Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
HII NDIO KANUNI BORA YA KIJASUSI YA KUISHI NA MNAFIKI YOYOTE DUNIANI 😊
Kijasusi jitahidi uwafahamu watu kabla ya wao kukufahamu, na hapo ndipo utagundua WANAFIKI NA WASIO WANAFIKI.
DALILI ZA MNAFIKI
1.Kwanza atajifanya mwema sana kwako
2 Atajifanya kuumia sana dhidi ya wanaokusema mabaya kumbe moyoni anafurahia
3 Atakuweka kwenye mazingira ukosee kisha akupe pole kumbe anafurahia na kukutangaza
4 Muda mwingi akiwa nawe anakupa habari za watu wengine.
FANYA HAYA UKISHAMJUA KUWA NI MNAFIKI.
1.Usimwambie kwanza kuwa umeshamjua.
2 .Hakikisha humpi habari zako ambazo zikifahamika kwingine italeta shida
3 Mtumie kama barua ya taarifa kujua watu wengine
4 Ukimaliza kumtumia kama chanzo cha taarifa anza kumkwepa taratibu.
5 .Hakikisha unafiki wake unakunufaisha kwanza ndio uonyeshe dalili za kumkwepa
#Instagram@ fikia ndoto zako
Kijasusi jitahidi uwafahamu watu kabla ya wao kukufahamu, na hapo ndipo utagundua WANAFIKI NA WASIO WANAFIKI.
DALILI ZA MNAFIKI
1.Kwanza atajifanya mwema sana kwako
2 Atajifanya kuumia sana dhidi ya wanaokusema mabaya kumbe moyoni anafurahia
3 Atakuweka kwenye mazingira ukosee kisha akupe pole kumbe anafurahia na kukutangaza
4 Muda mwingi akiwa nawe anakupa habari za watu wengine.
FANYA HAYA UKISHAMJUA KUWA NI MNAFIKI.
1.Usimwambie kwanza kuwa umeshamjua.
2 .Hakikisha humpi habari zako ambazo zikifahamika kwingine italeta shida
3 Mtumie kama barua ya taarifa kujua watu wengine
4 Ukimaliza kumtumia kama chanzo cha taarifa anza kumkwepa taratibu.
5 .Hakikisha unafiki wake unakunufaisha kwanza ndio uonyeshe dalili za kumkwepa
#Instagram@ fikia ndoto zako