Baada ya 5imba day, kutafuata maumivu mfululizo..!!View attachment 3057755View attachment 3057756
Timu haijashinda Ubingwa wa ligi kuu Misimu mitatu mfululizo lakini Mashabiki hawajawahi ingia bure Uwanjani, bado siku tatu kuelekea Simba day lakini Uwanja ushatapika
๐Simba haikuchukuwa tuzo ya Mashabiki bora kwa upendele o
๐ Makofi kwa Mashabiki wa Simba na Semaji wao
makofi yapo ya aina tatu unamaanisha makofi yapi..?Makofi kwa semaji
tayariVipi ushachukua ticket ya Tamasha la Wananchi?
Hamna loloteeSimba ๐๐๐๐
Kachomoe mwiko huko nyumaHamna lolotee
Huna akili๐ฎKachomoe mwiko huko nyuma
Tarehe 3 mwili unavishwa sanda na kuagwa na mamia ya waombolezaji..tarehe 8 mwili unazikwaHamna lolotee
Pa pa pa.....makofi yapo ya aina tatu unamaanisha makofi yapi..?
Anasubiri offer, ajitokeze mtu wa kuwanunulia tiketi waingie bure!Vipi ushachukua ticket ya Tamasha la Wananchi?