Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Sasa ww kiaz unaakili kwel? Niliyemwambia hajabisha kwasababu takwimu zimewekwa hapa hapa.
Unatoka huko na wenge zako unaanza kuingiza hadi mada za ukabila😏 huna akili kabishane na TRA.
Hahah
Kiaz kwel alafu ukabila umewajaa hawo wa ziwani
 
Sasa ww kiaz unaakili kwel? Niliyemwambia hajabisha kwasababu takwimu zimewekwa hapa hapa.
Unatoka huko na wenge zako unaanza kuingiza hadi mada za ukabila😏 huna akili kabishane na TRA.
Wew ndie zero brain, lete hizo takwimu kwa wilaya zake. Kuhusu kuvuka viwango na makusanyo makubwa hata lind ipo juu ya miji mikubwa.....
Eti uliemwqmbia hajabisha ndio mmeo?? Kiaz kweli
 
Nchi hii jiji lenye hadhi ya kuwa jiji ni moja Arusha. Mengine yote mikusanyiko ya vibanda vya fukara waliokubuhu na ofis za Serikali.
Ni kweli ni vile tu serikali imeitupa sana kimoundombinu ila arusha ndio ilikua ya kushindana na nairobi au kigali
 
Akikujibu nitag 😄
Mtu wa ziwani uyo nliona post zake
Anajifichia kwa kivuli cha mbeya
mbeya nayo ni ya kujifichia!! 😂😂😂, hajifichi mtu hapa, mie kwetu Mbinga mkoani ruvuma.
 
mbeya nayo ni ya kujifichia!! 😂😂😂, hajifichi mtu hapa, mie kwetu Mbinga mkoani ruvuma.
Mbinga nimepainjoy sana bonge moja la sehemu nmefika nmeambiwa sa hivi ile njia ya kwenda hadi mbamba Bay sasa hiv ni lami kama ni kwel itaongeza utalii Sana kuna mandhar tamu sana kule
 
Mbinga nimepainjoy sana bonge moja la sehemu nmefika nmeambiwa sa hivi ile njia ya kwenda hadi mbamba Bay sasa hiv ni lami kama ni kwel itaongeza utalii Sana kuna mandhar tamu sana kule
ni kweli, kwa sasa mkeka mtupu hadi mbambabay, Nyasa.
 
Back
Top Bottom