Hii ndio ilikuwa “Ze Comedy” ambayo ilisamamisha nchi ilipofika saa moja jioni

Hii ndio ilikuwa “Ze Comedy” ambayo ilisamamisha nchi ilipofika saa moja jioni

View attachment 3255573

Hapa ndipo tulipopata misemo mingi sana kama ule wa kudadadeki (Nafikiri joti aliutoa katika msemo wa "kulaleki" ukikuwepo tangu 90s), umefulia, etc

miondoko ya aina yake, hapa ndipo tulipogundua wasanii walivyoiba style za wasanii wa nje then joti akawa anawa expose, mpoki kumuiga marehemu komba,

Miaka hio masanja anawadiss beki tatu na ndugu waliotembelea kusalimia nyumbani kwa watu na hawataki kurudi kwao 😂😂

HAKIKA HAWA JAMAA NI TUNU YA TAIFA
Kuna mama alipoteza familia yake kwa kuacha watoto ndani na kwenda kwa jiran kuangalia ze comedy, watoto waliwaka wakaisha.
 
Noma sana. Hivi compilation ya clips zao zote inapatikana wapi? Au ndio hadi uende youtube?
Hapa ndipo media nyingi za Tanzania zinapofeli hakunaga compilation archives kwa episodes hzizi ambazo zilitamba na kusimamisha nchi kila ilipofika siku ya kurushwa kwake
Binafsi nimetafuta sana hizi episodes nimekosa huko youtube zipo vipande vipande ba vingine hata video quality yake ni ya chini sana na vingi viliwekwa huko kwa hisani ya wstu
 
Hapa ndipo media nyingi za Tanzania zinapofeli hakunaga compilation archives kwa episodes hzizi ambazo zilitamba na kusimamisha nchi kila ilipofika siku ya kurushwa kwake
Binafsi nimetafuta sana hizi episodes nimekosa huko youtube zipo vipande vipande ba vingine hata video quality yake ni ya chini sana na vingi viliwekwa huko kwa hisani ya wstu
Wanafeli sana. Zile video youtube quality yake kama vile wameshoot 1970 huko.
 
Back
Top Bottom