Tetesi: Hii ndio kazi inayofuata atakayopewa Makonda na Rais Magufuli

Tetesi: Hii ndio kazi inayofuata atakayopewa Makonda na Rais Magufuli

Makonda kesi ya kina Guninita imemkalia pabaya. Ana mdharau hata Wakili wake. Watamshona tu
 
Huyu jamaa ni zaid ya mtendaji kazi anazid wakuu wa mikoa wengi tu kwa uchapa kazi wake wa kujituma magufuli akimtea kuwa mkuu wa mkoa amlete huku kwetu Mara tutajiona wenye bahati kweli waliopo kwa sasa ni wachumia tumbo tu hawana lolote
 
Huyu jamaa ni zaid ya mtendaji kazi anazid wakuu wa mikoa wengi tu kwa uchapa kazi wake wa kujituma magufuli akimtea kuwa mkuu wa mkoa amlete huku kwetu Mara tutajiona wenye bahati kweli waliopo kwa sasa ni wachumia tumbo tu hawana lolote
Ndege wa rangi moja
 
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza , mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya kindondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..

1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
Shallow thinking! ndiyo maana umeanza na sentensi yako na "at finally"!!!!! Kwa neno hilo nimeshakusoma we ni mtu wa aina gani. Nakuachia size yako, have a nice weekend
 
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza , mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya kindondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..

1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....

Makonda is likely to be appointed RC, DC, or Deputy Minister!
 
NNasubiria kashfa ya Mabango maana hajaiweka kwenye FB page yake
 
Mimi naomba apelekwe mkoa wa dodoma ili uchukuliwe na wapinzani maana kapewa kinondoni ilikuwa haijawahi kuongozwa na upinzani lkn chini ya uongozi wake kinondoni sasa ipo chini ya upinzani full

Nafikiri CCM Wampime kwa hilo!
 
Back
Top Bottom