Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
sio seif ni SEFUHivi Seif anaendeleaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio seif ni SEFUHivi Seif anaendeleaje?
Ni foleni ya uchomaji au!!?Unaambiwa pale makumbusho eneo la kuchomea marehemu mabohora pamezidiwa na foleni ni ndefu mno .
ndioNi foleni ya uchomaji au!!?
Arusha kuna mgonjwa wetu alizunguka hospitali zote zenye huduma ya oxygen zikawa zimejaa wagonjwa. Kilichotokea ni kumpoteza.. Leo Katibu Mkuu afya ana pita mikoani kuhadaa kwamba wodi za upasuaji ndizo zina wagonjwa wengi na sio shida ya kupumua. Ni aibu!!!! /hivi hawa Wasukuma wana waonaje Watanzania? Wana mfurahisha nani? Wakati watu wana kufa??Mzee Ntagazwa alikosa kitanda Regency
Tuombe Mungu sanaArusha kuna mgonjwa wetu alizunguka hospitali zote zenye huduma ya oxygen zikawa zimejaa wagonjwa. Kilichotokea ni kumpoteza.. Leo Katibu Mkuu afya ana pita mikoani kuhadaa kwamba wodi za upasuaji ndizo zina wagonjwa wengi na sio shida ya kupumua. Ni aibu!!!! /hivi hawa Wasukuma wana waonaje Watanzania? Wana mfurahisha nani? Wakati watu wana kufa??
A za weeeee sisi tutasomaMimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine,sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi,
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
Kule italy,,kuna padri alikuwa kwenye ventilator,,akamwona kijana mmoja kaletwa yuko hoi,amekosa ventilator,,padri ilibii aombe wamtoe kwenye mashine,wamwekee kijana,,juu yeye ameshaishi miaka mingi,akaona bora kijana apate fighting chance kuliko kumuacha afe angali bado mdogo,By Boniface Jacob kupitia Twitter:
Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.
Sikuwahi Kujua Ipo Siku Sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA
Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
Na ambao hawako jf?Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine,sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi,
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
Mungu unamsingizia kwa maombiTuombe Mungu sana
Ninakubaliana na wewe. Waanzishe jukwaa kabisa la matangazo ya vifo. Hili jukwaa la siasa libaki kwa masuala ya siasa tu. Mambo yanayohusu afya hususani corona yapelekwe jukwa la afya ambalo lipo.Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd
Serikali ya Tz imepigwa baridi, jiwe anaogopa kusema ukweli kwa kuona aibu. Huyo jamaa yenu yuko tayari wote mfariki lakini kamwe hawezi kukiri kuwa corona ipo.Kumbe akili imeanza kuwajia kwamba changamoto ya upumuaji inatakiwa Mungu mwenyewe aingilie katiii??.
Pole sana. Mungu awapeni nguvu.Haya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Mkuu ukijua idadi ya watu waliokufa kwa changamoto hiyo Mlandizi Pwani huwezi amini, then anakuja mtu anasema hakuna corona Tz.Haya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Wewe unaendeleza yaleyale ya kuwaweka waTanzania gizani.Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine,sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi,
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
TAJA SERIKALI YOYOTE ILIYOCHANGAMKA KWENYE SUALA LA KUPAMBANA NA KORONA NA IKAFANIKISHA.Serikali ya Tz imepigwa baridi, jiwe anaogopa kusema ukweli kwa kuona aibu. Huyo jamaa yenu yuko tayari wote mfariki lakini kamwe hawezi kukiri kuwa corona ipo.
Serikali inayokaa kimya watu wakiangamia inakosa utu. Kwa sasa baba anaweza kurudi nyumbani na ugonjwa akitokea safari ya mbali lakini kwa vile hakuna anayepima huyo naye anasambaza kwa familia nzima. Tukio la Profesa wa SUA mmeliona jinsi familia ilivyoteketea kwa Kutojua nani anao.Wewe unaendeleza yaleyale ya kuwaweka waTanzania gizani.
Kwa nini huhimizi watu wapimwe na pawe na takwimu kuhusu huu ugonjwa wa mlipuko, ikiwa kama sehemu ya kampeni ya kuelimisha na kujikinga!
Huko kuficha kunamsaidia nani, huyo aliyekana uwepo wa ugonjwa?
Wachangiaji hawayatilii maana maneno haya mazito sana.Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.
Sikuwahi Kujua Ipo Siku Sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA
Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI