Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

Unataka watu wawajibike kivip nawakati mkuu wa mkoa, wa wilaya na mkurugenzi ni wateule wa rais
Hawaka pale kwa ajili ya wananchi bali kwa ajili ya Rais
Swala siyo kuchaguliwa na nani. Hiyo Kenya usiyotaka kuisikia wananchi wanawachagua hao magavana na takataka zote nyingine.

Kwani katika akili yako ndogo, huyo Rais anayechaguliwa na watu kwa nini watu hao hao hawawezi kumwajibisha kama unavyodai hapa.
Akili isiyokuwa na uwezo wa kuchambua mambo kwa kina mara zote hukimbilia kwenye mambo rahisi rahisi. Na zaidi ya hivyo, inaonyesha wazi kabisa hata hujui China muundo wao wa serikali upoje, na unarundika tu pamoja na nchi ambazo zina mifumo tofauti kabisa.
Nimekudharau sana.
 
Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao

View attachment 2972079

Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .

View attachment 2972080

Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Huyo NI mmoja wa wapigaji ndo maana jiwe alimvumilia mwisho akamtumbua
 
Wavivu wanaendeshwa na familia ya Makamba pekee, Lushoto na Korogwe wanajitambua
Mbona hiyo Bumbuli ni sehemu ya Lushoto mkuu, au una maana gani? Bumbuli imo wilaya ya Lushoto, pamoja na kuwa ni jimbo tofauti la uchaguzi, ndiyo maana wanaye mbunge wao, Makamba.
 
Swala siyo kuchaguliwa na nani. Hiyo Kenya usiyotaka kuisikia wananchi wanawachagua hao magavana na takataka zote nyingine.

Kwani katika akili yako ndogo, huyo Rais anayechaguliwa na watu kwa nini watu hao hao hawawezi kumwajibisha kama unavyodai hapa.
Akili isiyokuwa na uwezo wa kuchambua mambo kwa kina mara zote hukimbilia kwenye mambo rahisi rahisi. Na zaidi ya hivyo, inaonyesha wazi kabisa hata hujui China muundo wao wa serikali upoje, na unarundika tu pamoja na nchi ambazo zina mifumo tofauti kabisa.
Nimekudharau sana.
Kwani Tanzania ni nchi ya kijamaa kama china
Hivi Tanzania ni socialist country
Kwanini unatolea mfano wa kenya ambaye ni failure
 
Mbona hiyo Bumbuli ni sehemu ya Lushoto mkuu, au una maana gani? Bumbuli imo wilaya ya Lushoto, pamoja na kuwa ni jimbo tofauti la uchaguzi, ndiyo maana wanaye mbunge wao, Makamba.
Na mbaya zaidi hujui bumbuli ni wilaya aisee kazi ipo
 
Kwani Tanzania ni nchi ya kijamaa kama china
Hivi Tanzania ni socialist country
Kwanini unatolea mfano wa kenya ambaye ni failure
Wewe hata darasa la 12 huna. Nitapoteza muda wangu bure kujaribu kukufundisha kwa maana hata akili yenyewe ya kujifunza kitu kipya huna. Hayo ya 'socialist' umeyatoa wapi; na kwa nini udhani Kenya ni 'failure' na Tanzania isiwe hata kuwa 'failure' kubwa zaidi ya Kenya?
 
Na mbaya zaidi hujui bumbuli ni wilaya aisee kazi ipo
Duh.
Nimewahi kukutana na vilaza wengi sana humu JF, lakini wewe nakupa namba moja.
Mkoa wa Tanga unazo wilaya hizi:Tanga mjini; Korogwe; Handeni; Muheza; Lushoto; Pangani, na Kilindi.
Hiyo wilaya ya Bumbuli uliianzisha wewe lini!
 
Duh.
Nimewahi kukutana na vilaza wengi sana humu JF, lakini wewe nakupa namba moja.
Mkoa wa Tanga unazo wilaya hizi:Tanga mjini; Korogwe; Handeni; Muheza; Lushoto; Pangani, na Kilindi.
Hiyo wilaya ya Bumbuli uliianzisha wewe lini!
Wilaya ya bumbuli ilianzishwa mwaka 2013 pole kama na hili hulijui
Pitia hata taarifa ya sensa sababu huko kichwani una masponge

Na hushindwi kubisha hata kilindi sio wilaya
P
 
Wewe hata darasa la 12 huna. Nitapoteza muda wangu bure kujaribu kukufundisha kwa maana hata akili yenyewe ya kujifunza kitu kipya huna. Hayo ya 'socialist' umeyatoa wapi; na kwa nini udhani Kenya ni 'failure' na Tanzania isiwe hata kuwa 'failure' kubwa zaidi ya Kenya?
Tunawajibu wa kuwatoa ujinga watu kama wewe
 
Na ujuaji wako wote hujui bumbuli ni wilaya tokea 2013 sikujua ni mjinga hivyo
Hivi hata kujibidisha utafute habari ili uwe na uhakika na unachobishia huwezi?
Kuna ugumu gani kwako hapo ulipo kuchukuwa dakika tano tu kuangalia mkoa wa Tanga unazo wilani zipi? Hata kumuuliza tu mtu hapo mwenye akili kukushinda wewe huwezi?
 
Back
Top Bottom