Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

Yaani haka kamtu kamekaa tu kiupigaji na sio kakukategmea kawaletee maendeleo wana bumbuli na hata msipokachagua katapita tu kwa hila
 
Mbona afadhali nenda Jimbo la Kibakwe kwa Simbachawene kipindi cha mvua gari kupita Gulwe pale ni ishu lazima kuzungukia Mtera iwapo unaenda Vijiji vya Galigali,Kinusi,Ipera,Chogola,kifupi mbunge Simbachawene ni hovyooo kabisa kazi uchawi mtu akigusa Jimbo lile kujinadi huwa anaishia kuzikwa.
 
Mchakato wa kutafuta mkandarasi mpembuzi bado unaendelea na upo kwenye hatua nzuri, na muda si mrefu utakamilika baada ya mchakato wa kutafuta kamati ya kuchakata maombi ya wataalam watakaofanya mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi kukamilika.

SIJUI UMEELEWA!!??


:BANGER::BANGER::BANGER:
Kama
Mchakato wa kutafuta mkandarasi mpembuzi bado unaendelea na upo kwenye hatua nzuri, na muda si mrefu utakamilika baada ya mchakato wa kutafuta kamati ya kuchakata maombi ya wataalam watakaofanya mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi kukamilika.

SIJUI UMEELEWA!!??


:BANGER::BANGER::BANGER:
Kama nimekuelewa, huo mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi yakinifu umefikia asilimia 99.9.
 
Januari ni Waziri kwa sababu alichaguliwa na watu wa Bunbuli. Kawaandikia kijitabu cha kiingereza akiwaahidi kuwaletea maroli ya barafu ili wawe wanasfirisha matunda yao kupeleka kwenye msoko Dar, na vile vile kuwanunulia hisa New York Stock Exchange
🤣🤣🤣🤣🤣

Kaandika kitabu kwa kiingereza... Vya kiswahili tu hatusomi sembuse cha kiingereza!!!
 
Mbona afadhali nenda Jimbo la Kibakwe kwa Simbachawene kipindi cha mvua gari kupita Gulwe pale ni ishu lazima kuzungukia Mtera iwapo unaenda Vijiji vya Galigali,Kinusi,Ipera,Chogola,kifupi mbunge Simbachawene ni hovyooo kabisa kazi uchawi mtu akigusa Jimbo lile kujinadi huwa anaishia kuzikwa.
Halafu mtu akitoa maoni yake mzee anamwaga povu balaa
 
Mkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.

Kukukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimboni maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.
Dah. Ngachoka
Mkuu you are missing the point, si wajibu au jukumu la mbunge kujenga barabara au kupeleka maendeleo jimboni kwake.

Kukukumbusha tu, mbunge huwakilisha maoni ya wanajimbo lake bungeni, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali, kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Ni kazi ya serikali kupeleka maendeleo majimboni maana ndio wanaokusanya kodi. Kimsingi wakuulizwa ni Mkuu wa wa wilaya, Mkurugenzi, Mkuu wa mkoa, katibu mkuu, Waziri na raisi.
Duh!!
 
Back
Top Bottom