Yule ni mbunge na waziri,Mkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.
Kukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimbo maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.
Tuache blah blah mkuu,tuongee facts hapa,mbunge anapofanya kampeni za kuwa mbunge na kuahidi atajenga zahanati hapo Mlalo,means anaongopa!na mtu mwongo ni zaidi ya shetani,mkuu labda nikupe historia ndogo,ukitembelea Magomeni na kinondoni A kuna nyumba zilijengwa kwa sheria za mipango miji chini ya yule mbunge mzungu Bryaston na mpaka leo heshima ile bado ipo kwake,wakaingia hawa wabunge waliojaa uongo na ufisadi waka fa....c...up kila kitu pale,ufipa street,wibu street etc etc mitaa ile inajifunga yenyewe kwa uchafu,pale studio kuna kenge mmoja kaweka kituo cha mafuta kwenye zone ya makazi na wapumbavu wote kimyaa,kule mikocheni wakafeli kisa wanaishi royal families!,with my respect kwako mkuu ninaijua Tanzania na nimebahatika kufika sehemu nyingi tu,wabunge ni waongoMkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.
Kukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimbo maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.
Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Aiseeee !!!Tuache blah blah mkuu,tuongee facts hapa,mbunge anapofanya kampeni za kuwa mbunge na kuahidi atajenga zahanati hapo Mlalo,means anaongopa!na mtu mwongo ni zaidi ya shetani,mkuu labda nikupe historia ndogo,ukitembelea Magomeni na kinondoni A kuna nyumba zilijengwa kwa sheria za mipango miji chini ya yule mbunge mzungu Bryaston na mpaka leo heshima ile bado ipo kwake,wakaingia hawa wabunge waliojaa uongo na ufisadi waka fa....c...up kila kitu pale,ufipa street,wibu street etc etc mitaa ile inajifunga yenyewe kwa uchafu,pale studio kuna kenge mmoja kaweka kituo cha mafuta kwenye zone ya makazi na wapumbavu wote kimyaa,kule mikocheni wakafeli kisa wanaishi royal families!,with my respect kwako mkuu ninaijua Tanzania na nimebahatika kufika sehemu nyingi tu,wabunge ni waongo
EEEeeenHEEEeee. Mkuu 'Nkanini', ni kweli Lushoto ina mandhari ya Kiswiss kama ulivyo eleza; lakini kwa vitu hivyo ulivyotaja hapo, nadhani utakuwa unawaonea bure hao wabunge (siwatetei). Miradi ya namna hiyo ni ya serikali kuu, wizara husika na utalii kwa mfano.Lushoto ilitakiwa iwe ni Switzerland 🇨🇭 ya Tanzania,nilibahatika kufika kule last December,Mwenyezi Mungu kawapa super wilaya ila wale wabunge wake 3 ni zeros kabisa,yaani hawawezi kujenga hata ile barabara ya mombo to mlalo,yaani barabara ipo vile vile alivyoiacha mjerumani,ilitakiwa ile pass ilambwe vema,jenga cable cars kutoka kule milimani hadi barabara kuu ya Moshi,jenga virukio vya maparachuti,yaani hizi ni vyanzo vya usd tu,vijana wake wamekua vibarua na maisha yao wamejikatia tamaa
Ni wakati wenu Chadema kuchukua jimbo muweke lami!Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Mkuu kwanza ungeainisha kwenye bajeti ni kiasi gani kilitengwa kwa ajili ya jimbo lake, then tuone kama alishindwa kwa capacity yake kuisimamia.Yule ni mbunge na waziri,
Unaamini anajielewa Kweli na kutimiza ipasavyo majukumu yake?
Makamba akili hana kabisa, Yeye ni kutegemea uchawi tu, Sasahivi eti nae anataka urais wakati Jimbo tu linamshinda wakati kawa waziri miaka kibao,Sijui watanganyika ninani aliyeturoga?Majitu kama haya hata kwenye mikutano yao upaswi kwenda, lakini utakuta uchaguzi ukikaribia anaanda machawa kibao wa kumnadi kutoka humo kwenye matope.Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Uko sahihi ila sisi tunaitaka Nchi yoteNi wakati wenu Chadema kuchukua jimbo muweke lami!
😆😆😆😆Makamba akili hana kabisa, Yeye ni kutegemea uchawi tu, Sasahivi eti nae anataka urais wakati Jimbo tu linamshinda wakati kawa waziri miaka kibao,Sijui watanganyika ninani aliyeturoga?Majitu kama haya hata kwenye mikutano yao upaswi kwenda, lakini utakuta uchaguzi ukikaribia anaanda machawa kibao wa kumnadi kutoka humo kwenye matope.
