Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
By Boniface Jacob kupitia Twitter:
Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.
Sikuwahi Kujua Ipo Siku sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA.
Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
Tanabaisha aina ya viongozi.Kama ni aina ya ndugai,kabudi na msukuma na wa aina hiyo ni sahihi.Kwa mujibu wa viongozi wa nchi hii ,Corona na matatizo ya kupumua ni majonjwa mawili tofauti
Daaah...Nimesikitika sana. Pole sana ndugu yangu.Haya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Mzee alikuwa mtu poa sana.Mzee Ntagazwa alikosa kitanda Regency
Siku jamaa/ndugu yako akivuta toa experience hiyo kama "first hand experience!'Naomba utupe experience ya marehemu/alianzaje kuumwa na alipita hatua gani kabla ya umauti haujamkuta.
Acha unafiki wewe.. aliekuambia kila mzee a akufa nani? Ila sijatoa uthibitisho kuwa ilikuwa kick au sio kickNadhani Ile ilikuwa Kiki tu! umri wa maalim na ingekuwa Covido now tungekuwa tunaongea mangine
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
We unahisi Marekani mfano haijafanikisha kwa kufa watu 400k 2 katika wa2 300m..We unadhani kwa mwingiliano wa shughuli za maendeleo wa watu marekani hali ingekuwaje leo..Tatizo lenu Africa binadamu hamumpi thamani kama sio ndugu yako ndo maan unasikia vifo na bado unaona fresh 2TAJA SERIKALI YOYOTE ILIYOCHANGAMKA KWENYE SUALA LA KUPAMBANA NA KORONA NA IKAFANIKISHA.
Daa sometimez hata hahitaji akili kubwa sana kutafakari haya ni kutuliza kichwa 2..asante ndugu.Kuna ambao hata geti la Regency hawawezi kuingia maana hawatamudu hata Registration fee tu achilia mbali huduma.Huko tuendako hakutakuwa na SIRI tena!Hadi pale tutakapoipigia saluti COVID na kukubali miongozo ya kidunia badala ya kushabikia nyungu na malimao+pilipili+tangawizi etc.It's as if duniani kote hivyo vitu havipo.Vilevile kama hizo ni TIBA/kinga,kwa nini hatuithibitishii dunia ili nao wapone kama sisi?
Je,ni hiyo Ubinafsi,uchoyo na kukosa upendo dhidi ya binadamu wenzetu?
Tunaogopa chanjo ya CORONA ila pilipili kichaa tunakunywa tds,nani katuambia ni salama?Tujitafakari.
Mimi Bibi yangu alishawahi kuwa nesi Mkuu muhimbili ko alikuwa na connection tayari lakini ameenda vipimo na matibabu kaacha 1.5m+ unaambiwa. Sas sisi wengine hyo inakuwajeKuna ambao hata geti la Regency hawawezi kuingia maana hawatamudu hata Registration fee tu achilia mbali huduma.Huko tuendako hakutakuwa na SIRI tena!Hadi pale tutakapoipigia saluti COVID na kukubali miongozo ya kidunia badala ya kushabikia nyungu na malimao+pilipili+tangawizi etc.It's as if duniani kote hivyo vitu havipo.Vilevile kama hizo ni TIBA/kinga,kwa nini hatuithibitishii dunia ili nao wapone kama sisi?
Je,ni hiyo Ubinafsi,uchoyo na kukosa upendo dhidi ya binadamu wenzetu?
Tunaogopa chanjo ya CORONA ila pilipili kichaa tunakunywa tds,nani katuambia ni salama?Tujitafakari.
Kuchukua tahadhari hakukuponyi wewe tu fikiria na wenzio sio lazima upone wewe waponye familia zako wazazi wakoMkuu wanaochukua ila bado wanakufa Mungu ni Kila kitu
Sanitizer haziui kurusi...labda kunawa mikonoTaratibu ni zile zile Mkuu.
1. Kuvaa barakoa
2.Kutumia "SANTAIZA".
3.Kunawa Mikono na maji tiririka na sabuni.
4.Social Distancing.
5.Kama hakuna ulazima wa kutoka basi ni bora utulie nyumbani.
6.Kufanya Mazoezi.
7.Kula vyakula vya kuongeza kinga za mwili.
Nani anaongoza kuzika mamilioni ya watu mpaka leo duniani pamoja na ubabe wakujidai mijipesa??We unahisi Marekani mfano haijafanikisha kwa kufa watu 400k 2 katika wa2 300m..We unadhani kwa mwingiliano wa shughuli za maendeleo wa watu marekani hali ingekuwaje leo..Tatizo lenu Africa binadamu hamumpi thamani kama sio ndugu yako ndo maan unasikia vifo na bado unaona fresh 2
The only thing that will save lives from this disease is to stick our asses at home. But the problem comes Black asses are not adhesive at all!
Italia wazee walivyofolewa sana ili kuokoa vijana! Lakini hapa tatizo ni kama rushwa na waauguzi kukosa maadili. Ila tatizo kuu ni serikali kuwa na huduma ya afya isiyoendana na idadi ya watu.By Boniface Jacob kupitia Twitter:
Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.
Sikuwahi Kujua Ipo Siku sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA.
Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
Unajifukiza ili iweje. Lile joto halifiki kwenye mapafu bila mifumo ya mwili kufanya yake.Hili watu hawalijui ,watu wakipata corona wanajikita kujifukiza na kutoangalia kupanda kwa sukari ambayo ni hatari zaidi ya korona.
Vita hewa Kwa wingi ndani kupitia puani halafu Baba pumzi Kwa sekunde kumi Hadi kumi na tano kisha toa. Fanya hivyo mara kadhaa.Hizi ni maelekezo ya kuji kinga na corona lete za upumuaji
Ndiyo, ila ni stage za awali. Ikifikia katikati ni vigumu Sana.Oxygen inakusaidia pale ambapo utafikia stage ya kushindwa kupumua.
Wagonjwa wa kisukari na presha huu ugonjwa ukikukaba masaa mawili ni mengi .....!!! Stay away