Hii ndio maana halisi ya 'Ubaya Ubwela'

Hii ndio maana halisi ya 'Ubaya Ubwela'

Wanzetu wanasubiri waingizwe bure uwanjani,anayeingizwa bure ni demu tena gesti,wenzetu wanataka kupageuza kwa Mkapa kama gesti.
 
Tumeona msimu uliopita uwanja ulikua na nafasi nyingi na hapo ndipo malipo shtukiwa kuwa mnajitekenya.
Kwakua msimu huu mmetumia njia ileile ya chupri nina hakika tuta shuhudia maeneo mengi yakiwa wazi kama ilivyokua msimu ulio pita.
Acheni kusubiri offer za bure,mademu ndo wanapelekwa gesti bure
 
Acheni kusubiri offer za bure,mademu ndo wanapelekwa gesti bure
Yanga hawahitaji kujidanganya wenyewe, wao takwimu zao kuhusu uingiaji viwanjani uwa zinatolewa na TFF na ndio timu inayo ongoza kwa takwimu kwa kuingiza mashabiki wengi viwanjani.
Rejea takwimu zilizo tolewa za msimu uliopita 2023/2024
Yanga Hakuna Sold out za Mchongo.
 
#Semaji Jeshi La Mtu Mmoja
Baleke ana hasira na 5imba, Mwamba wa LUSAKA ndo usiseme anawatamani haswa, Aziz Ki a.k.a Jini lazima awaweke. Yule aliyewafunga Mbili, MPIA, anawataka sana, PAKOME lazima awakomeshe..!! huyo msemaji wenu atakosa cha kuongea. ATARUDI KWENYE KAULI YAKE YA KWAMBA MWENYE ROHO NGUMU TU NDO ANAWEZA AKAENDELEA KUISHABIKIA 5IMBA AKIWA NDANI YA UWANJA
 
Baleke ana hasira na 5imba, Mwamba wa LUSAKA ndo usiseme anawatamani haswa, Aziz Ki a.k.a Jini lazima awaweke. Yule aliyewafunga Mbili, MPIA, anawataka sana, PAKOME lazima awakomeshe..!! huyo msemaji wenu atakosa cha kuongea. ATARUDI KWENYE KAULI YAKE YA KWAMBA MWENYE ROHO NGUMU TU NDO ANAWEZA AKAENDELEA KUISHABIKIA 5IMBA AKIWA NDANI YA UWANJA
🤣🤣🤣
Mada hapa ni mauzo ya ticket sio ishu ya uwanjani
 
Back
Top Bottom