Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Mwisho anamalizia Shinyanga vijijiniπ€£π€£π€£ nahiyo ndiyo ilikua intro ya kufungulia kipindiNa ile Website ya Masanja ndefu Kama Treni la Gerezani-Pugu utasikia www.masanjamkandamizajipushedsadosteringimaziwangimangishedushebigsnake.com.shinyangavijijini. ππ
Kuna mama alipoteza familia yake kwa kuacha watoto ndani na kwenda kwa jiran kuangalia ze comedy, watoto waliwaka wakaisha.View attachment 3255573
Hapa ndipo tulipopata misemo mingi sana kama ule wa kudadadeki (Nafikiri joti aliutoa katika msemo wa "kulaleki" ukikuwepo tangu 90s), umefulia, etc
miondoko ya aina yake, hapa ndipo tulipogundua wasanii walivyoiba style za wasanii wa nje then joti akawa anawa expose, mpoki kumuiga marehemu komba,
Miaka hio masanja anawadiss beki tatu na ndugu waliotembelea kusalimia nyumbani kwa watu na hawataki kurudi kwao ππ
HAKIKA HAWA JAMAA NI TUNU YA TAIFA
Mkuu ni utani tu! Raia wengi tumepita kwa mashemeji!π€£ .
Past iz past.
Lakini leo nipo kwangu.
Anaitwa bulaza K!Yule jamaa mwenye mashati marefu na yule jamaa wa kigomaππ
Hapa ndipo media nyingi za Tanzania zinapofeli hakunaga compilation archives kwa episodes hzizi ambazo zilitamba na kusimamisha nchi kila ilipofika siku ya kurushwa kwakeNoma sana. Hivi compilation ya clips zao zote inapatikana wapi? Au ndio hadi uende youtube?
Wanafeli sana. Zile video youtube quality yake kama vile wameshoot 1970 huko.Hapa ndipo media nyingi za Tanzania zinapofeli hakunaga compilation archives kwa episodes hzizi ambazo zilitamba na kusimamisha nchi kila ilipofika siku ya kurushwa kwake
Binafsi nimetafuta sana hizi episodes nimekosa huko youtube zipo vipande vipande ba vingine hata video quality yake ni ya chini sana na vingi viliwekwa huko kwa hisani ya wstu
Tom and jerry last episode tot watchers iliyotengenezwa mwaka 1958 ina quality nzuri kuliko ze comedy ya miaka ya 2000.Wanafeli sana. Zile video youtube quality yake kama vile wameshoot 1970 huko.