Daaaah!!! Ina maana hata magu anaibaga simu?Makonda hapendwi na watu,haswa waungwana wa UKAWA. Ni hazina kubwa sana ya taifa, energetic, young, focused na ni aina ya mtu anayefanana na rais wa sasa, anao ule uwezo wa kuthubutu kufanya jambo. Haendekezi siasa, na hiyo ni sifa ya CCM, uwezo wa kuandaa vijana kwa ajili ya kesho na keshokutwa.
Huyu mtu aliyempiga aliyewahi kuwa Jaji Mkuu Bw Joseph Sinde Warioba mtu anayeweza kuwa babu yake ndio afikiriwe kuwa kiongozi mkubwa?ila kwa jinsi Waafrika tulivyo haya mambo ya heshima,hekima,nidhamu na uadilifu katika uongozi si vitu tunavyovipa vipaumbele sana.Tuko tofauti sana na wenzetu wa mabara mengine ambao vitu hivyo ni vitu vya msingi sana katika masuala ya uongozi maana yana_play big part in influencing one's success or failure in leadership. Kitendo cha Makonda cha kumpiga Mzee Warioba kilitosha kuizika career yake ya kisiasa kama angekuwa anaishi katika nchi nyingine, Wenzetu katika hizo nchi huwa wanaangalia sifa za mtu karibia na perfection hasa katika eneo la tabia, lakini kwetu huku Afrika watu wenye tabia zisizoeleweka ndio hupewa promotion ya uongozi wa juu,then tunashangaa kwanini mambo hayaendi vizuri karibu katika kila sekta,ni kwasababu tunaweka watu wasio na nidhamu.
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza, mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je, unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya Kinondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..
1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine.
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
Inawezekana kisu kimekutana na mfupa hapo
Mkuu hii nchi ni zaidi ya inavyo onekana kwenye ramaniNa mpaka sasa hajasema kitu na yule Mkurugenzi waliyemsimamisha kazi kasema anataka apelekwe mahakamani.
Namba tano, waziri wa mambo ya ndani, Kitwanga out. Kama aliweza kumkung'uta Joseph Warioba raia watapondwa pondwa sio kupigwa tena.At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza, mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je, unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya Kinondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..
1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine.
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
Mkuu hii nchi ni zaidi ya inavyo onekana kwenye ramani
Hamy upo?Habari za toka uchaguzi upite. Mwaka huu mmekosea mkamleta mtu anaye ahidi anatekeleza. Tulizoea kina mjomba msoga wakiahidi hawatekelezi. Mpeni na chama asafishe.Namba 2 na 3 HAIWEZEKANI. Labda hizo namba nyingine.
Kwenye RED ngumu kumeza ila hizo zingine sawaAt finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza, mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je, unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya Kinondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..
1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine.
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
Sisi watanzania na umbeya ni watoto wa tumbo moja. Yote uliyoyaandika wewe ni matunda ya kusoma habari za MAWIO na magazeti mengine yenye viwango vidogo vya journalism. Sio habari za kweli, ni mambo ambayo yanaandikwa kwa lengo la kumchafua mtu.Daaaah!!! Ina maana hata magu anaibaga simu?
Hebu acha kumfananisha Rais na watu wapumbavu bana.
Lini ulimuona Rais anapiga wazee vibao.
Wapi ulimuona Rais anabeba watoto wa JK na kufunga kamba za viatu ili apewe cheo?
Acha kumfananisha Rais na watu wajingajinga bana.
StupidSisi watanzania na umbeya ni watoto wa tumbo moja. Yote uliyoyaandika wewe ni matunda ya kusoma habari za MAWIO na magazeti mengine yenye viwango vidogo vya journalism. Sio habari za kweli, ni mambo ambayo yanaandikwa kwa lengo la kumchafua mtu.
Stupid ni wewe unayeamini habari za udaku bila hata ya kujisumbua kufanya utafiti mdogo.Stupid