ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Uzuri ni subjectiveKila mtu anavutia kwake kuonekana kwao bora kuliko kwengne kulingana na makabila yao ngoja nisubir waha waje pia waseme kwao kuna ni na nn
Singida bado ni kijiji, sio jiji!.Singida mbona haipo hapo?
Headline yako haiendani na ulichoelezea,umesema majiji mazuri halafu unaingiza majiji kama Mbeya unasifia uzuri wake ni vyakula na huduma za maji,hapo ukizungumzia uzuri wa muonekano wa mji ukitoa Dar,Arusha na Mwanza inafuatia Dodoma...1. DAR - ES - SALAAM
Majiji Mengine ....
2. MWANZA - Ni jiji tangu enzi za Tanzania yenye majiji mawili
3. MBEYA - ni likijiji likubwa lakini kuna fursa nyingi, vyakula, unafuu wa huduma ya maji, utitiri wa vyuo, hospitali bora na huduma nyingine za jamii, n.k.
4. ARUSHA - Ni jiji zuri kwa watalii na matajiri wachache wenye kampuni za utalii na migodi nje ya mkoa, si kwa wananchi wa kawaida
5. DODOMA
6. TANGA
Uzuri wa jiji sio majengo tu ya mjini, ni mnyumbuiko wa mambo mengi sana kama:
- Upatakanaji na unafuu wa Vyakula
- Mzunguko wa Pesa ndani ya jiji
- Hali nzuri ya hewa.
- Huduma ya maji
- Shule na vyuo
- Ajira-wingi wa Makampuni na Viwanda
- Stendi za Mabasi
- Viwanja vya ndege
- Hospitali
- Barabara
- Hoteli na Lodges
- Timu za mpira - Ligi kuu
- Kumbi za Starehe
- Uzuri wa makazi ya watu
- Usalama
- Masoko makubwa Mall na Supermarkets
Ningeshangaa kama wavuta bangi wa mianzini, na sanawari hawajaja kulalamikaMmeanza kupigania visivyowapa faida,, ni kama mko stressed na personal life zenu mnakuja kupumzikia kubeza mikoa msiyoishi.
vizuri mno, na nimezaliwa Mbeya.Unaijua Mbeya?
Kuzaliwa Mbeya sio kuijua Mbeya.vizuri mno, na nimezaliwa Mbeya.
We nae hujui kitu, yaan mapato yapi labda ya jiji tuu na sio mkoa mzima. Mfano mbeya haina wilaya hata moja ambayo inamapato chin ya 5B. Wakat arusha sio wilaya zote. Mpende kusoma na kujifunza ukabila utawamaliza, mfano moshi inazidiwa na kamji ka tundumaItaichukua Singida miaka 500 kufika ilipo Arusha saiv.
Kumbuka kwenye makusanyo ya TRA ikitoka Dar ni Arusha.
Yaan tukisema kila mkoa utumie makusanyo yake mikoa kama Mwanza,mbeya,Tanga itapelekwa intensive care unit.
Sasa ww kiaz unaakili kwel? Niliyemwambia hajabisha kwasababu takwimu zimewekwa hapa hapa.We nae hujui kitu, yaan mapato yapi labda ya jiji tuu na sio mkoa mzima. Mfano mbeya haina wilaya hata moja ambayo inamapato chin ya 5B. Wakat arusha sio wilaya zote. Mpende kusoma na kujifunza ukabila utawamaliza, mfano moshi inazidiwa na kamji ka tunduma
Ww ni Muongo mambo ya ukabila hayapo ila kufanya kazi za wahindi manyanyaso ni tabia yao hata ufanye kazi zao darMWANZA π...hili jiji wakazi wake ni kama watumwa...ogopa jiji linalosifika kwa gharama nafuu za maisha jua hapo mzunguko wa hela uko chini mnoo...kampuni nyingi na viwanda vingi wanalipa mishahara kiduchuu sana, usiombe uajiriwe na wahindi au wachina sahau hata kujenga, nilishuhudia mtu analipwa ujira wa kibarua wa elfu 40 kwa mwezi kiwanda cha soda maarufu hapo Mwanza...kisa eti wanapewa chakula bure...bado ukisema ujiajiri biashara zao za kibaguzi sana, kama huongei kisukuma au kikurya na kijaluo utapata tabu sana π’ na mgeni ukitoboa bado watataka wakuloge, wao kila kitu ni ushirikina tu, ni bora ukatesekee manzese utatoboa ila sio Mwanza utarudi ukiwa na shipa kisa ulikua umepatia channel....maeneo mengi mazuri Mwanza ukuchunguza source yake ni madini Geita au Foreigners.
Hiv chuki dhidi ya Mbeya chanzo ni nini?Mbeya ni kijiji kikubwa soo jijj
Yake masaki yaliyokaa kama masharti yaliyoanikwa ndiyo kamongo? Mbona matamu sana? Niliyala Singida 2007.Singida bado ni kijiji, sio jiji!.
Siku mkianza kuacha kula yale masamaki yenu ya ajabu yanaitwa kamongo tutawafikiria...sawaa?!.
Hahahaha, mim nayajua yakopigwa na wenye nayo. Hiyo ya kwanza n mwambene karibu na kanis la roma. La pili n mwanjelwa na leo wameongeza kozi juu linaendelea kujengwa.Kuzaliwa Mbeya sio kuijua Mbeya.
Hizi picha zimepigwa Mbeya sehemu gani? ππView attachment 3075516View attachment 3075517View attachment 3075518
Bado una maswali kuhusu Mbeya? ππHahahaha, mim nayajua yakopigwa na wenye nayo. Hiyo ya kwanza n mwambene karibu na kanis la roma. La pili n mwanjelwa na leo wameongeza kozi juu linaendelea kujengwa.
Ningeshangaa kama wavuta bangi wa mianzini, na sanawari hawajaja kulalamika