Hii ndio maana halisi ya 'Ubaya Ubwela'

Wataingiaje bure wakati hawaichangii timu muwekezaja anarudishaje hela aliyowekeza kwenye rasirimali watu,(kununua wachezaji)
 
Simba Day mwezi wa 8 ila tiketi zimeisha toka mwezi wa 7 🦁🦁🦁
 
Naona mmeanza kunenepa ligi ikianza mnakuwa vimbaumbau
 
Oyoo wanangu wa Simba tumeshabeba kikombe chetu cha Sold out tu, kubeba kombe la ligi aaah tuwaachie kuala lumpar malaysia
 
Anasubiri offer, ajitokeze mtu wa kuwanunulia tiketi waingie bure!
Na Bado ukifika uwanjani majukwaa Yana mapengo ya kutosha, hii inaitwa kujitekenya na kucheka mwenyewe, maana Simba day iliyopita ilikua kama hivi, Sold out ila uwanjani mapengo kibao.

Nawakumbusha tu misimu yote ata msimu uliopita Tff takwimu zao zinazo yesha Yanga ndio timu ambayo mechi zake Zina mashabiki wengi iwe nyumbani au ugenini.
 
Ticket zimeisha ila zitauzwa na kununuliwa hadi siku ya tamasha la ubaya ubwela. Na kuna uwezekano watu kuingia bure. Mtu mmoja ananunua ticket za 100 kuichangia timu wanaingia watu 10. Dalali ananunua ticket za kuingia watu 200 anafanikiwa kuuza kwa bei mbaya ticket 50 wengine wanabaki.
 
Bilashaka umelewa! Simba Day zote uwanja huwa Full na sijawahi kuona Siku wa Gongowazi ikijaza uwanja! Nyie hayo siyo mambo yenu, subirini mtu ajitokeze awanunulie tiketi na bado hamtajaza uwanja! Ila ni sawa, nikiangalia aina ya mashabiki wa vyura wengi hali si hali.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Tumeona msimu uliopita uwanja ulikua na nafasi nyingi na hapo ndipo malipo shtukiwa kuwa mnajitekenya.
Kwakua msimu huu mmetumia njia ileile ya chupri nina hakika tuta shuhudia maeneo mengi yakiwa wazi kama ilivyokua msimu ulio pita.
 
Tumeona msimu uliopita uwanja ulikua na nafasi nyingi na hapo ndipo malipo shtukiwa kuwa mnajitekenya.
Kwakua msimu huu mmetumia njia ileile ya chupri nina hakika tuta shuhudia maeneo mengi yakiwa wazi kama ilivyokua msimu ulio pita.
Vipi huko utopoloni mauzo ya tiketi yanaendeleaje?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…