Hii ndio inaitwa kuupiga mwingi, gharama za bando zimepanda tena

Ni kweli alikua mbovu kama unavyosema wewe ila bei ya bidhaa zilibakia zile zile kwa miaka 6.

Rais wetu mzuri ndani ya mwaka mmoja gharama za maisha zimepanda kwa asilimia 45 ama zaidi.

Sijui kama akili yako inaweza kutofautisha vitu kama hivyo.
Mafuta ya kula yalianza kupanda bei wakati gani, hebu kumbuka.
 
Bundle ni offer inayo tolewa na mtoa huduma kwa malengo maaluum,na mda maaluum.

Nakushauli achana namabando ,jaza vocha uitumie hivyovyo bila kujiunga na hizio offer , ukipandishawa zaidi ya Bei elekezi hapo itakua umeibiwa.
 
Maisha yanasonga mbele baharia, hayarudi nyuma. Mbona watumishi wamepadishiwa mishahara?

Na wewe pandisha bei kile unachokifanya. Iwe biashara ama huduma.

Ukiwa huna kabisa cha kupandisha bei, basi pandisha bei ya unyumba kwa mwenzi wako.
Haa haa haa

Nyie wazee wa "kuupiga mwingi" ile movement ya Sri Lanka haiwapi funzo lolote siyo?

Sababu ni hizi hizi na majibu ya viongozi wao yalikuwa ya kishenzi kwa namna hii hii...!!

Mnadhani hayawezi kutokea hapa, siyo?

Haya bana. Endeleeni ila msije mkawakimbia wake zenu na watoto wenu yakitokea mnayodhani "hayawahusu"

"Ukiona mwenzio kanyolewa, wewe anza kutia maji kabisa kichwa chako", maana zamu yako ya kunyolewa ikifika, utanyolewa tu..!!
 
Madihani

Hwbu tueleze uzuri na ubovu wa hao uliowataja kutokana na kisa cha mtoa mada.

Isije kuwa unaandika alafu ujui ulichoandika!.
 
Bundle ni offer inayo tolewa na mtoa huduma kwa malengo maaluum,na mda maaluum.

Nakushauli achana namabando ,jaza vocha uitumie hivyovyo bila kujiunga na hizio offer , ukipandishawa zaidi ya Bei elekezi hapo itakua umeibiwa.
Hii nchi imejaa watu wa hovyo sana.

Bando ni offer? Unajua maana ya offer?

Internet service ni huduma kama huduma nyingine. Sio ofa.

Jitahidi kujielimisha zaidi kabla ya kuja kuandika uharo wako humu.
 
Sasa Waziri wa hela ametoka kuchunga Ng'ombe Bush akaja mjini kusoma alipohitimu akapata kazi Bengi kubwa na baadaye akaibukia kwenye siasa,sasa ana uzoefu na exposure gani na mambo ya fedha?
Wapi Mama ya Zanzibare,Mama ya matashititi,Mama ya mipasho,Mulezi ya wana na Mutu ya Mapesa mingi😁.
Mungu atunusuru jamani!!
 
Wapandishe tu mimi kilichobaki labda Wapandishe na mashetani
 
Ni kweli alikua mbovu kama unavyosema wewe ila bei ya bidhaa zilibakia zile zile kwa miaka 6.

Rais wetu mzuri ndani ya mwaka mmoja gharama za maisha zimepanda kwa asilimia 45 ama zaidi.

Sijui kama akili yako inaweza kutofautisha vitu kama hivyo.
Sio kweli

Bei ya sukari na mafuta ya kula zilipanda kipindi cha magufuli.
 
Sio kweli

Bei ya sukari na mafuta ya kula zilipanda kipindi cha magufuli.
Hilo nakubali mkuu. ila ilikua ni hivyo tu. Sukari na Mafuta.

Kwa sasa ni almost kila kitu. Hata malaya mtaani wametubadilisha gharama ya nyapu.
 
Hilo bando waliposhusha mpka gb 32 likanishinda...sasa kama wameshusha mpka gb 28 ni balaa hilo.
 
Maisha yanasonga mbele baharia, hayarudi nyuma. Mbona watumishi wamepadishiwa mishahara?

Na wewe pandisha bei kile unachokifanya. Iwe biashara ama huduma.

Ukiwa huna kabisa cha kupandisha bei, basi pandisha bei ya unyumba kwa mwenzi wako.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sema kiukweli wanachofanya sahivi ni unyonyaji.. baada ya kujenga mkonge wa mawasiliano gharama zilitakiwa kushuka sana sio kidogo
 
Kamwe haiwezi kutokea hapa Tanzania.
Kamwe!!!????

Mlisema "kamwe hafi, hadi achoke mwenyewe au hadi 2030", lakini dunia ikashangaa "Bulldozer" au "Jiwe" likafa bwana...!

"....what a wonderful world 🌎🌎🌎🌎🌎 is this....!!!"

Waambieni watawala wenu kuwa, iwapo principles za haki zitazingatiwa, "kamwe haiwezi kutokea"...

Lakini kwa kuwa kuna binadamu fulani fulani wajiitao "viongozi" au "watawala" na walishajipa mamlaka ya vi - miungu fulani viovu kutawala na kunyanyasa watu wengine....;

Basi, I am surely telling you that, Ipo siku isiyo na Jina Mungu mkuu mwenye haki atasimama mwenyewe kwa nguvu Γ±a mamlaka yake makuu kuamua kuwatetea watu wake

Nanyi kina Sexless na wenzako huko, wafuasi wa vimiungu watu viovu hivi mtakuja kupigwa na kitu kizito vichwani mwenu kiasi cha kuachwa katika mshangao mkuu sana...;

Na kusema...;

"...what a wonderful 😊😊😊 world is this...!!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…