Mbunge na pia waziri bumbuli ni ya kipuuuzi namna hiyo? Halafu anataka urais! Tz iwe kama bumbuli?Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
...lakini Walozi Wachache!Wachawi Wengi
Bumbuli siyo Wilaya bali ni Halmashauri iliyoko ndani ya Wilaya ya LushotoTokea 2013 najua ni wilaya ambayo mwaka 2012 wilaya ya kilindi ilimegwa kutoka handeni
Ukikosea kubali sasa wewe hutaki kukubali kwamba bumbuli ni wilaya yaani unabishana na mpaka wizara ya tamisemi
Tuletee na picha za kwenye jimbo lako.Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Sijawahi kuwa MbungeTuletee na picha za kwenye jimbo lako.
Mwalimu naye alikuwa mbunge wa Butihama? Kwa nini kama yanapoonekana mazuri anasifiwa na pale yanapoonekana mapungufu asizodolewe?kiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee
ππππMwalimu naye alikuwa mbunge wa Butihama? Kwa nini kama yanapoonekana mazuri anasifiwa na pale yanapoonekana mapungufu asizodolewe?
ingekuwa ndio kazi ya mbunge kusingekuwa na majimbokiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee
Amesahau kabisa Jimbo lakeMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Ili ufike hapo sasa labda uwe na mabawa, barabara hakunaIla jengo la utawala la Bumbuli DC limenishangaza.
Nilijua ramani ni moja tu kwa sasa kwa majengo yote ya utawala ya Halmashauri yanayojengwa.
View attachment 3252081
Good analysis. Kweli ulifika.Lushoto ilitakiwa iwe ni Switzerland π¨π ya Tanzania,nilibahatika kufika kule last December,Mwenyezi Mungu kawapa super wilaya ila wale wabunge wake 3 ni zeros kabisa,yaani hawawezi kujenga hata ile barabara ya mombo to mlalo,yaani barabara ipo vile vile alivyoiacha mjerumani,ilitakiwa ile pass ilambwe vema,jenga cable cars kutoka kule milimani hadi barabara kuu ya Moshi,jenga virukio vya maparachuti,yaani hizi ni vyanzo vya usd tu,vijana wake wamekua vibarua na maisha yao wamejikatia tamaa