KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Umechagua USA, na nina uwezo wa kueleza kwa nini hawafanikiwi.U.s.a wanapima wanatoa taharifa na wanachukua tahadhali zote imesaidia Nini.
Lakini mbona hukuchagua China, kwa mfano mmoja tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechagua USA, na nina uwezo wa kueleza kwa nini hawafanikiwi.U.s.a wanapima wanatoa taharifa na wanachukua tahadhali zote imesaidia Nini.
Kwani wajibu wa serikali ni nini?Wapi nimeweka watu gizani? mimi nimehimiza elimu itolewe kutoka kwetu sisi member wa jf kupitia thd zetu,hayo ya kuhimiza watu wapimwe kwanini usihimize wewe? unataka kunipangia cha kuchangia humu?
JF is an open forums kila mtu anatoa maoni yake,ukiona una maoni tofauti ya mwenzako basi yaweke hapa hayo maoni/ushauri wako,
Hayo mambo ya kuambiana sijui kuweka watu gizani peleke huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa.
Mkuu last year alipokiri kuwa ipo na kuwataka wananchi kuchukua tahadhali na kufata ushauri wa wataalamu huoni kuwa corona ilishindwa kirahisi? Je alizidisha hofu au alileta suluhu? Au wew una maoni gani hapo?Ata akisema aitasaidia kitu zaidi ya kuzidisha HOFU
NB: akuna mbadala wa kukwepa kifo
Huna akili wewe,kumbe unapayuka kisa ushabiki wa kisiasa? mimi sishabikii hayo mambo,Kwani wajibu wa serikali ni nini?
Unaelewa wajibu ilionao serikali juu ya maisha ya raia zake?
Badala ya kutimiza wajibu huo, serikali hiyo hiyo inatishia (vyombo vya habari) wasiwaelimishe wananchi..., unakuja hapa kupiga propaganda unadhani sote ni wajinga?
Pole mkuu, Mungu akupe uvumilivu...Haya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Mmmh. Pole sana. Inaskitisha kwa kweliHaya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Zako zikiwepo zipo tu. Ukute ndio ivo pia kawahiwa na hayo ma oxygen. Watu wanawekwa kwenye oxygen hata week 2 au 3 na anapona.Nadhani Ile ilikuwa Kiki tu! umri wa maalim na ingekuwa Covido now tungekuwa tunaongea mangine
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Wapo mkuu. Wengine siku 2 au 3 anakuwa fresh. Lkn wengine hufika hata week 2. Ila zako zikiwa bado zipo unaishi tuHivi kuna mgonjwa wa Corona huwa anapona baada ya kuwekewa ile oxygen?
Utasikia kuna ndugu yako yoyote kafariki? Binafsi nashukuru Mungu ila kuna jamaa kanusirika sio mda alikuwa anakohoa homa yaani mwili kuuma angalau alikuwa na tuhela aka hire daktari wa kumuuguza,kalala zaidi ya wiki kwa bedUmsema kweli. Mimi nilikuwa nasema hata mwaka jana ule mlipuko wa kwanza walifariki watu wengi kabisa lakini kuna watu walikuwa wanabisha hapa. Huenda hata wengien wamekuja kupoteza watu wao kwa ubishi wao wa kijinga.
Tungekuwa tumekubali ukweli wa pigo la mwaka jana basi mwaka huu tungekuwa tumejifunza kitu. Badala yake mjinga mmoja akasema corona imeshaondoka kwa maombi.
Huwa nashangaa imekuwaje wajinga wengi namna hiyo wapate uongozi na wengine kufika mpaka kwenye ngazi za juu kabisa. Huo msemo wa ''kuna ndugu yako yoyote kafariki?'' itakuwa wamemsikia huyo baba yao anasema na wao wakakariri. Hawajui kuwa unaweza kumaliza hata miaka miwili au mitatu bila kuwa na ndugu aliyefariki kwa eg malaria lakini hii haiondoi ukweli kuwa kuna watu wengi wanafariki kwa malaria. Mbona mtu anaweza kukaa hata mwaka bila kufiwa na ndugu yoyote wa karibu? Je hii inaondoa ukweli kuna watu wengi wanakufa kila siku? Phd za kufoji zina mambo!Utasikia kuna ndugu yako yoyote kafariki? Binafsi nashukuru Mungu ila kuna jamaa kanusirika sio mda alikuwa anakohoa homa yaani mwili kuuma angalau alikuwa na tuhela aka hire daktari wa kumuuguza,kalala zaidi ya wiki kwa bed
Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine, sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi.
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
Mi sijui itakuwaje mkuu.Unaambiwa pale makumbusho eneo la kuchomea marehemu mabohora pamezidiwa na foleni ni ndefu mno .
Taratibu ni zile zile Mkuu.
1. Kuvaa barakoa
2.Kutumia "SANTAIZA".
3.Kunawa Mikono na maji tiririka na sabuni.
4.Social Distancing.
5.Kama hakuna ulazima wa kutoka basi ni bora utulie nyumbani.
6.Kufanya Mazoezi.
7.Kula vyakula vya kuongeza kinga za mwili.
Rafiki vile nakuona Valentine's day jana umekung'uta siafu!😂😂😂Wapo mkuu. Wengine siku 2 au 3 anakuwa fresh. Lkn wengine hufika hata week 2. Ila zako zikiwa bado zipo unaishi tu
Huwa nashangaa imekuwaje wajinga wengi namna hiyo wapate uongozi na wengine kufika mpaka kwenye ngazi za juu kabisa. Huo msemo wa ''kuna ndugu yako yoyote kafariki?'' itakuwa wamemsikia huyo baba yao anasema na wao wakakariri. Hawajui kuwa unaweza kumaliza hata miaka miwili au mitatu bila kuwa na ndugu aliyefariki kwa eg malaria lakini hii haiondoi ukweli kuwa kuna watu wengi wanafariki kwa malaria. Mbona mtu anaweza kukaa hata mwaka bila kufiwa na ndugu yoyote wa karibu? Je hii inaondoa ukweli kuna watu wengi wanakufa kila siku? Phd za kufoji zina mambo!
Hiyo ni kazi ya serikali ambayo ilitakiwa ifanywe na Dr. Gwajima na team yake. Sasa badala ya kufanya hivyo wao wamebakia kusifia nini Rais amesema au ameamua kama nchi tufanye .... Mask, hand sanitation na social distancing bado ni njia bora na pekee zinazojulikana kupunguza maambukizi. Mpaka sasa wamekaa kimya kuhusu hayo!! Watu wajue kuwa hizo Malimao, tangawizi na vitunguu saumu peke yake haviwezi kusaidia.Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine, sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi.
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.