Data na Biti
Member
- Apr 4, 2011
- 40
- 13
- Thread starter
- #61
Nahisi atapewa uwaziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa mafisadi wivu tu makonda anapasua tu,mtaisoma wenyewe mwaka huu.
Hapo si atakuwa ameshushwa cheoMkuu wa wilaya ya Namtumbo
Mnataka akae mbali na nonino........................... hatoki basi atakuwa hapo hapo kili Ars hakuna majungu ataonekana vipi?Mkuu wa mkoa wa arusha au kilimanjaro
HII ifanye ni namba 6Atafukuzwa kazi kwa kashfa
Ndege wa rangi mojaHuyu jamaa ni zaid ya mtendaji kazi anazid wakuu wa mikoa wengi tu kwa uchapa kazi wake wa kujituma magufuli akimtea kuwa mkuu wa mkoa amlete huku kwetu Mara tutajiona wenye bahati kweli waliopo kwa sasa ni wachumia tumbo tu hawana lolote
Shallow thinking! ndiyo maana umeanza na sentensi yako na "at finally"!!!!! Kwa neno hilo nimeshakusoma we ni mtu wa aina gani. Nakuachia size yako, have a nice weekendAt finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza , mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya kindondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..
1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza , mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya kindondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..
1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
Mimi naomba apelekwe mkoa wa dodoma ili uchukuliwe na wapinzani maana kapewa kinondoni ilikuwa haijawahi kuongozwa na upinzani lkn chini ya uongozi wake kinondoni sasa ipo chini ya upinzani full
Inawezekana kisu kimekutana na mfupa hapoNNasubiria kashfa ya Mabango maana hajaiweka kwenye FB page yake
Ndoto za mchana ukiwa unaendesha bodaboda kariakooMakonda is likely to be appointed RC, DC, or Deputy Minister!
Hujui kweli au?Mkuu mambo gani haya tena!!