Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Ukimaliza cku zako unatakiwa kwanza kuoga kabla ya kuja jukwaani kwa wanamume
Haswa kile chama chenye makao makuu pale mtaa wa ufipa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswa kile chama chenye makao makuu pale mtaa wa ufipa.
Sio hivyo wewe uchwara. Mada inahusu salamu ya rambirambi iliyotolewa na chama cha siasa. Hakuna unafiki wowote.
Asante Sana CCM na hii ndio tofauti yako na vyama vingine
Chama huwa kinaokoaje na wewe ukiwa wapi! Umeufyta unakula kumbikumbi tu na mihogo!
Taarifa zinaonesha watu wawili walizidi ndani ya ndege!!!Salamu za Pole na Rambirambi za Chama Cha Mapinduzi kufuatia Ajali ya Ndege ya shirika la Ndege la Precision yenye usajili 5H -PWF iliokuwa imebeba abiria 39, marubani 2 na wahudumu 2 ikitokea Dar es Salaam kuelekea Bokoba.
View attachment 2408767
Binuka nikubamize.Ukimaliza cku zako unatakiwa kwanza kuoga kabla ya kuja jukwaani kwa wanamume
Binuka nikubamize.Ww hujawahi kuwa na akili huna tofaut na mzoga wa nguchiro
Hii habari umeitoa wapi?Taarifa zinaonesha watu wawili walizidi ndani ya ndege!!!
Walioshika Bomba kama Kwa daladala za mbagala??
Au Yale mambo ya CCM mgombea kupata kura nyingi zaidi ya idadi ya wapiga kura kuanza ktk usafiri wa anga??
Ulitaka wafanyanyaje kwa Mfano Au unabwatabwata tu?Viongozi wa CCM wakizurura nchini eti kukagua mipango ya maendeleo ya serikali chini ya SSH. Kila kiongozi na V8 yake hadi Katibu tarafa...
Kwa bahati mbaya hizo V8 hazina akili ya kuwaokoa Watanzania wanapofikwa na dharura kama tukio la ndege kuzama huko Bukoba...mnazijua V8 nyie? Wanachojua ni kutoa salamu ya rambirambi .
Usikute wamewatoa kafara ili mambo yao yawanyookee waendelee kulamba asaliViongozi wa CCM wakizurura nchini eti kukagua mipango ya maendeleo ya serikali chini ya SSH. Kila kiongozi na V8 yake hadi Katibu tarafa...
Kwa bahati mbaya hizo V8 hazina akili ya kuwaokoa Watanzania wanapofikwa na dharura kama tukio la ndege kuzama huko Bukoba...mnazijua V8 nyie? Wanachojua ni kutoa salamu ya rambirambi .
Kafara ya nini, hao walikuwa na madhambi yao tuUsikute wamewatoa kafara ili mambo yao yawanyookee waendelee kulamba asali