ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
🚮🚮Nchi hii jiji lenye hadhi ya kuwa jiji ni moja Arusha. Mengine yote mikusanyiko ya vibanda vya fukara waliokubuhu na ofis za Serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🚮🚮Nchi hii jiji lenye hadhi ya kuwa jiji ni moja Arusha. Mengine yote mikusanyiko ya vibanda vya fukara waliokubuhu na ofis za Serikali.
HahahSasa ww kiaz unaakili kwel? Niliyemwambia hajabisha kwasababu takwimu zimewekwa hapa hapa.
Unatoka huko na wenge zako unaanza kuingiza hadi mada za ukabila😏 huna akili kabishane na TRA.
Wew ndie zero brain, lete hizo takwimu kwa wilaya zake. Kuhusu kuvuka viwango na makusanyo makubwa hata lind ipo juu ya miji mikubwa.....Sasa ww kiaz unaakili kwel? Niliyemwambia hajabisha kwasababu takwimu zimewekwa hapa hapa.
Unatoka huko na wenge zako unaanza kuingiza hadi mada za ukabila😏 huna akili kabishane na TRA.
Ni kweli ni vile tu serikali imeitupa sana kimoundombinu ila arusha ndio ilikua ya kushindana na nairobi au kigaliNchi hii jiji lenye hadhi ya kuwa jiji ni moja Arusha. Mengine yote mikusanyiko ya vibanda vya fukara waliokubuhu na ofis za Serikali.
Unajichekesha kama ushapotea mwanetu, ukabila upii sasa?Hahah
Kiaz kwel alafu ukabila umewajaa hawo wa ziwani
Hawanaga hoja nawajua hao watu wa ziwani 😄Kiaz ww huna hoja
Kwa hiyo unaiona Mwanza ya kichoko na Arusha ya maana! HahahahHawanaga hoja nawajua hao watu wa ziwani 😄
Mwanza pazuri sana shida wasukuma wanachuki ya asili kwa watu wa kaskaziniKwa hiyo unaiona Mwanza ya kichoko na Arusha ya maana! Hahahah
Hivi Msukuma ana muda wa chuki? Acheni bhana Mwanza kuna mchanganyiko na hakuna ubaguzi hata watu wa kaskazini ni wengi tu na Wasukuma ndo wateja wao!Mwanza pazuri sana shida wasukuma wanachuki ya asili kwa watu wa kaskazini
Natumai iwe kweli 👏Hivi Msukuma ana muda wa chuki? Acheni bhana Mwanza kuna mchanganyiko na hakuna ubaguzi hata watu wa kaskazini ni wengi tu na Wasukuma ndo wateja wao!
Watu ni waongo waongo tu! Wewe unawafata akina Kitombile humu! Hiyo ni Normal competition kwa miji hata kwenye mataifa makubwa kama Marekani miji yao mikuu inaushindani Kama Newyork, Los Angels ,Chicago nkNatumai iwe kweli 👏
Mitaa ya Kabwe, zamani nimekunywa sana bia pale white houseKuzaliwa Mbeya sio kuijua Mbeya.
Hizi picha zimepigwa Mbeya sehemu gani? 👇👇View attachment 3075516View attachment 3075517View attachment 3075518
mbeya nayo ni ya kujifichia!! 😂😂😂, hajifichi mtu hapa, mie kwetu Mbinga mkoani ruvuma.Akikujibu nitag 😄
Mtu wa ziwani uyo nliona post zake
Anajifichia kwa kivuli cha mbeya
Mbinga nimepainjoy sana bonge moja la sehemu nmefika nmeambiwa sa hivi ile njia ya kwenda hadi mbamba Bay sasa hiv ni lami kama ni kwel itaongeza utalii Sana kuna mandhar tamu sana kulembeya nayo ni ya kujifichia!! 😂😂😂, hajifichi mtu hapa, mie kwetu Mbinga mkoani ruvuma.
ni kweli, kwa sasa mkeka mtupu hadi mbambabay, Nyasa.Mbinga nimepainjoy sana bonge moja la sehemu nmefika nmeambiwa sa hivi ile njia ya kwenda hadi mbamba Bay sasa hiv ni lami kama ni kwel itaongeza utalii Sana kuna mandhar tamu sana kule