Hii ndio hatari na tishio linalotokana na changamoto ya upumuaji

Hii ndio hatari na tishio linalotokana na changamoto ya upumuaji

Kule italy,,kuna padri alikuwa kwenye ventilator,,akamwona kijana mmoja kaletwa yuko hoi,amekosa ventilator,,padri ilibii aombe wamtoe kwenye mashine,wamwekee kijana,,juu yeye ameshaishi miaka mingi,akaona bora kijana apate fighting chance kuliko kumuacha afe angali bado mdogo,
Padri akafa
Hapo mwisho pamenifanya nicheke!

Najua ni kweli, lakini inasomeka kama 'stori' ya kijiweni hivi!
 
Mzee Ntagazwa alikosa kitanda Regency
Kuna ambao hata geti la Regency hawawezi kuingia maana hawatamudu hata Registration fee tu achilia mbali huduma.Huko tuendako hakutakuwa na SIRI tena!Hadi pale tutakapoipigia saluti COVID na kukubali miongozo ya kidunia badala ya kushabikia nyungu na malimao+pilipili+tangawizi etc.It's as if duniani kote hivyo vitu havipo.Vilevile kama hizo ni TIBA/kinga,kwa nini hatuithibitishii dunia ili nao wapone kama sisi?
Je,ni hiyo Ubinafsi,uchoyo na kukosa upendo dhidi ya binadamu wenzetu?
Tunaogopa chanjo ya CORONA ila pilipili kichaa tunakunywa tds,nani katuambia ni salama?Tujitafakari.
 
Kuna ambao hata geti la Regency hawawezi kuingia maana hawatamudu hata Registration fee tu achilia mbali huduma.Huko tuendako hakutakuwa na SIRI tena!Hadi pale tutakapoipigia saluti COVID na kukubali miongozo ya kidunia badala ya kushabikia nyungu na malimao+pilipili+tangawizi etc.It's as if duniani kote hivyo vitu havipo.Vilevile kama hizo ni TIBA/kinga,kwa nini hatuithibitishii dunia ili nao wapone kama sisi?
Je,ni hiyo Ubinafsi,uchoyo na kukosa upendo dhidi ya binadamu wenzetu?
Tunaogopa chanjo ya CORONA ila pilipili kichaa tunakunywa tds,nani katuambia ni salama?Tujitafakari.
Umeandika kwa uchungu sana !
 
Wewe unaendeleza yaleyale ya kuwaweka waTanzania gizani.
Kwa nini huhimizi watu wapimwe na pawe na takwimu kuhusu huu ugonjwa wa mlipuko, ikiwa kama sehemu ya kampeni ya kuelimisha na kujikinga!

Huko kuficha kunamsaidia nani, huyo aliyekana uwepo wa ugonjwa?
Takwimu zingesaidia sana watu kuona ukubwa na uzito wa tatizo. Hakika mtu aliyezuia upimaji na utoaji wa takwimu ni muuji kama corona yenyewe.
 
By Boniface Jacob kupitia Twitter:

Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.

Sikuwahi Kujua Ipo Siku Sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA

Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
Unaambiwa sasa hivi vigogo wengi wanaopata changamoto ya kupumua wanapelekwa Hospitali Moja iko Upanga inaitwa HITECH SAI , ni balaa ! wasio na macho matatu wanajua wanapelekwa Muhimbili , lakini huko Mwaisela hawafiki
 
TAJA SERIKALI YOYOTE ILIYOCHANGAMKA KWENYE SUALA LA KUPAMBANA NA KORONA NA IKAFANIKISHA.
Sasa hivi mataifa yote ambayo yana viongozi wenye akili na hekima, viongozi waliowekeza katika kutambua ukubwa wa tatizo, na kuweka jitihada katika kupambana, vifo vinazidi kupungua na maambukizi yanazidi kupungua. Lakini sisi tulio na uongozi usio na maono, maambukizi na vifo vinaongezeka.
 
Kule italy,,kuna padri alikuwa kwenye ventilator,,akamwona kijana mmoja kaletwa yuko hoi,amekosa ventilator,,padri ilibii aombe wamtoe kwenye mashine,wamwekee kijana,,juu yeye ameshaishi miaka mingi,akaona bora kijana apate fighting chance kuliko kumuacha afe angali bado mdogo,
Padri akafa
no greater love.
 
Kuna ambao hata geti la Regency hawawezi kuingia maana hawatamudu hata Registration fee tu achilia mbali huduma.Huko tuendako hakutakuwa na SIRI tena!Hadi pale tutakapoipigia saluti COVID na kukubali miongozo ya kidunia badala ya kushabikia nyungu na malimao+pilipili+tangawizi etc.It's as if duniani kote hivyo vitu havipo.Vilevile kama hizo ni TIBA/kinga,kwa nini hatuithibitishii dunia ili nao wapone kama sisi?
Je,ni hiyo Ubinafsi,uchoyo na kukosa upendo dhidi ya binadamu wenzetu?
Tunaogopa chanjo ya CORONA ila pilipili kichaa tunakunywa tds,nani katuambia ni salama?Tujitafakari.
Nyungu na ule uji wa NIMRI ni upumbavu mtupu. Hakuna mwenye acute Covid 19 anayeweza kusaidiwa na hizo takataka.

Kama unataka kumwahisha mgonjwa wako kaburini, mpige nyungu.
 
Nadhani Ile ilikuwa Kiki tu! umri wa maalim na ingekuwa Covido now tungekuwa tunaongea mangine

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Yuko mtaw kule Italia amepona covid ana miaka zaidi ya 100. Kwa hiyo Maalim Seif kupona covid so ajabu. Kuna watu wamezaliwa na kinga ya asili imara hadi uzeeni. Sema , ukweli uzee unapunguza kinga sana ila wapo wachache kinga ni imafa mpaka aitwo na Mola .

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi mataifa yote ambayo yana viongozi wenye akili na hekima, viongozi waliowekeza katika kutambua ukubwa wa tatizo, na kuweka jitihada katika kupambana, vifo vinazidi kupungua na maambukizi yanazidi kupungua. Lakini sisi tulio na uongozi usio na maono, maambukizi na vifo vinaongezeka.
Taja mfano wa hayo mataifa yaliyopunguza na kutokomeza vivo vitokanavyo na korona.
 
By Boniface Jacob kupitia Twitter:

Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.

Sikuwahi Kujua Ipo Siku Sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA

Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
kinga ni bora usfanye masihahara yaani
 
Uruhusiwi kusema ukweli, Nchi yetu ya chama kimoja haina Corona.
Itamponza Melo na JamiiForums ifutwe kabisa.
Acha tufe na changamoto za upumuaji, Watakao baki watasimulia huu Utawala wa kipumbavu.

LITAKE LISITAKE milele daima... Si ndio bandugu?!
Watawala wetu wanatembea na ventilators zao,haikosi wao ndio watakaobaki,watatuambia kuwa ni uzembe wetu tunakufa kwa kaugonjwa na futa!
 
Back
Top Bottom