Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nazungumzia katika ishu ya Corona peke yake.Nini kuwekewa Oxygen watu wanawekwa coma (induced coma) na wanapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazungumzia katika ishu ya Corona peke yake.Nini kuwekewa Oxygen watu wanawekwa coma (induced coma) na wanapona
Umemaanisha "Adherent?" Au obeisant au compliant? Adhesive sio correct English kabisa mkuu. Kwa kweli English ya JF inaniachaga hoi sana 😂😂😂The only thing that will save lives from this disease is to stick our asses at home. But the problem comes Black asses are not adhesive at all!
He is an irresponsible leader never seen on earthSerikali ya Tz imepigwa baridi, jiwe anaogopa kusema ukweli kwa kuona aibu. Huyo jamaa yenu yuko tayari wote mfariki lakini kamwe hawezi kukiri kuwa corona ipo.
Mpaka Waziri wa Afya anaua watu Kwa kuwaambia wajifukize.Hili watu hawalijui ,watu wakipata corona wanajikita kujifukiza na kutoangalia kupanda kwa sukari ambayo ni hatari zaidi ya korona.
Duh..🙏🙏Kule italy,,kuna padri alikuwa kwenye ventilator,,akamwona kijana mmoja kaletwa yuko hoi,amekosa ventilator,,padri ilibii aombe wamtoe kwenye mashine,wamwekee kijana,,juu yeye ameshaishi miaka mingi,akaona bora kijana apate fighting chance kuliko kumuacha afe angali bado mdogo,
Padri akafa
Corona yenyewe ikipandisha hiyo sukari na BP inakuwa imerahisishia wakuda kutoa sababu ya kifo. Changamoto ya upumuaji. Hata KM anajua. Huyu naona ni Mfaransa. Huko, mwalimu wa chekechea tunayemuita ticha, anaitwa le/la professor! Nimemkumbuka bure Prof. Jay wa Mitulinga.Corona yenyewe ina tendency ya kupandisha sukari mwilini hata kama hauna sukari...
Wanawalipisha wapimwaji na hivyo wanaopimwa ni wale tu wanaosafiri na kwa uchache wanaoingia nchini na sababu kuu ni watalii.Tunaangamiza watu wetu kwa kuwavutia watalii waje Tanzania kwa kuwa hakuna Corona.Hili janga la COVID tunalichukulia kuwa linaangamiza wengine na siyo sisi.Utadhani tupo kisiwani au tuna maumbile tofauti na wanadamu wenzetu.Tumeumbiwa natural immunity ambayo wenzetu hawana?Serikali inayokaa kimya watu wakiangamia inakosa utu. Kwa sasa baba anaweza kurudi nyumbani na ugonjwa akitokea safari ya mbali lakini kwa vile hakuna anayepima huyo naye anasambaza kwa familia nzima. Tukio la Profesa wa SUA mmeliona jinsi familia ilivyoteketea kwa Kutojua nani anao.
Mwaka Jana Waziri Majaliwa alizindua kampeni ya kupima Ukimwi wenye nao wajijue waweze kuwakinga wasio nao.
Leo upimaji corona unazuiwa ili asijulikane nani anao nani hana, kama siyo njama za kutaka watu wafe kwa wingi ni nini?
Naomba utupe experience ya marehemu/alianzaje kuumwa na alipita hatua gani kabla ya umauti haujamkuta.Si mchezo mambo ni MAGUMU....jamaa yetu fani ya Utalii Arusha katutoka.....
Uchungu nilio nao unatokana na jinsi tunavyopoteza raslimali watu na fedha kuwahudumia wanaofahamika kama walio na matatizo ya kupumua.Tunazika karibu Kila Siku wapendwa wetu lakini hakuna anayethubutu kukiri ukweli.Umeandika kwa uchungu sana !
Nilisema humu haya matamasha vijana wanazoa Corona wanaenda kuuwa wazazi wao. leo Chege Kigunda Mama yake kafa, yule meneja wa Wema Martin Kadinda naye Mama yake kafa, mtangazaji wa Wasafi sijui nani naye Mama yake chali. Wote hawa wanazoa Corona kwenye Matigo tumewasha wanaenda kuuwa wazazi wao. Why serikali ISIPIGE marufuku haya matamasha uchwaraNa matamasha taking koff yanaendelea kama kawaida
Najitambua sana kiongozi,nipo against nyungu kwa sababu haina scientific evidence kuwa inatibu.Hakuna formula yoyote ya nyungu inayofahamika/documented anywhere in the world.Nyungu na ule uji wa NIMRI ni upumbavu mtupu. Hakuna mwenye acute Covid 19 anayeweza kusaidiwa na hizo takataka.
Kama unataka kumwahisha mgonjwa wako kaburini, mpige nyungu.
Hao naona ni waliodaka penatiNini kuwekewa Oxygen watu wanawekwa coma (induced coma) na wanapona
Mask za vitenge Nazi wajitafutie,hakuna Gloves wala PPE zingine katika vitu vingi ukiachilia mbali wimbo wa uhaba wa dawa.Mimi nalia na wahudumu wetu wa afya, hawana vifaa kinga vya kutosha, wanafanya kazi kama wamejitolea liwalo na liwe, Vifaa tiba walivyonavyo ni mask tu navyo sidhani kama wote wanapata.
Ni kwa sababu ya watu wenye akili kama punda ndiyo maana tumefika hapa. Nchi ilitakiwa ijitayarishe kwa kuongeza huduma za oxygen tangu mapema. Pole sana kwa msiba.Haya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Mkuu kuko lodedi mitungi mitungi....Wazungu walitoa fedha kupambana na hili janga...mpaka hapo Mkuu UMENIPATANaomba utupe experience ya marehemu/alianzaje kuumwa na alipita hatua gani kabla ya umauti haujamkuta.