Mkuu hapo ni uelewa wa wananchi kuhusu majukumu ya mbunge, kwa kufahamu hilo wabunge wengi wanatumia hilo kuhadaa wananchi.Tuache blah blah mkuu,tuongee facts hapa,mbunge anapofanya kampeni za kuwa mbunge na kuahidi atajenga zahanati hapo Mlalo,means anaongopa!na mtu mwongo ni zaidi ya shetani,mkuu labda nikupe historia ndogo,ukitembelea Magomeni na kinondoni A kuna nyumba zilijengwa kwa sheria za mipango miji chini ya yule mbunge mzungu Bryaston na mpaka leo heshima ile bado ipo kwake,wakaingia hawa wabunge waliojaa uongo na ufisadi waka fa....c...up kila kitu pale,ufipa street,wibu street etc etc mitaa ile inajifunga yenyewe kwa uchafu,pale studio kuna kenge mmoja kaweka kituo cha mafuta kwenye zone ya makazi na wapumbavu wote kimyaa,kule mikocheni wakafeli kisa wanaishi royal families!,with my respect kwako mkuu ninaijua Tanzania na nimebahatika kufika sehemu nyingi tu,wabunge ni waongo
Achana na budget,Mkuu kwanza ungeainisha kwenye bajeti ni kiasi gani kilitengwa kwa ajili ya jimbo lake, then tuone kama alishindwa kwa capacity yake kuisimamia.
Na pia maendeleo ya jimbo hayapimwi kwa kutumia ujenzi wa barabara tu, maendeleo ni muungano wa aspect nyingi Mkuu.
Ukisema watanzania ni wajinga utaambiwa umetukana. Sasa miundombinu unayozungumzia ni kazi ya mbunge kuijenga? Kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi. Je, mlimpa mbunge mawazo/kero/mahitaji yenu akaacha kuyafikisha bungeni? Sasa serikali isipopeleka pesa kutokana na ufinyu wa bajeti au kwa maamuzi ya kibaguzi (kama jiwe lilivyosema ukichagua mpinzani sahau maendeleo), mbunge analaumiwa vipi?Lushoto ilitakiwa iwe ni Switzerland 🇨🇭 ya Tanzania,nilibahatika kufika kule last December,Mwenyezi Mungu kawapa super wilaya ila wale wabunge wake 3 ni zeros kabisa,yaani hawawezi kujenga hata ile barabara ya mombo to mlalo,yaani barabara ipo vile vile alivyoiacha mjerumani,ilitakiwa ile pass ilambwe vema,jenga cable cars kutoka kule milimani hadi barabara kuu ya Moshi,jenga virukio vya maparachuti,yaani hizi ni vyanzo vya usd tu,vijana wake wamekua vibarua na maisha yao wamejikatia tamaa
Ujinga sio tusi wala upumbavu pia (pitia kamusi ya kiswahili),nimekuelewa na sasa utakubaliana Nami kuwa mbunge mtarajiwa anapoahidi kuwa atajenga ile pass ya mombo to mlalo ikiwa atapewa kura kuwa huu ni uongo?,na ubunge wake unaweza kuwa batili maana ametumia mbinu za uongo kupata kura,mkuu bottom line Lushoto kupo super,Mola kawapa kila kitu ILA wamekosa viongozi wenye uchungu na wilaya yaoUkisema watanzania ni wajinga utaambiwa umetukana. Sasa miundombinu unayozungumzia ni kazi ya mbunge kuijenga? Kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi. Je, mlimpa mbunge mawazo/kero/mahitaji yenu akaacha kuyafikisha bungeni? Sasa serikali isipopeleka pesa kutokana na ufinyu wa bajeti au kwa maamuzi ya kibaguzi (kama jiwe lilivyosema ukichagua mpinzani sahau maendeleo), mbunge analaumiwa vipi?
Sahau!Uko sahihi ila sisi tunaitaka Nchi yote
Kuna mtu anaweza kumloga konki January kweli?Wachawi Wengi
Hayo ma bila kupingwa yao ni mamilungula inafahamika.Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Je January alipeleka kero za wananchi Bungeni ? ukisoma pale juu kabisa aliitisha wananchi watoe keroUkisema watanzania ni wajinga utaambiwa umetukana. Sasa miundombinu unayozungumzia ni kazi ya mbunge kuijenga? Kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi. Je, mlimpa mbunge mawazo/kero/mahitaji yenu akaacha kuyafikisha bungeni? Sasa serikali isipopeleka pesa kutokana na ufinyu wa bajeti au kwa maamuzi ya kibaguzi (kama jiwe lilivyosema ukichagua mpinzani sahau maendeleo), mbunge analaumiwa vipi?