sana.
Hao wakazi ndio wanaojenga Barabara? Au Serikali huweka miundombinu ili kuchochea maendeleo?Maendeleo ya eneo lolote hufanywa na wakazi husika kutokana na fikra na vitendo vyao katika shughuli za kiuchumi (mbunge ni mwananchi anayewakilisha maoni na kero zao bungeni, ili serikali ipate taarifa ikatatue, hasa kwa zile huduma muhimu kama elimu, afya, barabara, maji, ....).
Hata hivyo, wananchi wanaweza kuiwajibisha serikali kwa kuiondoa madarakani (kupitia kura au njia nyingine halali), pale wanapoona haifanyi kulingana na matakwa au mategemeo yao.
Mkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.Lushoto ilitakiwa iwe ni Switzerland π¨π ya Tanzania,nilibahatika kufika kule last December,Mwenyezi Mungu kawapa super wilaya ila wale wabunge wake 3 ni zeros kabisa,yaani hawawezi kujenga hata ile barabara ya mombo to mlalo,yaani barabara ipo vile vile alivyoiacha mjerumani,ilitakiwa ile pass ilambwe vema,jenga cable cars kutoka kule milimani hadi barabara kuu ya Moshi,jenga virukio vya maparachuti,yaani hizi ni vyanzo vya usd tu,vijana wake wamekua vibarua na maisha yao wamejikatia tamaa
ππππMkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.
Kukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimbo maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.
Upuuzi uuache.Ndivyo mnavyofundishana kukwepa matatizo?kiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee
Sasa mwalimu anaingiaje hapa? Huyo mwalimu alikuwa mbunge wa Butiama?kiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee