Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Yaani haka kamtu kamekaa tu kiupigaji na sio kakukategmea kawaletee maendeleo wana bumbuli na hata msipokachagua katapita tu kwa hila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembelea mkuuBotswana naona inasifiwa sana hii nchi.
Yaani upo kama Mimi... Huyu jamaa wa kuitwa January Makamba simkubaligi kabisa...Halafu kuna wehu wanataka awe Rais eti...!🤔
Wagosi ni wajinga snMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Huyo ni mbunge wa bumbuli,siyo wa jmt, nyoro wewe.kiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee
Anaweza akaondoka bila kupingwaMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Kwanini mkuuTanga nzima ukitoa Lushoto na Korogwe kwingine kote hawana akili
Huoni walivyo wapuuziKwanini mkuu
Wote hatuwezi jua. Hebu tuambie tujue upuuzi waoHuoni walivyo wapuuzi
Wavivu wanaendeshwa na familia ya Makamba pekee, Lushoto na Korogwe wanajitambuaWote hatuwezi jua. Hebu tuambie tujue upuuzi wao
Tena baba yake huyo jamaa akiona mtu anahoji mzee anatukana. Kutojielewa kwao ndio mtaji wa wanasiasaWavivu wanaendeshwa na familia ya Makamba pekee, Lushoto na Korogwe wanajitambua
SureTena baba yake huyo jamaa akiona mtu anahoji mzee anatukana. Kutojielewa kwao ndio mtaji wa wanasiasa
KamaMchakato wa kutafuta mkandarasi mpembuzi bado unaendelea na upo kwenye hatua nzuri, na muda si mrefu utakamilika baada ya mchakato wa kutafuta kamati ya kuchakata maombi ya wataalam watakaofanya mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi kukamilika.
SIJUI UMEELEWA!!??
![]()
Kama nimekuelewa, huo mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi yakinifu umefikia asilimia 99.9.Mchakato wa kutafuta mkandarasi mpembuzi bado unaendelea na upo kwenye hatua nzuri, na muda si mrefu utakamilika baada ya mchakato wa kutafuta kamati ya kuchakata maombi ya wataalam watakaofanya mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi kukamilika.
SIJUI UMEELEWA!!??
![]()
Hata kuanza haujaanza...Kama
Kama nimekuelewa, huo mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi yakinifu umefikia asilimia 99.9.
🤣🤣🤣🤣🤣Januari ni Waziri kwa sababu alichaguliwa na watu wa Bunbuli. Kawaandikia kijitabu cha kiingereza akiwaahidi kuwaletea maroli ya barafu ili wawe wanasfirisha matunda yao kupeleka kwenye msoko Dar, na vile vile kuwanunulia hisa New York Stock Exchange
Halafu mtu akitoa maoni yake mzee anamwaga povu balaaMbona afadhali nenda Jimbo la Kibakwe kwa Simbachawene kipindi cha mvua gari kupita Gulwe pale ni ishu lazima kuzungukia Mtera iwapo unaenda Vijiji vya Galigali,Kinusi,Ipera,Chogola,kifupi mbunge Simbachawene ni hovyooo kabisa kazi uchawi mtu akigusa Jimbo lile kujinadi huwa anaishia kuzikwa.
Dah. NgachokaMkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.
Kukukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimboni maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.
Duh!!Mkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.
Kukukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimboni maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.